China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

Sielewi. Nifahamishe naongea nini?
Ni kama mnataka kuforce kutabiri future hivi
Rise of USA imeshaonekana ila hiyo fall unayozungumzia iko kwenye vichwa vya watu tu sio uhalisia

*Kwenye masuala ya utafiti wa anga (space exploration) USA iko vizuri kuliko China, tunaona Marekani ina NASA na Space X, Mchina sijui ana nini
*Kwenye uzalishaji wa electronics hapa kidogo China anajitahidi ila bado anaachwa na Mmarekani,
*Mfano kwenye utengenezaji wa laptop tunaona makampuni mengi makubwa yanayofanya vizuri ni ya Marekani mfano Apple, DELL, Microsoft, HP nk. Kwa China kidogo Lenovo yuko vizuri ila bado anatumia OS za Mmarekani, Windows na Chromebook OS
*Kwenye simu Wachina wanajitahidi ila Mmarekani yuko juu zaidi. Apple zinaongoza kwa mauzo dunia nzima na bado Wachina wanaofanya vizuri wanatumia OS ya Mmarekani kwenye simu zao (Android). Moja ya sababu zinazofanya nipende simu za China ni kwamba zinatumia OS ya Mmarekani [emoji1]
*Kwenye SoC za simu na PC bado wanategemea makampuni ya Kimarekani kama Qualcomm, MediaTek, Intel na AMD.
*Kwenye utengenezaji wa Automobiles USA ipo kilometre milioni 6 mbele ya China
*Kwenye movie industry USA inaongoza dunia nzima. Teknolojia ambayo Mmarekani anaitumia kwenye movie zake inamshangaza hata Mchina mwenyewe
*Marekani ina jeshi bora la ardhi imara kushinda China
*Marekani anaicontrol dunia, ameweza kuangusha moja ya kampuni zilizokuwa moto kwenye utengenezaji wa simu kama Huawei kupitia vikwazo tu, Mchina hawezi kufanya hivyo kwa kampuni yoyote ya USA na akafanikiwa kuiangusha
*USA iko vyema kila idara kushinda China

Sijui hiyo fall of USA mmeiona wapi
 
Tatizo letu mawakala wanaleta bidhaa toka China bila spares zake
Yaani nimeona hata pikipiki nyingi mtu analeta Containers kibao bila spares zake yaani likifa basi unauza chuma chakavu
Biashara ngumu sana huko
Mimi napenda sana SUV
Ila kwa huko bora Toyota utapata
Kwa EV je, hivi kwa mfano kucharge Tesla ikajaa betri ike inayotembea miles 280 per charge inaweza ikawa imekula unit ngap?
Sema mimi napenda zaidi semi hybrid kama ilivyo prius sema umbo lake zilipendi la prius
 
Ni kama mnataka kuforce kutabiri future hivi
Rise of USA imeshaonekana ila hiyo fall unayozungumzia iko kwenye vichwa vya watu tu sio uhalisia

*Kwenye masuala ya utafiti wa anga (space exploration) USA iko vizuri kuliko China, tunaona Marekani ina NASA na Space X, Mchina sijui ana nini
*Kwenye uzalishaji wa electronics hapa kidogo China anajitahidi ila bado anaachwa na Mmarekani,
*Mfano kwenye utengenezaji wa laptop tunaona makampuni mengi makubwa yanayofanya vizuri ni ya Marekani mfano Apple, DELL, Microsoft, HP nk. Kwa China kidogo Lenovo yuko vizuri ila bado anatumia OS za Mmarekani, Windows na Chromebook OS
*Kwenye simu Wachina wanajitahidi ila Mmarekani yuko juu zaidi. Apple zinaongoza kwa mauzo dunia nzima na bado Wachina wanaofanya vizuri wanatumia OS ya Mmarekani kwenye simu zao (Android). Moja ya sababu zinazofanya nipende simu za China ni kwamba zinatumia OS ya Mmarekani [emoji1]
*Kwenye SoC za simu na PC bado wanategemea makampuni ya Kimarekani kama Qualcomm, MediaTek, Intel na AMD.
*Kwenye utengenezaji wa Automobiles USA ipo kilometre milioni 6 mbele ya China
*Kwenye movie industry USA inaongoza dunia nzima. Teknolojia ambayo Mmarekani anaitumia kwenye movie zake inamshangaza hata Mchina mwenyewe
*Marekani ina jeshi bora la ardhi imara kushinda China
*Marekani anaicontrol dunia, ameweza kuangusha moja ya kampuni zilizokuwa moto kwenye utengenezaji wa simu kama Huawei kupitia vikwazo tu, Mchina hawezi kufanya hivyo kwa kampuni yoyote ya USA na akafanikiwa kuiangusha
*USA iko vyema kila idara kushinda China

