China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

Halafu mbona nimeingia mtandaoni, naona TESLA ndio zinauza sana

Mauzo ya battery electric vehicles ya Tesla yako juu kuliko BYD licha ya TESLA kuwa expensive View attachment 2857460

Kutoka January hadi August, Tesla Model Y ndio EV iliyonunuliwa zaidi duniani. Tesla ameuza units 772364 za Model Y pekee. Kumbuka Model Y inauzwa kuanzia $43990 ila bado wameuza nyingi utafikiri ice cream mpaka inaongoza dunianiView attachment 2857475

Nafasi ya pili inashikiliwa na Tesla Model 3. Tesla ameuza units 364403 za Model 3 pekee. Model 3 inauzwa kwa $38000
View attachment 2857463

Namba tatu ni BYD Atto 3/ Yuan plus. BYD wameuza units 265688 za BYD Atto 3 ya around $40,000 na hii ndio BYD iliyouza kuliko zote ambayo mauzo yake hata uzidishe mara 2 haifikii Tesla Model Y kwa mauzo
View attachment 2857492

Kwa hiyo ninachosema ni kwamba BYD ana EV nzuri sana sikatai ila ili auze kama Tesla inabidi atoe model nyingi sana tena za bei tofauti tofauti na za chini. Si umeona mauzo ya BYD Atto 3 yalivyo ukilinganisha na Tesla Model Y?
Hata hivyo watu wa China wana maisha ya chini ukifananisha na USA na wachina wamezaliana sana kwa hiyo BYD inawapasa watengeneze magari mengi tofauti tofauti ambayo hata soko la nyumbani linaweza afford

Tesla bado yuko juu kuliko BYD ila sikatai BYD nayo iko vizuri kwenye EV maana dunia nzima ukitoa TESLA sijaona wa kumfananisha na BYD kwenye hii sekta

List inaendelea hapa chiniView attachment 2857461
Tesla mauzo yake yameshuka hadi ameanza kupunguza bei za gari zake kwa hadi waliotangukia kunu ua wanalalamika na tunaposema BYD ameanza kumfunika tesla ni kwamba ameanza kuchukua soko la tesla si china tu hadi europe kama ambavyo huawei alikuwa kaanza chukua soko la samsung. You can just goofle that. Ukiachana na hilo, mwaka huu china ndiye kaongoza kuuza magari in general. Yani hapo ukichanganya gari za umeme na gasoline.
Tesla is losing his market to byd. Mwaka huu kashusha bei za gari zake zaidi ya mara moja kuzuia hilo. Kama ulivyo google takwimu just google how byd is taking on tesla.
 
Mauzo ya Tesla kushuka kwenye quarter 3 ni wake up call tu, makampuni huwa yanajua cha kufanya yanapoona crisis
Kwa mfano kama ulisikia kuhusu kuporomoka kwa mauzo ya simu za Xiaomi duniani mwanzoni mwa mwaka huu hadi kufikia katikati ya mwaka, ila huwezi amini sasahivi simu za Xiaomi zimerudi kwenye mstari, imechukua miezi michache tu kufanya hivyo

Halafu kuongoza kuuza magari duniani au kuongoza kwa mauzo sijui ya nini huko China, ni kwa sababu ya factor mbili kwa sana
1. Population kubwa ya China
2. Bei rahisi

Ni kama tu Transsion (Infinix, Tecno na itel) zinauzwa kuliko Google Pixel ila huwezi kuniambia zimezidi Google Pixel ubora
 
Mauzo ya Tesla kushuka kwenye quarter 3 ni wake up call tu, makampuni huwa yanajua cha kufanya yanapoona crisis
Kwa mfano kama ulisikia kuhusu kuporomoka kwa mauzo ya simu za Xiaomi duniani mwanzoni mwa mwaka huu hadi kufikia katikati ya mwaka, ila huwezi amini sasahivi simu za Xiaomi zimerudi kwenye mstari, imechukua miezi michache tu kufanya hivyo

Halafu kuongoza kuuza magari duniani au kuongoza kwa mauzo sijui ya nini huko China, ni kwa sababu ya factor mbili kwa sana
1. Population kubwa ya China
2. Bei rahisi

Ni kama tu Transsion (Infinix, Tecno na itel) zinauzwa kuliko Google Pixel ila huwezi kuniambia zimezidi Google Pixel ubora
Sasa wewe na bloombergy na mitanado mingine mikubwa yenye kufanya analysis based on data nani aaminike?
Haya si maneno ya watu wa jf ni analysis na data za institution kubwa kubwa.
Umoja wa ulaya ndio unasema wazi wzi kuwa evs za china watazilima kodi ili kuzuia upepo wa kuchukua soko la magari yao.
 
