China evil plan for Africa revealed

China evil plan for Africa revealed

acha waje tu covid tunazo mifukoni nikwarushia tu wanakufa
 
Kwa Tanzania wachina wenye uraia wa kuzaliwa hadi sasa wameshafikia elfu sitini.
 
KWELI HATA KWENYE MAENEO YA KAZI WANAJIVUNIA SANA RUSHWA NA UMASKINI WA VIONGOZI WETU
 
Nashanagaa kuonna wachina wnaUngukq na vimichezo yao ya korokoro na magar kukusanya pesa huku serekali ikiwatazama tu ..laiti ningekuwa na mamlka Bora nikoze hyo Kodi nawafurusha wale wote wanaofanya michezo yao ya ovyo ovyo ..wabaki wa kunyenga barabar na wakimliza nawafurusha faster wasituzoee
 
Hapa tanzia wameanzisha kampuni ya ulinzi inaitwa CT China tanzaania securit
 
Ni kama vile waafrika hatujitambui kabisa.

Nashangaa eti wachina wanaruhusiwa kuendesha michezo ya kamari hadi vijijini ndanindani huko!

Serikali ngazi zote zipo.

Aaaaaah.

Bila shaka kwa mfano huo washatuona bure kabisa. Hawatasita kubuni makubwa zaidi.

Hebu na tuongeze maono na malengo yetu kwa kuangalia miaka 100 ijayo.

Huenda tunaangalia tu umbali sawa na umri wetu au miaka iliyobaki kabla hatujaondoka duniani.

Wenye mamlaka mbalimbali mnajali?
 
Mtu yeyote anadhani china ni watu wazuri basi azidi kusali. Aone kitakacho tokea. Hawa ni watu hatari sana tusipo wadhibiti na kuweka mipaka.
Huo uwezo wa kuweka mipaka ndo hatukuwahi kuwa nao kabla hata ya wazungu kugawana Afrika kuanzia hiyo miaka ya 1885, itakuwa leo kwa Mchina?
 
Back
Top Bottom