Sijui hiyo fall of USA mmeiona wapi
Mchina bado hajampiku US lakini anakuja vizuri ni vile hufuatilii.
China ana shirika lake la anga.
Mchina ndio nchi pekee mwenye space station inayojitegemea.
Mchina ndiye kapeleka kifaa sehemu ya mbali zaidi kwenye mwezi.
Ukiondoa US na Russia, mchina ndiye nchi nyingine yenye kifaa chake kiko mars kimafanya exploararion. Ana satelite inaizunguka mars shirika la anga la ulaya amewapa access ya kuitumia kuwasiliana na chombo chao kilichopo Mars.
Mchina ana gps system yake, ni urusi na marekani wenye gps system solo, sasa na mchina anayo yake. Ulaya wao ni mwendo wa collabo.
Mchina ndiye mwenye facility kubwa ya kutest aerodynamics
Mchina ndiyo nchi yenye train nyingi za maglev ukiondoa korea na japana US hana hata moja.
Yani kwa sasa mchina ndiye mshindani wa moja kwa moja wa tech na US.
Ukiongelea kasí ya internet Marekani kwa mchina hatii mguu maana bila sanctions hata mwingereza alikuwa kaopt Huawei ndiye amfungie mfumo wa 5G kwa ajili ya issue za kijeshi.
Ni vile vitu vyao vina majina ya kichina china so kama hufuatilii huwezi hata kujua na ndio maana unaongelea sijui marekani ana nasa na space x mchina ana nini!
 
Ni kama mnataka kuforce kutabiri future hivi
Rise of USA imeshaonekana ila hiyo fall unayozungumzia iko kwenye vichwa vya watu tu sio uhalisia

*Kwenye masuala ya utafiti wa anga (space exploration) USA iko vizuri kuliko China, tunaona Marekani ina NASA na Space X, Mchina sijui ana nini
*Kwenye uzalishaji wa electronics hapa kidogo China anajitahidi ila bado anaachwa na Mmarekani,
*Mfano kwenye utengenezaji wa laptop tunaona makampuni mengi makubwa yanayofanya vizuri ni ya Marekani mfano Apple, DELL, Microsoft, HP nk. Kwa China kidogo Lenovo yuko vizuri ila bado anatumia OS za Mmarekani, Windows na Chromebook OS
*Kwenye simu Wachina wanajitahidi ila Mmarekani yuko juu zaidi. Apple zinaongoza kwa mauzo dunia nzima na bado Wachina wanaofanya vizuri wanatumia OS ya Mmarekani kwenye simu zao (Android). Moja ya sababu zinazofanya nipende simu za China ni kwamba zinatumia OS ya Mmarekani [emoji1]
*Kwenye SoC za simu na PC bado wanategemea makampuni ya Kimarekani kama Qualcomm, MediaTek, Intel na AMD.
*Kwenye utengenezaji wa Automobiles USA ipo kilometre milioni 6 mbele ya China
*Kwenye movie industry USA inaongoza dunia nzima. Teknolojia ambayo Mmarekani anaitumia kwenye movie zake inamshangaza hata Mchina mwenyewe
*Marekani ina jeshi bora la ardhi imara kushinda China
*Marekani anaicontrol dunia, ameweza kuangusha moja ya kampuni zilizokuwa moto kwenye utengenezaji wa simu kama Huawei kupitia vikwazo tu, Mchina hawezi kufanya hivyo kwa kampuni yoyote ya USA na akafanikiwa kuiangusha
*USA iko vyema kila idara kushinda China

