China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

Mkuu shukrani kwa kuorodhesha baadhi ya mashine ila mifano ya mashine ulizotoa ni za kawaida sana,Nilitegemea kwa uzoefu wako ungeniambia mashine simple ya kutengenezea mifuko laini,mifuko ya kaki,mashine ndogo ya kutengenezea vitu kama take-away,mashine ya kutengenezea bic,mashine ndogo za kutengenezea viatu etc,hiyo ni mifano ila nategemea baada ya kusoma uzi huu utanielewa zaidi,Natanguliza shukrani

Safi sana, umelenga kama wazo langu, tumuombe #kipilipili kwa uzoefu wake kama anaweza kupata bei ya hizo mashine ulizoorozesha hapo atusaidie, tanzania tunaweza tukianua wenyewe
 
Asante mkuu, vizuri umeorodhosha vitu ambavyo ulikisudia. Ngoja niwaachie wengine watupe uzoefu katika vifaa hivyo

Mkuu hali ya usalama ikoje? Na hawa ndugu zetu Wabongo wanaoabudu utapeli na kuingizana mkenge wameshaweka maskani huko?

Na homeshopping center nina taarifa wao ndio mawakala wakubwa wa kusafirisha mizigo wa wabongo je hawana ubabaishaji?

Kwa biashara ya nguo unashauri mtu aanze na mtaji kiasi gani? Kwq uzoefu wako kuishi China wiki mbili hotel na chakula inaweza kukugharimu kiasi gani?

Na vipi kuhusu polisi wa China ni waadirifu? Nchi nilizowahi kwenda mimi hakuna kitu kubambikiwa kesi na polisi labda kwenye mambo ya siasa tu.
 
Mkuu hali ya usalama ikoje? Na hawa ndugu zetu Wabongo wanaoabudu utapeli na kuingizana mkenge wameshaweka maskani huko?

Na homeshopping center nina taarifa wao ndio mawakala wakubwa wa kusafirisha mizigo wa wabongo je hawana ubabaishaji?

Kwa biashara ya nguo unashauri mtu aanze na mtaji kiasi gani? Kwq uzoefu wako kuishi China wiki mbili hotel na chakula inaweza kukugharimu kiasi gani?

Na vipi kuhusu polisi wa China ni waadirifu? Nchi nilizowahi kwenda mimi hakuna kitu kubambikiwa kesi na polisi labda kwenye mambo ya siasa tu.

Mkuu,
hali ya usalama kwa ujumla ni nzuri sana, na jamaa wako vizuri katika system. Cha msingi fuata sheria na fuata kilichokupeleka.ukilikoroga utalinywa tena bila zengwe hawana utani .Sijawahi kushuhudia ubambikaji wa kesi!

kuhusu wabongo na utapeli:mkuu kutapeliwa kupo mahala popote, cha msingi ni kuepuka tamaa na jitahidi kuwa makini na kila unachofanya! Usimuamini mtu hasa unapokutana na country mates zako au watu kutoka ukanda mmoja wa east africa. Usimlete mtu chumbani ulikofikia. Mnajuana barabarani na mnaachana huko huko. Kama ni kukutana basi kutaneni sehemu ya chakula kama vile hoteli nk. Wapo wabongo ambao unawalipa kiasi cha pesa na wanakuzungusha masokoni ila ni muhimu uwe umeunganishwa na mtu unae muamini na iwe ni kwa ajili ya escort tu. Asikupige longolongo nyingine, atakuliza!

kuhusu home shopping center binafsi sijawahi kufanya nao kazi, kwa hiyo naomba nisizungumze lolote kuhusu wao ila nakiri kuwa wapo wanaosafirisha kupitia hao jamaa.kama wapo humu watusaidie taarifa tafadhali.

Kuhusu mtaji wa biashara ya nguo;mara nyingi nimekuwa mgumu kusema mtaji mtu aanze na kiasi gani kwa sababu tunatofautiana scale na vision ya biashara zetu. Hivyo hata mtaji unaweza kuwa tofauti unless mtu awe specific katika aina ya nguo anazotaka kuchukua na matarajio yake ya mauzo then unaweza ukakadiria mtaji wake. Ila kukadiria from "unknown ground " huwa inakuwa ngumu mana unaweza ukataja less au zaidi ya pesa halisi

Kuhusu chakula na kukaa hoteli kwa wiki mbili. Nimeeleza tayari estimation za malazi na chakula hapo juu. Kwa hiyo unaweza kurejea na kufanya makadirio kwa idadi ya siku hizo.
 
