China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

Limeundwa na BYD, hii kampuni sasa kwenye EVs inatisha.
Japokuwa naona kama wameclone range.
Mkuu acha kabisa
Kuiga na kuongeza mengine ni sawa kwa technology maana hata wao wazungu wakikupatia hawakuachi
Rejea Concordski vs Concorde hata Concorde waliiba
Ila hiyo gari balaa inaenda upande upande kama Crab 🦀
 
Sasa researchers wakubwa ktk kampuni za Wamarekani ni Watu wenye asili ya China. What do you expect?

Wanafunzi wa kichina wako busy na math na Science wakati wale wa kimarekani wako busy kuparty.

Marekani bila kuimport vichwa na talents kutoka sehemu mbalimbali duniani hamna kitu!
Unalosema ni sawa na kulalamika kwamba Ronaldo au Messi wanajua kucheza vizuri ndio maana wana mataji mengi.

Marekani imeanzishwa na wageni imported from Britain, Germany, Russia, France, Spain, Austria na kwingine. Alafu unalalamika Marekani kutafuta vichwa sehemu mbalimbali duniani. Si ndio maana ya kuwa land of the free.
 
Mkuu acha kabisa
Kuiga na kuongeza mengine ni sawa kwa technology maana hata wao wazungu wakikupatia hawakuachi
Rejea Concordski vs Concorde hata Concorde waliiba
Ila hiyo gari balaa inaenda upande upande kama Crab 🦀
Balaa halafu ukilinganisha na magari mengine, bei yake iko chini. Sasa umoja wa ulaya umeamua kuweka kodi kubw kwa magari yote yanayozalishwa china maana yanateka soko huko. Jana ufaransa katangaza kodi mpya kwa gari zote zinazozalishwa china ikiwemo gari za tesla zinazozalishwa china
 
Mkuu acha kabisa
Kuiga na kuongeza mengine ni sawa kwa technology maana hata wao wazungu wakikupatia hawakuachi
Rejea Concordski vs Concorde hata Concorde waliiba
Ila hiyo gari balaa inaenda upande upande kama Crab 🦀
Concorde hawakuiba, walioiba ni Warusi na Tu-144 yao ndio maana ikaitwa Concordski baada ya jina Concorde kuwepo.
Yani huyu aanzishe Adidas, na huyu alete Adidos alafu useme Adidos kaibiwa. Kama ameibiwa si jina angeanzisha yeye.
 
Concorde hawakuiba, walioiba ni Warusi na Tu-144 yao ndio maana ikaitwa Concordski baada ya jina Concorde kuwepo.
Yani huyu aanzishe Adidas, na huyu alete Adidos alafu useme Adidos kaibiwa. Kama ameibiwa si jina angeanzisha yeye.
Lakini kwa maelezo hii Tu-144 ilitangula kuruja kabla ya concord.
Halafu kwa maelezo wanasema zilikuwa lazima zifanane kwa sababu hakukuwa na njia ya kudesign ndege yenye supersonic speed lazima katika design ungeishia kupata umbo hilo.
Pia zilikuwa na utofauti katika mabawa yalipowekwa, engine zilizotumika na mambo mengine.
 
Ulichoandika hauna tofauti na mchina mwenyewe.
Wenzake wanajaribu hata wakianguka ila kuna OS walitengeneza na zikawa maarufu na zikapata watumiaji wengi duniani ila yeye hakuna OS aliyoiweka sokoni ikafanikiwa.
IOS anakimbizana na Android, kwanini yeye hakuwaza hilo na hakuweka mfumo wa Android?
Hawa walianza pamoja na wakakuwa pamoja.
 
Concorde hawakuiba, walioiba ni Warusi na Tu-144 yao ndio maana ikaitwa Concordski baada ya jina Concorde kuwepo.
Yani huyu aanzishe Adidas, na huyu alete Adidos alafu useme Adidos kaibiwa. Kama ameibiwa si jina angeanzisha yeye.
Screenshot_20231218_180353_Google~2.png
Screenshot_20231218_182922_Google~2.png

Concorde hawakuiba, walioiba ni Warusi na Tu-144 yao ndio maana ikaitwa Concordski baada ya jina Concorde kuwepo.
Yani huyu aanzishe Adidas, na huyu alete Adidos alafu useme Adidos kaibiwa. Kama ameibiwa si jina angeanzisha yeye.
Kuna mengi sana yameongelewa kuhusu hii ndege
Zamani sana nilisikia walioanza walikuwa Russians ila kabla haijamalizwa jamaa wakaiba idea hiyo na kuifyatua Concorde
Ila kuiba technology mimi naona ni sawa tu maana wengi wanasoma nje na kuja na idea za huko sio mbaya

Napenda na sisi wanaosoma nje warudi na elimu kubwa za kufanya kitu
Hii ni kwa msaada wa Google
 
Ni kwamba hufuatilii, huawei anayo harmony Os ina run kwenye simu, TV, na gadgets nyingine hadi saa. Hizi simu za Huawei now zina harmony OS.
Mchina anazo OS kibao kwa ajili ya vifaa vingine kama mashines ambazo huwezi kujua kwakuwa huinteract navyo kama unavyofanya kwenye computer.
Shida si kuunda OS, shida ni kuunda OS ukashawishiwi developers watengeneze app kwa ajili ya hiyo OS. Na ndio maana nimekwambia windows phone ilikufa kwa sababu ya kukosa apps na watu hilo likawafanya wasiitumie. Windows phone haikuwa hata na instagram wakati insta ilikuwa kwenye peak.
Kumbuka pia inategemea na biashara yenyewe. Kumbuka mpaka akidhi vigezo ashawishi soko duniani si jambo la siku moja. Ila kwa Africa,ni sawa tu zikija tutanunua.
 
Tatizo la mchina majina yake ya kiboya, atumie Generic names za kizungu tu!
😄 🤣 Huwezi amini hapa uk walikuwa wanatamka Hyundai tofauti na linavyotamkwa kwao
Kwa sasa kwenye advertising naona wameambiwa watamke kama wanavyoita wenye mali inaitwa Haandei na wazungu wamebadili sasa 😄
Ila ndio mali yao mkuu
Sijui Kipanya ataitaje gari lake likija huku sungusungu litakuwa bora 😄 just kidding
 
Huawei anazidi kuishangaza dunia na kuonyesha kuwa sanctions hazifanyi kazi.
Baada ya kuwashangaza na simu zenye socks alizounda mwenyewe na ambazo demand ni kubwa kuliko hata uzalishaji wake kitu ambacho kilifanya US azidi kukaza vikwazo na watu wabaki midomo wazi maana walitegemea kwa nguvu zake mwenyewe itamchukua labda hadi 2029, sasa juzi katangaza ujio wa Kirin 9006C yenye 5nm technology.

US atajuta kwa sanctions kwa sababu alichojaribu kuzuia ni kama ametia petrol kwenye moto. Sanctions hazifanyi kazi kwa China.
View attachment 2845584
Hii ndo vita tunayoitaka
 
Hata mimi nikidaka ela nikinunua EV ni from china
Tatizo letu mawakala wanaleta bidhaa toka China bila spares zake
Yaani nimeona hata pikipiki nyingi mtu analeta Containers kibao bila spares zake yaani likifa basi unauza chuma chakavu
Biashara ngumu sana huko
Mimi napenda sana SUV
Ila kwa huko bora Toyota utapata
 
Back
Top Bottom