China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

Ulichoandika hauna tofauti na mchina mwenyewe.
Wenzake wanajaribu hata wakianguka ila kuna OS walitengeneza na zikawa maarufu na zikapata watumiaji wengi duniani ila yeye hakuna OS aliyoiweka sokoni ikafanikiwa.
IOS anakimbizana na Android, kwanini yeye hakuwaza hilo na hakuweka mfumo wa Android?
 
Hiyo Harmony inatumia application gani?
Kama ni za android basi hiyo ni clone ya android.
Chukulia mfano huu
OS hii za simu hazingliani extension za application
Ios, Android, Blackberry OS, Symbian, Java na windows phone hivyo hivyo kwa Linux na Windows.
Kwa mfano mimi nikatengeneza OS yangu nikaita Impact OS halafu inatumia application za Android, hapo nitasema nina OS yangu?
 
Unajua wewe ndiye huelewi. Na nimekwambia tena na narudia, harmony OS si ipo si ndiyo anaitumia Huawei sasa na iko kwenye vifaa vyake vyote na nje ya huawei anataka itumike kwenye vifaa vingine au Harmony Os sio OS?
Sasa turudi pale pale OS bila softwares ni bure kabisa.
Sasa unaanzaje kushawishi makampuni kama Adobe, microsoft, na makampuni mengine yanayounda software mashuhuri kuunda softwares kwa ajili ya OS mpya? Hapo ndipo shughuli ilipo. Ndio maana OS nyingi nje ya hizi maarufu utakuta ni watoto wa kinux kwa ajili ya matumizi tu ya ndani kama vile ulinzi, kurusha.
sijui rockets, kuongoza mabomu maana hizo shughuli hazihutaji commercial softwares unakuta kila kitu kinatumia inbuilt softwares.
Wanazo Os kama
OpenKylin 1.0
Deepin na nyingine nyingi tu.
Nakuongezea mfano mwingine. Germany ni maarufu katika kuund OS za kuongeza mashines za viwanda yani embeded OS lakini huku kwingine hagusi maana huku OS bila softwares ambazo nyingi huzitengenezi wewe hutoboi.
Ni vigumu kuwapiku magiants uliowakuta tayari hivyo kibiashara utajikuta unakula hasara
 

While nawapongeza china but hiyo chip haiwez kuipa presha US.
Currently angalia market ya huawei mobiles kabla iphone 15 haijatoka, and baada ya kutoka. In single day apple shop zilizopo china zili run out of devices, demand was so high kuliko huawei.
Mfano mdogo tu currently us ana run 3nm chip.

China anakuja ndio lakin bado ana safari ndefu kwenye hiyo sector
 
Kuna virtual boxes, na kuna OS zinakuja na inbuilt virtual boxes. Mkuu kuna vitu huvielewi. Ndiyo amaana nikakuuliza wakati blackberry inaelekea kufa, walitoa uodate ya os mpya iliyokuwa inapokea application za blackberry na za android? Je ile ilikuwa android?
Virtual box inaweza kutengeneza mazingira ya OS fulani ndani ya OS nyingine ikakuruhusu kurun apps za OS hiyo.
And sina hakika kama hii latest harmony OS ina run android apps maana sasa hivi kwa reviews zinaoanywsha imekuwa better na nzuri sana kuliko wakati anahaha alipolimwa ban.
Mwanzo hata mimi nakubaki baada ya ile ban aliclone android na ndo maana source code ilikuwa na mistari mingi ya android and it did not work. Now ana vifaa zaidi ya milion moja vinavyoru. Harmony OS mpya.
Wewe una wa under estimate lakini US anajua shughuli yao na ndio maana anazidi kukaza nut.
US na ma guru wa tech walisema china hawezi toboa mpaka angalau 2029 ndipo ataweza kuunda processor zilizokuwa na uwezo wa miaka mitatu nyuma. Lakini hata miaka 4 haijaoita akatoa 7nm processor, juzi katangaza 5nm.
Kama unafuatilia tech, utagundua vyombo vya habari vya US vilvyojadili sana hilo jambo la 7nm processor amewezaje.
Stay tuned... The battle is still on. Tutaona mengi
 
Huawei yenyewe ameshindwa kumeet demand.
Presha ya US siyo mauzo ya apple. Presha ya US ni kwamba china ame break through technology ambayo hakutaka awe nayo.
Lengo lake aliajua akikosa hivyo vifaa hawezi kuunda silaha kali, hawezi kuoenya kwenye AI, maana kila kitu wnow kinategemea hivyo vifaa.
Sasa kwa kuweza kuviunda mwenyewe hofu ni kwamba atazidi kuunda silaha, atazidi kutoboa kwenye AI na mambo menginr ambayo kwake anaona ni tishio
 