Nataka kuagiza kitimoto na Kuku kutoka china

Hahaa mkuu rejea nadharia ya demand and supply. Ukiagiza hizo bidhaa na kuingiza nchini UTAPATA HASARA(I promise you). Nakushauri, achana na hilo wazo kwa sababu supply ya hizo bidhaa hapa kwetu ni kubwa pengine kuliko hata demand yake.
 
Habari wana jukwaa,

Kumekuwa na ongezeko kubwa la wafanyabishara kutoka Tanzania kwenda China kufanya biashara mbalimbali kama nguo, vipuri vya magari na pikipiki, vifaa vya electronics nk. Najua kuna thread nyingi zimewahi kuzungumzia biashara za China, lakini nimuombe #invisible aifanye hii iwe sticky thread ili iwe refernce point kwa kila anaehitaji kufanya biashara China.

Nitaeleza KIDOGO Kuhusu biashara za China.
BIASHARA YA NGUO: hii inapendwa sana kufanywa na kina dada japo wanaume pia wapo. Wengi walio wageni na biashara hii wamejikuta wakipata hasara hasa wanapofika tu miji kama Guanzhou na kuanza kununua nguo bila kuangalia hali ya soko Tanzania ikoje.

Hujikuta wakinunua nguo on their perspective and not customers perspective! Kinachowavutia machoni mwao ndicho wanachonunua kwa matarajio watauza tu. Wengine wananunua na wanapofika na mzigo kariakoo wanakuta mzigo kama huo uloshaingia a week/month before hivyo kujikuta wanauza kwa bei ya hasara.

Ushauri: jaribu kutafuta wateja kabla Tanzania , wakupe order na sample kisha ukifika China nunua kile walichokuagiza.Pia jitahidi ujue ni fashion gani bongo iko sokoni na mpaka mzigo umefika bongo,je bado hiyo fashion ulionunua itakuwa inauza? Mind you kwamba biashara ya nguo hasa za WANAWAKE zinaendeshwa kwa nguvu ya soko na fashion hubadilika mara kwa mara!Biashara ya nguo za watoto au wanaume kidogo fashion zake zinakaa muda mrefu ukilinganisha na za wanawake.

BIASHARA YA VIFAA VYA ELEKTRONIKI kama simu na accessories zake, music system n.k
Miji mizuri ya kununua mzigo kwa biashara hii ni Shenzhen na Honkong ,japo mji wa Guanzhou pia ni maarufu isipokuwa fake products kwa Guanzhou ni kubwa zaidi. Changamoto kubwa ya biashara hii ni FAKE PRODUCTS. Angalia wateja wako ni watu wa namna gani. Most low income earners ambao kwa Tanzania ndio wengi, wanapenda cheap price.

Kwahiyo, ukinunua genuine products huwezi kuuza bongo kwa sababu bei itakuwa iko juu na wao watashindwa. Kwa hiyo jua needs and wants za customers wako kabla hujaamua kununua mzigo.Kwa mtu mwenye mtaji mdogo unaweza kuanza na kununua phone acssesories na simu chache tu za bei ya chini, utakuwa unaongeza idadi ya simu kidogo kidogo kadri mtaji unavyokua.Pia kama una mtaji mkubwa unaweza kuingiza used products kama photocopier machines ila jitahidi uwe na orders kabla hujaleta kwa sababu ukija nazo nyingi bila order zinaweza kukaa muda mrefu ukajikuta unaanza kula mtaji.

Wakati unasafirisha photocopier machines jitahidi ununue vitu vidogo vidogo kama vile memory cards, USB cards, power banks nk na uviweke pamoja ndani ili ukija bongo wakati unasubiri kuuza photocopier machines unauza hivyo vitu vidogo vidogo ili kupata faida kidogo kidogo na kuhakikisha huli mtaji.