Sijui hiyo fall of USA mmeiona wapi
Asante kwa mnyumbulisho mkali
 
Mchina bado hajampiku US lakini anakuja vizuri ni vile hufuatilii.
China ana shirika lake la anga.
Mchina ndio nchi pekee mwenye space station inayojitegemea.
Mchina ndiye kapeleka kifaa sehemu ya mbali zaidi kwenye mwezi.
Ukiondoa US na Russia, mchina ndiye nchi nyingine yenye kifaa chake kiko mars kimafanya exploararion. Ana satelite inaizunguka mars shirika la anga la ulaya amewapa access ya kuitumia kuwasiliana na chombo chao kilichopo Mars.
Mchina ana gps system yake, ni urusi na marekani wenye gps system solo, sasa na mchina anayo yake. Ulaya wao ni mwendo wa collabo.
Mchina ndiye mwenye facility kubwa ya kutest aerodynamics
Mchina ndiyo nchi yenye train nyingi za maglev ukiondoa korea na japana US hana hata moja.
Yani kwa sasa mchina ndiye mshindani wa moja kwa moja wa tech na US.
Ukiongelea kasí ya internet Marekani kwa mchina hatii mguu maana bila sanctions hata mwingereza alikuwa kaopt Huawei ndiye amfungie mfumo wa 5G kwa ajili ya issue za kijeshi.
Ni vile vitu vyao vina majina ya kichina china so kama hufuatilii huwezi hata kujua na ndio maana unaongelea sijui marekani ana nasa na space x mchina ana nini!
Kwenye masuala ya utafiti wa anga (space exploration) USA iko vizuri kuliko China, tunaona Marekani ina NASA na Space X,

"Mchina sijui ana nini"

Hiyo statement "Mchina sijui ana nini" usiitafsiri kama "Mchina hana shirika la utafiti wa masuala ya anga"

Point kuu ni kwamba hayo mashirika ya Mchina unayoyaongelea hayajafikia NASA wala Space X.
Ingawa umetaja mafanikio yake, ila bado tukianza kutaja mafanikio ya NASA hapa tutakesha
 
Balaa halafu ukilinganisha na magari mengine, bei yake iko chini. Sasa umoja wa ulaya umeamua kuweka kodi kubw kwa magari yote yanayozalishwa china maana yanateka soko huko. Jana ufaransa katangaza kodi mpya kwa gari zote zinazozalishwa china ikiwemo gari za tesla zinazozalishwa china
Ulishajiuliza kodi za magari yanayozalishwa nje ya China?
 
Nyuzi kama hizi huezi kuta vichwa maji. Matusi hakuna, ni facts by facts.

Napenda android os inanipa uhuru zaidi kwa matumizi yangu, ingawa device zake nyingi hunifia mkononi. Tofauti na apple wao ngangaa kazi ngumu ila wanabana sanaa
 
Kwenye masuala ya utafiti wa anga (space exploration) USA iko vizuri kuliko China, tunaona Marekani ina NASA na Space X,

"Mchina sijui ana nini"

Hiyo statement "Mchina sijui ana nini" usiitafsiri kama "Mchina hana shirika la utafiti wa masuala ya anga"

Point kuu ni kwamba hayo mashirika ya Mchina unayoyaongelea hayajafikia NASA wala Space X.
Ingawa umetaja mafanikio yake, ila bado tukianza kutaja mafanikio ya NASA hapa tutakesha
Hebu twende taratibu.
Space X zaidi ya kurusha hizo satelite zake na commercial satelites amefanya nini angani zaidi ya ahadi ya kupeleka watu Mars alianza 2024 sasa kaongeza hadi tarehe. Ukiachilia mbali kupeleka watu mars, hata kurusha chombo kikafika mars hajafanya hivyo.
Mchina tayari ana chombo Mars ipo rover pale kama ya Nasa inafanya utafiti. Juu ya maras ana satelite.
Turudi tena space x hana soace station, Nasa (US), Russia na umoja wa ulaya wanasharw space station. Mchina aliomba kushare, US na Ulaya kwa roho za korosho wakambania japo Mrusi alikuwa tayari na mchina ashare nao, mchina akaona ngoja aunde ya kwake.
Wakati Nasa na space X wakijiandaa kupeleka chombo mwezini sijui 2025, mchina ana chombo tayari sehemu ya mbali zaidi pale mwezini ambayo haijawah kufika na anapanga kujenga station pale.
Bora hata ucompare shirika la anga la china na Nasa (kwa historia ya mambo yake ya zamani) lakini si space X.
Nitajie maajabu gani aliyofanya space x zaidi ya kurusha satelite na reusable rockets zinazurudi zikatua verticle.
Hizo reusable rockets zinazotua verically mchina kaziunda pia.
Unajua siso tunafuatilia sana vitu vya west kiasi kwamba hatujui upande wa pili wa dunia
 
Ulishajiuliza kodi za magari yanayozalishwa nje ya China?
Umoja wa ulaya unapunguza kodi za EV zinazozalishwa nje ya china yani hata korea na kuongeza kodi ya magari yanayozalishwa china. Yani si kwamba wamejificha wamesema hadharani kuwa ni kupunguza kasi ya raia kunua magari kutoka china... Wazungu wa ulaya wanasema EVs za china ni nzuri, cheap na zina options na features nyingi kuliko EVa nyingine. BYD ilianza kuteka sana soko la Ulaya.
 