Sasa wewe na bloombergy na mitanado mingine mikubwa yenye kufanya analysis based on data nani aaminike?
Haya si maneno ya watu wa jf ni analysis na data za institution kubwa kubwa.
Umoja wa ulaya ndio unasema wazi wzi kuwa evs za china watazilima kodi ili kuzuia upepo wa kuchukua soko la magari yao.
Hebu punguza dharau, kwani mambo ninayoyaongea mimi ninayatunga ama? Halafu wewe ndio unafanya research

Dunia nzima inajua EV za China zinauza sana kwa sababu ni affordable. Bei ndio zinawabeba. Sasa kusema kinachobeba mauzo ya product za Mchina ni bei rahisi, nashangaa unaanza kunifananisha na Bloomberg kwenye kufanya research

Hii hapa chini ndio reason inayofanya mauzo ya BYD yawe juu.
Screenshot_2023-12-30-17-23-41-468_com.android.chrome.jpg

Mimi sijatunga kitu chochote hapo. In fact, kubishana na nyinyi kwenye hii thread ndio kunafanya nigoogle information nyingi
 
Hebu punguza dharau, kwani mambo ninayoyaongea mimi ninayatunga ama? Halafu wewe ndio unafanya research

Dunia nzima inajua EV za China zinauza sana kwa sababu ni affordable. Bei ndio zinawabeba. Sasa kusema kinachobeba mauzo ya product za Mchina ni bei rahisi, nashangaa unaanza kunifananisha na Bloomberg kwenye kufanya research

Hii hapa chini ndio reason inayofanya mauzo ya BYD yawe juu. View attachment 2857512
Mimi sijatunga kitu chochote hapo. In fact, kubishana na nyinyi kwenye hii thread ndio kunafanya nigoogle information nyingi
Kasome comment za wazungu, ukiachilia mbali kuwa affordable zina offer more features kuliko hizo tesla na gari za ulaya kama bmw, sijui volkswagen.
Umoja wa ulaya una hofu juu ya EVs za china kuteka soko la Ulaya.
Mchina ni mchina is doing what he does best. Alianza kama utani utani and he is making it
 
Kasome comment za wazungu, ukiachilia mbali kuwa affordable zina offer more features kuliko hizo tesla na gari za ulaya kama bmw, sijui volkswagen.
Umoja wa ulaya una hofu juu ya EVs za china kuteka soko la Ulaya.
Mchina ni mchina is doing what he does best. Alianza kama utani utani and he is making it
Najaribu kufuatilia hizo comments naona TESLA ndio inasifika kwa features nyingi kushinda BYD

Screenshot_2023-12-30-17-34-34-780_com.android.chrome.jpg


Naomba unisaidie ni wapi kwa kusoma hizo comments za wazungu zinazosema BYD zinaoffer features nyingi kuliko Tesla.
 
Najaribu kufuatilia hizo comments naona TESLA ndio inasifika kwa features nyingi kushinda BYD

View attachment 2857517

Naomba unisaidie ni wapi kwa kusoma hizo comments za wazungu zinazosema BYD zinaoffer features nyingi kuliko Tesla.
Nmekuwa kwenye forums mbalimbali, comments za wanaotumia magari ya Evs toka china huko ulaya wanayasifia kuwa ni reliable na yanakuja na features na options nyingi kuliko tesla na magari ya Ualaya.
Kama kigezo kingekuwa affordability tu, chevrolet ana EVs ambazo ni affordable zaidi
 
Nmekuwa kwenye forums mbalimbali, comments za wanaotumia magari ya Evs toka china huko ulaya wanayasifia kuwa ni reliable na yanakuja na features na options nyingi kuliko tesla na magari ya Ualaya.
Kama kigezo kingekuwa affordability tu, chevrolet ana EVs ambazo ni affordable zaidi
Basi nitajie jina la forum mojawapo
 