Kumbuka hapa utasafirisha kwa meli na huwa wanapima CBM na sio uzito kwa hiyo hivyo vitu vidogo vidogo cost yake ya kusafirisha itakuwa imemezwa na hizo machines.Photocopier machines nimetoa kama mfano wa moja ya bidhaa lakini vipo vimashine vingi tu ambavyo unaweza kusafirisha kama:Mashine za juice ya miwa, hizi zimekuwa na demand kubwa sana kwa sasa Tanzania. Wateja wake wapo , kama utakuwa na mtaji mzuri unaweza kununua hizi na kuleta. Nyingi ni portable na modern. Ni kiasi cha kutafuta orders na kisha kuleta.

USAFIRI: Zipo kampuni nyingi zinazosafirisha mizigo kwa njia ya ndege na meli. Kampuni kama THE LAND, SILENT OCEAN ni baadhi tu na hizi zina ofisi zao pale pale Guanzhou na bei zake zinatofautiana kutegemeana unasafirisha kwa njia gani yaani ndege au meli. Na unapolipia wao ndio huhusika na clearance na kila kitu, wewe ukifika bongo unachukua tu mzigo wako kwenye Ghala lao.

MALAZI: Hapa nitazungumzia mji wa Guanzhou ambao ndio wenye wafanyabiashara wengi wa mataifa mbalimbali hasa Afrika. Zipo hoteli za hadhi tofauti, bei kutoka 120 yuan(36,000 Tsh) ikiwa ni bei ya chini labisa na kuendelea kutegemeana na mfuko wako. Maeneo kama "shaobei lu" ni maarufu kwa watu weusi na utakisikia kiswahili kila baada ya hatua kadhaa. Hoteli za pembeni ya mji bei huweza kuwa chini mpaka yuan 100.

CHAKULA: zipo hoteli nyingi Guanzhou na shenzen zinazomilikiwa na foreigners na wanauza chakula kizuri japo kiko ghali kidogo, ila kama unahitaji chakula cha bei ya chini na ambacho ni HALAL (wengi huhofia kulishwa mbwa,kitimoto,nk) unaweza kula kwenye sehemu nyingi ambazo huuza wachina waislamu wenye asili ya Xinjiang ambao huuza HALAL food kwa bei poa kuanzia Yuan 15(4500 Tsh) na kuendelea kutegemea na aina ya chakula ulichoagiza. Kuwa makini na vyakula mana wale wenzetu huwa wanakula vyakula vingi vya "ajabu ajabu".

Nimegusa juu juu vitu vichache mno kuchokoza mada ili wengine waongezee uzoefu na iwe msaada kwa kila anaetaka kufanya biashara China.

Karibuni tujadili na kusaidia wengine

Naomba namba yako kama hutojali bro #kipilipili nmekuwa interested sana na uelewa wako juu ya ujasiliamali wa watu wenye mitaji midogo
 
uzi safi sana.. leo tu nimetuma usd zangu 3000 pale silent ocean...

huduma nimepata safi.. mdada mrembo recho na totoz za kiarabu zinapiga kazi safiiiiii...

kiukweli dunia sasa kama kijiji... kila unachotaka kinapatikana mikononi.mwako
 
uzi safi sana.. leo tu nimetuma usd zangu 3000 pale silent ocean...

huduma nimepata safi.. mdada mrembo recho na totoz za kiarabu zinapiga kazi safiiiiii...

kiukweli dunia sasa kama kijiji... kila unachotaka kinapatikana mikononi.mwako

Hahaa....mkuu naona umeweka na msisitizo hapo kwenye "TOTOZ", chonde chonde usije ukala mtaji(joking). By the way, karibu and share with us your valuable experience! Karibu sana!
 
Habari wana jukwaa,

Kumekuwa na ongezeko kubwa la wafanyabishara kutoka Tanzania kwenda China kufanya biashara mbalimbali kama nguo, vipuri vya magari na pikipiki, vifaa vya electronics nk. Najua kuna thread nyingi zimewahi kuzungumzia biashara za China, lakini nimuombe #invisible aifanye hii iwe sticky thread ili iwe refernce point kwa kila anaehitaji kufanya biashara China.

Nitaeleza KIDOGO Kuhusu biashara za China.
BIASHARA YA NGUO: hii inapendwa sana kufanywa na kina dada japo wanaume pia wapo. Wengi walio wageni na biashara hii wamejikuta wakipata hasara hasa wanapofika tu miji kama Guanzhou na kuanza kununua nguo bila kuangalia hali ya soko Tanzania ikoje.