Harmony inatumia application gani?
Mfano. Huwezi kuchukua software ya windows ya exe ukainstall kwenye Linux au Mac OS. Sasa km utatengeneza OS halafu inatumia EXE halafu unasema ni OS hapo inakuwa Clone ya Windows.
Mchina ameshazoea kucopy na kupaste ndiyo maana kwenye suala la kutengeneza OS linakuwa gumu maana
1. Inahitaji akili nyingi sana
2. Inahitaji muda
3. Inahitaji uwe na developer
4. Unatakiwa uwe mbunifu haswaa
 
Huelewi the technical part ya vitu.
Narudia kuna virtual boxes zinaweza kuund amazingira ya kurun kitu. Harmony Os ina apps zake ambazo pia zina run kwenye harmony OS na wala si za android. Previously ilikuwa ina run apps zake kama kawa na za añdroid kupitia inbuilt emulator, sijui toleo la hivi karibuni kama linaendelea kurun android apps au inarun za harmony OS tu.
Badla ya kubishana na mimi hebu basi chukua muda usome virtual boxes au emulators zinavyifanya kazi uelewe kuwa unaweza tengeneza mazingira ya kurun kitu kingine cha OS fulan kwenye Os fulan kupitia emulators.
Mfano chief mkwawa alikuwa anasema anacheza games za symbian kupitia emulators kwenye android. So ina maana ana install games za symbian na kuzicheza kwenye android, hili haliifanyi android kuwa symbian
 
Mchina kwenye software hasa kwenye OS anasafari ndefu sana.
Ukienda kununua simu ya iPhone dukani, utashangaa unauziwa simu ya kichina yenye jina la iPhone yenye Android OS.
 
Mchina kwenye software hasa kwenye OS anasafari ndefu sana.
Ukienda kununua simu ya iPhone dukani, utashangaa unauziwa simu ya kichina yenye jina la iPhone yenye Android OS.
Si china tu dunia nzima inatumia OS za marekani kwa vifaa vya kuuza commercially. Si ulaya, si Asia. Hii ni sababu ya kibiashara zaidi si kwamba watu wameshindwa kuunda OS zao.
Hata hiyo android aliyeiunda hakuwa amelenga ije kutumika kwa simu yeye alilenga itumike kwenye camera huko angeweza kutoboa maana hakukuwa na magiants.
Huwezi kufanya kitu kwa dhumuni la kibiashara wakati unaona kabisa kutoboa itakuwa ngumu.
Nimekwambia samsung na tech yake yote na umaarufu wake wote anayi OS ya simu lakinia unaona hajaiingiza sokoni. Maana kutoboa si rahisi.
Microsoft na umaarufu wake wote, lakini windows phone imemfia mkononi na ugiant wake alishindwa kutoa with the new OS
 
Harmony kutumia application za android kwa kutumia virtual box kwa maana hiyo hawezi kushindana na Android.
Ndiyo maana ukitaja OS za simu kwasasa utapata IOS na Android tu.
 
Michina ni mchina tu hata atengeneze nini ni fake fake tu,atamuua USkwa lipi?
Hizo vitu ni kwa ajili ya dunia ya 3 hasa Africa sio soko kimataifa
 
Harmony kutumia application za android kwa kutumia virtual box kwa maana hiyo hawezi kushindana na Android.
Ndiyo maana ukitaja OS za simu kwasasa utapata IOS na Android tu.
Kila kitu kina step, na kila biashara ina mpango. Ili kukushawishi utumie kifaa chake inawezekana unakipenda lakini unapenda instagram, unaoenda whatsapp, sasa kaanza kwa kutumia virtual box ili usikose apps zako pendwa. Jinsi watu wanavyoongezeka itafika muda sasa developers wataona okay, nikitengeneza apps za harmony sasa ina watumiaji wengi nitaweza kupiga pesa.
Basi developer akitoa app official zile za kurun kwenye virtual zinaanza kuondoka.
Business should have a plan otherwise ni kufail
 
Mkuu rekebisha ni socks au SoC(System on chip)
 
North Korea wana OS yao inaitwa Red Star...wako kwenye vipengele na China iingie sokoni.
 
Kama China anaikimbiza Marekani kwa tech.
Anashindwaje kuunda Operating system yenye Software inayojitegemea?
China anatumia tech ya Marekani kupata hela na siyo suala la ushindani ndiyo maana yupo radhi atumie OS ya android apige hela kuliko kutengeneza yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…