Bendera fuata upepo hizo chip wabakie nazo wapikie chips yai ..na kiwanda kitaenda kufungwa
Wabongo kujadili masuala ya watu wako vizuri utafikiri wao ndiyo wanaishi huko au nao wanatengeneza.
Ogopa sana mtu anayeitwa capitalist, siyo wa kucheza naye ana akili mingi sana
Wewe nchi yako hata kuruhusu paypal ni shida halafu unasema hizo chip watakaangia chips😁😁😁😁😁😁
 
Wabongo kujadili masuala ya watu wako vizuri utafikiri wao ndiyo wanaishi huko au nao wanatengeneza.
Ogopa sana mtu anayeitwa capitalist, siyo wa kucheza naye ana akili mingi sana
Wewe nchi yako hata kuruhusu paypal ni shida halafu unasema hizo chip watakaangia chips😁😁😁😁😁😁
Dunia nzima inazungumzia Tech. Hata hao wazungu na wachina usidhani kila mzungu au kila mchina anahusika katika kukuza teknolojia. Kuna normal people pia, ambao nao huzungumzia tech kama tu mimi na wewe

Halafu huyo jamaa hapo juu analeta utani. Anadhani USA ni kama China
 
Dunia nzima inazungumzia Tech. Hata hao wazungu na wachina usidhani kila mzungu au kila mchina anahusika katika kukuza teknolojia. Kuna normal people pia, ambao nao huzungumzia tech kama tu mimi na wewe

Halafu huyo jamaa hapo juu analeta utani. Anadhani USA ni kama China
Ila kwa nchi ya Tanzania imezidi ujinga kwenye suala la Tech
Huwa namhurumia sana kijana aliyetoka chuo aliyesomea masuala ya tech na anataka kujiajiri.
Dunia ilipofikia unaweza kutengeneza application 1 tu na ikakuingizia hela nyingi sana kutoka kila dunia ila mifumo ya hapa Tanzania ya kupokea hela na kutuma ipo kwenye karne 14.
 
Ila kwa nchi ya Tanzania imezidi ujinga kwenye suala la Tech
Huwa namhurumia sana kijana aliyetoka chuo aliyesomea masuala ya tech na anataka kujiajiri.
Dunia ilipofikia unaweza kutengeneza application 1 tu na ikakuingizia hela nyingi sana kutoka kila dunia ila mifumo ya hapa Tanzania ya kupokea hela na kutuma ipo kwenye karne 14.
Bongo hata serikali nayo inatufelisha kwenye Tech
 
Unalosema ni sawa na kulalamika kwamba Ronaldo au Messi wanajua kucheza vizuri ndio maana wana mataji mengi.

Marekani imeanzishwa na wageni imported from Britain, Germany, Russia, France, Spain, Austria na kwingine. Alafu unalalamika Marekani kutafuta vichwa sehemu mbalimbali duniani. Si ndio maana ya kuwa land of the free.
Umeeleza vizuri
Wale wote Marekani sio kwao ukitoa Red Indians. Mkumbushe pia Marekani inaundwa hadi na Waafrika kwa hiyo Acha watafute vichwa sehemu nyingine duniani kama tu walivyounda nchi kupitia watu wa nchi totauti totauti ulimwenguni
 
Umeeleza vizuri
Wale wote Marekani sio kwao ukitoa Red Indians. Mkumbushe pia Marekani inaundwa hadi na Waafrika kwa hiyo Acha watafute vichwa sehemu nyingine duniani kama tu walivyounda nchi kupitia watu wa nchi totauti totauti ulimwenguni
Wazungu wanaakili sana na waliona mbali sana. Tukubali wametuzidi sana hata uwezo wa kufikiri kwao ni mkubwa.
Marekani kuna raia karibia kutoka nchi zote duniani na wanafanya kazi na wengine wanafanya taasisi nyeti km FBI na CIA lkn wanafanya kazi kwa upendo kama raia wa Marekani. Mfano mzuri muangalie Barack Obama
Sisi ambao tunaishi waafrika tu tena watanzania kbsa tumetengeneza nini mpk sasa?
 
Back
Top Bottom