Hujikuta wakinunua nguo on their perspective and not customers perspective! Kinachowavutia machoni mwao ndicho wanachonunua kwa matarajio watauza tu. Wengine wananunua na wanapofika na mzigo kariakoo wanakuta mzigo kama huo uloshaingia a week/month before hivyo kujikuta wanauza kwa bei ya hasara.

Ushauri: jaribu kutafuta wateja kabla Tanzania , wakupe order na sample kisha ukifika China nunua kile walichokuagiza.Pia jitahidi ujue ni fashion gani bongo iko sokoni na mpaka mzigo umefika bongo,je bado hiyo fashion ulionunua itakuwa inauza? Mind you kwamba biashara ya nguo hasa za WANAWAKE zinaendeshwa kwa nguvu ya soko na fashion hubadilika mara kwa mara!Biashara ya nguo za watoto au wanaume kidogo fashion zake zinakaa muda mrefu ukilinganisha na za wanawake.

BIASHARA YA VIFAA VYA ELEKTRONIKI kama simu na accessories zake, music system n.k
Miji mizuri ya kununua mzigo kwa biashara hii ni Shenzhen na Honkong ,japo mji wa Guanzhou pia ni maarufu isipokuwa fake products kwa Guanzhou ni kubwa zaidi. Changamoto kubwa ya biashara hii ni FAKE PRODUCTS. Angalia wateja wako ni watu wa namna gani. Most low income earners ambao kwa Tanzania ndio wengi, wanapenda cheap price.

Kwahiyo, ukinunua genuine products huwezi kuuza bongo kwa sababu bei itakuwa iko juu na wao watashindwa. Kwa hiyo jua needs and wants za customers wako kabla hujaamua kununua mzigo.Kwa mtu mwenye mtaji mdogo unaweza kuanza na kununua phone acssesories na simu chache tu za bei ya chini, utakuwa unaongeza idadi ya simu kidogo kidogo kadri mtaji unavyokua.Pia kama una mtaji mkubwa unaweza kuingiza used products kama photocopier machines ila jitahidi uwe na orders kabla hujaleta kwa sababu ukija nazo nyingi bila order zinaweza kukaa muda mrefu ukajikuta unaanza kula mtaji.

Wakati unasafirisha photocopier machines jitahidi ununue vitu vidogo vidogo kama vile memory cards, USB cards, power banks nk na uviweke pamoja ndani ili ukija bongo wakati unasubiri kuuza photocopier machines unauza hivyo vitu vidogo vidogo ili kupata faida kidogo kidogo na kuhakikisha huli mtaji.

Kumbuka hapa utasafirisha kwa meli na huwa wanapima CBM na sio uzito kwa hiyo hivyo vitu vidogo vidogo cost yake ya kusafirisha itakuwa imemezwa na hizo machines.Photocopier machines nimetoa kama mfano wa moja ya bidhaa lakini vipo vimashine vingi tu ambavyo unaweza kusafirisha kama:Mashine za juice ya miwa, hizi zimekuwa na demand kubwa sana kwa sasa Tanzania. Wateja wake wapo , kama utakuwa na mtaji mzuri unaweza kununua hizi na kuleta. Nyingi ni portable na modern. Ni kiasi cha kutafuta orders na kisha kuleta.

USAFIRI: Zipo kampuni nyingi zinazosafirisha mizigo kwa njia ya ndege na meli. Kampuni kama THE LAND, SILENT OCEAN ni baadhi tu na hizi zina ofisi zao pale pale Guanzhou na bei zake zinatofautiana kutegemeana unasafirisha kwa njia gani yaani ndege au meli. Na unapolipia wao ndio huhusika na clearance na kila kitu, wewe ukifika bongo unachukua tu mzigo wako kwenye Ghala lao.

MALAZI: Hapa nitazungumzia mji wa Guanzhou ambao ndio wenye wafanyabiashara wengi wa mataifa mbalimbali hasa Afrika. Zipo hoteli za hadhi tofauti, bei kutoka 120 yuan(36,000 Tsh) ikiwa ni bei ya chini labisa na kuendelea kutegemeana na mfuko wako. Maeneo kama "shaobei lu" ni maarufu kwa watu weusi na utakisikia kiswahili kila baada ya hatua kadhaa. Hoteli za pembeni ya mji bei huweza kuwa chini mpaka yuan 100.

