Kwenye smartphones Huawei ameshaumizwa na Mmarekani
*Huawei P60 Pro ni simu expensive kama shilingi milioni mbili hivi na bado inaishia internet speed ya 4G tu kutokana na limitation za chipset ambazo Mmarekani amempatia, Nani anataka simu expensive isiyo na 5G tena haiko optimised na Google services
Huawei ataendelea kutengeneza simu zenye hardware nzuri ila kwenye software atakosana na wengi. Sio kwamba software yake ni mbaya ila haiko optimised kwa matumizi ya Google services, plus app developers wako busy na kutengeneza apps kwa ajili ya Android na iOS sio HarmonyOS.
Huawei itabidi aendelee kutumia Android kwenye simu zake za Ulaya maana bila Mmarekani hatoboi. Hiyo HarmonyOS aiache kwa Wachina hukohuko
Huawei kwenye soko harudi tena. Kwa China kwenye simu ongelea kampuni kama Xiaomi, Oppo, Vivo, One Plus, Honor, nk ila sio Huawei tena