View attachment 2846526View attachment 2846527

Kuna mengi sana yameongelewa kuhusu hii ndege
Zamani sana nilisikia walioanza walikuwa Russians ila kabla haijamalizwa jamaa wakaiba idea hiyo na kuifyatua Concorde
Ila kuiba technology mimi naona ni sawa tu maana wengi wanasoma nje na kuja na idea za huko sio mbaya

Napenda na sisi wanaosoma nje warudi na elimu kubwa za kufanya kitu
Hii ni kwa msaada wa Google
Technologically Tu-144 was inferior to Concorde. Kuwa na speed kubwa haimaanishi ndio ndege iko vizuri. Concordski ilikuwa na makelele mengi zaidi, injini haina mfumo wowote wa computer, landing gear haijiwezi, not comfortable kuliko Concorde na ina range ndogo zaidi pamoja na kwamba ni kubwa kidogo ingawa ilibeba watu wengi zaidi. Kwanza ilikuwa ili ifike supersonic speed lazima itumie afterburners ndio maana ikawa na range fupi, wakati Concorde ilikuwa na speed kidogo inapungua kwa Concordski ila inafika supersonic speed bila afterburners.
Ilitumika kwa abiria kwa miaka michache hata 10 haikufika.

Hiyo source yako yenyewe imekanusha Tu-144 kuwa copy ya Concorde, haijakanusha Concorde kuwa copy ya Tu-144. That means tetesi zilizokuwepo ni za Concordski kuiiga Concorde, sio kinyume chake.

Kilichotokea ni kwamba Uingereza walitaka trans Atlantic flight wakaungana na Wafaransa. Ila Warusi walitaka flights za ndani ya nchi zaidi kuliko international sababu Soviet Union ilikuwa kubwa sana kutumia treni unasafiri zaidi ya wiki mbili toka mwisho hadi mwisho. Wakataka ndege ya kusafirisha wafanyakazi muhimu na vigogo, ila hawakuitumia wajanja wale wangepukutika.
Nikita Khrushchev ndio alipenda sana ligi na West akawapeleka mbiombio wanasayansi wake hata kwenye first flight wakatangulia wao wakati ndege iliyoanza development ni Concorde.
 
Hebu twende taratibu.
Space X zaidi ya kurusha hizo satelite zake na commercial satelites amefanya nini angani zaidi ya ahadi ya kupeleka watu Mars alianza 2024 sasa kaongeza hadi tarehe. Ukiachilia mbali kupeleka watu mars, hata kurusha chombo kikafika mars hajafanya hivyo.
Mchina tayari ana chombo Mars ipo rover pale kama ya Nasa inafanya utafiti. Juu ya maras ana satelite.
Turudi tena space x hana soace station, Nasa (US), Russia na umoja wa ulaya wanasharw space station. Mchina aliomba kushare, US na Ulaya kwa roho za korosho wakambania japo Mrusi alikuwa tayari na mchina ashare nao, mchina akaona ngoja aunde ya kwake.
Wakati Nasa na space X wakijiandaa kupeleka chombo mwezini sijui 2025, mchina ana chombo tayari sehemu ya mbali zaidi pale mwezini ambayo haijawah kufika na anapanga kujenga station pale.
Bora hata ucompare shirika la anga la china na Nasa (kwa historia ya mambo yake ya zamani) lakini si space X.
Nitajie maajabu gani aliyofanya space x zaidi ya kurusha satelite na reusable rockets zinazurudi zikatua verticle.
Hizo reusable rockets zinazotua verically mchina kaziunda pia.
Unajua siso tunafuatilia sana vitu vya west kiasi kwamba hatujui upande wa pili wa dunia
At least umeelewa NASA iko juu ya huyo Mchina unayemtetea

Hebu turudi kwa Space X, naomba utaje jina la hilo shirika la China unalosema limefanya hayo yote ili nijue unataka kumlinganisha Space X na nani specifically.