CHAKULA: zipo hoteli nyingi Guanzhou na shenzen zinazomilikiwa na foreigners na wanauza chakula kizuri japo kiko ghali kidogo, ila kama unahitaji chakula cha bei ya chini na ambacho ni HALAL (wengi huhofia kulishwa mbwa,kitimoto,nk) unaweza kula kwenye sehemu nyingi ambazo huuza wachina waislamu wenye asili ya Xinjiang ambao huuza HALAL food kwa bei poa kuanzia Yuan 15(4500 Tsh) na kuendelea kutegemea na aina ya chakula ulichoagiza. Kuwa makini na vyakula mana wale wenzetu huwa wanakula vyakula vingi vya "ajabu ajabu".

LUGHA: wachina hutumia lugha yao kwa kila kitu. Katika miji ya biashara kama Guangzhou wachina wafanyabiashara huongea kingereza cha mawasiliano(kibovu) ila mnawasiliana na kuelewana. Pia lugha ya ishara inatumika pale panapokuwa na language barrier . Hata kama hujui kabisa kingereza unaweza kuchagua bidhaa na kisha mkapatana bei. Wenzetu wana utaratibu wa kutumia calculator kukuandikia bei, hivyo na wewe utaandika ya kwako mpaka mtafikia makubaliano. Nashauri download application yoyote ya TRANSLATION kama pleco nk ili ikusaidie kwenye mawasiliano unapokwama andika neno unslohitaji kwa kingereza kisha tafsiri kwa kichina na muoneshe mchina hilo neno, itasaidia kurahisisha mawasiliano

Nimegusa juu juu vitu vichache mno kuchokoza mada ili wengine waongezee uzoefu na iwe msaada kwa kila anaetaka kufanya biashara China.

Karibuni tujadili na kusaidia wengine

Naomba namba yako mkuu tafadhali
 
Kipilipili asante kwa kutufungua macho!!..

Nina mpango wa kuwa na kiwanda cha kidogo -mpaka cha kati. Sasa kuna mashine (food processing) kutoka China maana najua huko ndipo nitapata kwa gharama nafuu.. Please naomba contacts zako ili unipe ushauri zaidi..!!
 
[Kipilipili]



  • Kipilipili asante kwa kutufungua macho!!..

    Nina mpango wa kuwa na kiwanda cha kidogo -mpaka cha kati. Sasa kuna mashine (food processing) kutoka China maana najua huko ndipo nitapata kwa gharama nafuu.. Please naomba contacts zako ili unipe ushauri zaidi..!!​



 
mi labda nichangie kuhusu biashara ya simu ambayo ndo naifanya,mi nilikua nachukulia simu pale guangzhou original ila nyingi zilikua na problem nikabadilisha maskani sasa iv nachukulia hongkong.

kwanza HONGKONG vitu kama simu ni original alafu kama used unapata nzima na zenye quality nzuri sana ila tatizo ni gharama kubwa za kuishi hongkong..

Smartphone ambayo nachukua kule kwa 400 HKD sawa na kama 120000 hivi huku naweza kuuza si chini ya 250000 kwa simu mmoja na huku nakua na ma dealer wangu ambao nawauzia wao pia wanauza...

ubaya wa hii biashara ilikua usafiri wa shida sababu niktuma kwa ndege kama parcel hapo airport wanataka pesa nyingi kwaiyo tulikua tunawapa hawa wabongo wanaokuja huku nampa simu mbili au tatu alafu naampooza na 20000 hivi anachukua kwaiyo akifika huku kuna mtu anazipokea na pale airport hasumbuliwi sababu wanajua ni za kwake tu.
 
mi labda nichangie kuhusu biashara ya simu ambayo ndo naifanya,mi nilikua nachukulia simu pale guangzhou original ila nyingi zilikua na problem nikabadilisha maskani sasa iv nachukulia hongkong.

kwanza HONGKONG vitu kama simu ni original alafu kama used unapata nzima na zenye quality nzuri sana ila tatizo ni gharama kubwa za kuishi hongkong..