I mean jina kama unavyoitamka NASA au Space X, nitajie hiyo ya Kichina nataka niifuatilie
 
Hebu twende taratibu.
Space X zaidi ya kurusha hizo satelite zake na commercial satelites amefanya nini angani zaidi ya ahadi ya kupeleka watu Mars alianza 2024 sasa kaongeza hadi tarehe. Ukiachilia mbali kupeleka watu mars, hata kurusha chombo kikafika mars hajafanya hivyo.
Mchina tayari ana chombo Mars ipo rover pale kama ya Nasa inafanya utafiti. Juu ya maras ana satelite.
Turudi tena space x hana soace station, Nasa (US), Russia na umoja wa ulaya wanasharw space station. Mchina aliomba kushare, US na Ulaya kwa roho za korosho wakambania japo Mrusi alikuwa tayari na mchina ashare nao, mchina akaona ngoja aunde ya kwake.
Wakati Nasa na space X wakijiandaa kupeleka chombo mwezini sijui 2025, mchina ana chombo tayari sehemu ya mbali zaidi pale mwezini ambayo haijawah kufika na anapanga kujenga station pale.
Bora hata ucompare shirika la anga la china na Nasa (kwa historia ya mambo yake ya zamani) lakini si space X.
Nitajie maajabu gani aliyofanya space x zaidi ya kurusha satelite na reusable rockets zinazurudi zikatua verticle.
Hizo reusable rockets zinazotua verically mchina kaziunda pia.
Unajua siso tunafuatilia sana vitu vya west kiasi kwamba hatujui upande wa pili wa dunia
Mkuu nchi kujitengenezea space station siyo kituo kidogo
Hizi low orbit satellites hata India anafanya.
 
At least umeelewa NASA iko juu ya huyo Mchina unayemtetea

Hebu turudi kwa Space X, naomba utaje jina la hilo shirika la China unalosema limefanya hayo yote ili nijue unataka kumlinganisha Space X na nani specifically.

I mean jina kama unavyoitamka NASA au Space X, nitajie hiyo ya Kichina nataka niifuatilie
Nasa wameanza mabalaa toka kitambo
 
At least umeelewa NASA iko juu ya huyo Mchina unayemtetea

Hebu turudi kwa Space X, naomba utaje jina la hilo shirika la China unalosema limefanya hayo yote ili nijue unataka kumlinganisha Space X na nani specifically.

I mean jina kama unavyoitamka NASA au Space X, nitajie hiyo ya Kichina nataka niifuatilie
China national space agency CNSA.
Nasa siku hizi anategemea private companies kufanya vitu ndio maana anazipa tenda kampuni kama space x, blue origin na nyingine.
Space x huwezi kuicompare ya CNSA kwa sababu haijaweza kufanya hata nusu ya ilichofanya. By the way CNSA kama ilivyo NASA iko funded na serikali so haifanyi vitu kwa faida kama space x, so inaweza fanya chochote kama ilivyo nasa.
So, haiwezi kuwa fair kuicompare space x na CNSA maana space x lazima aangalie faida ya anachofanya bila hivyo itakufa
 
At least umeelewa NASA iko juu ya huyo Mchina unayemtetea

Hebu turudi kwa Space X, naomba utaje jina la hilo shirika la China unalosema limefanya hayo yote ili nijue unataka kumlinganisha Space X na nani specifically.

I mean jina kama unavyoitamka NASA au Space X, nitajie hiyo ya Kichina nataka niifuatilie
Nasa wameanza mabalaa toka kitambo huko enzi za vita baridi na usovieti China satellite yake ya kwanza karusha 1970 kapeleka mtu outer space for first time miaka ya 2000 sio rahisi mafanikio yake kuwa sawa na Nasa
 
Natamani Huawei aweze kuifanya ile OS yake iweze kueleweka na watu wote duniani,yani kuwe na Android,iOS,na Harmony,then ziwe zinapambana kibiashara zaidi sio kisiasa

Shida ya Marekani akiona Huawei amempiga gape kidogo ataweka vikwazo vingine zaidi.

Ndio maana kujitegemea kwa kila kitu ni muhimu sana.

Kama simu za Huawei tangu toleo la kwanza kabisa wangetoa na OS yao wenyewe muda huu wangekuwa mbali sana.

Vile vikwazo vya Android kutumika kwenye Huawei viliipunguza kasi Huawei corporation kwa kiasi kikubwa na kwa kipindi kile ndo ilikuwa kwenye peak kabisa, ilikuwa tishio kwa Samsung na iphones.

Kwangu mimi mpaka sasa kwenye designing za simu Huawei nampa namba moja.
Nimetumia Huawei naelewa sana hii simu
 
Back
Top Bottom