Smartphone ambayo nachukua kule kwa 400 HKD sawa na kama 120000 hivi huku naweza kuuza si chini ya 250000 kwa simu mmoja na huku nakua na ma dealer wangu ambao nawauzia wao pia wanauza...

ubaya wa hii biashara ilikua usafiri wa shida sababu niktuma kwa ndege kama parcel hapo airport wanataka pesa nyingi kwaiyo tulikua tunawapa hawa wabongo wanaokuja huku nampa simu mbili au tatu alafu naampooza na 20000 hivi anachukua kwaiyo akifika huku kuna mtu anazipokea na pale airport hasumbuliwi sababu wanajua ni za kwake tu.

Ahsante sana mkuu.
Ni kweli living cost za HK ziko juu mno kuanzia makazi hadi malazi.

Suala la usafiri linaumiza sana kichwa hasa ukizingatia jamaa wa pale "Njia panda ya ulaya"walivyo na "njaa". Pale hata uwe na laptop moja sometimes wanakukomalia hasa wakiiona ina upya kidogo...yani ni shida.

Kutokana na changamoto ya usafiri niliamua kushift na kununua bidhaa ambazo hata nikizitia kwenye meli mwezi zinakuwa bado ziko kwenye soko ,sio kama nguo ambazo ikipita mwezi ujue kariakoo waeza ukaziuza kama mtumba.
 
Habari wana jukwaa,

Kumekuwa na ongezeko kubwa la wafanyabishara kutoka Tanzania kwenda China kufanya biashara mbalimbali kama nguo, vipuri vya magari na pikipiki, vifaa vya electronics nk. Najua kuna thread nyingi zimewahi kuzungumzia biashara za China, lakini nimuombe mkuu Invisible aifanye hii iwe sticky thread ili iwe refernce point kwa kila anaehitaji kufanya biashara China.

Nitaeleza KIDOGO Kuhusu biashara za China.
BIASHARA YA NGUO: hii inapendwa sana kufanywa na kina dada japo wanaume pia wapo. Wengi walio wageni na biashara hii wamejikuta wakipata hasara hasa wanapofika tu miji kama Guanzhou na kuanza kununua nguo bila kuangalia hali ya soko Tanzania ikoje.

Hujikuta wakinunua nguo on their perspective and not customers perspective! Kinachowavutia machoni mwao ndicho wanachonunua kwa matarajio watauza tu. Wengine wananunua na wanapofika na mzigo kariakoo wanakuta mzigo kama huo uloshaingia a week/month before hivyo kujikuta wanauza kwa bei ya hasara.

Ushauri: jaribu kutafuta wateja kabla Tanzania , wakupe order na sample kisha ukifika China nunua kile walichokuagiza.Pia jitahidi ujue ni fashion gani bongo iko sokoni na mpaka mzigo umefika bongo,je bado hiyo fashion ulionunua itakuwa inauza? Mind you kwamba biashara ya nguo hasa za WANAWAKE zinaendeshwa kwa nguvu ya soko na fashion hubadilika mara kwa mara!Biashara ya nguo za watoto au wanaume kidogo fashion zake zinakaa muda mrefu ukilinganisha na za wanawake.

BIASHARA YA VIFAA VYA ELEKTRONIKI kama simu na accessories zake, music system n.k
Miji mizuri ya kununua mzigo kwa biashara hii ni Shenzhen na Honkong ,japo mji wa Guanzhou pia ni maarufu isipokuwa fake products kwa Guanzhou ni kubwa zaidi. Changamoto kubwa ya biashara hii ni FAKE PRODUCTS. Angalia wateja wako ni watu wa namna gani. Most low income earners ambao kwa Tanzania ndio wengi, wanapenda cheap price.

Kwahiyo, ukinunua genuine products huwezi kuuza bongo kwa sababu bei itakuwa iko juu na wao watashindwa. Kwa hiyo jua needs and wants za customers wako kabla hujaamua kununua mzigo.Kwa mtu mwenye mtaji mdogo unaweza kuanza na kununua phone acssesories na simu chache tu za bei ya chini, utakuwa unaongeza idadi ya simu kidogo kidogo kadri mtaji unavyokua.Pia kama una mtaji mkubwa unaweza kuingiza used products kama photocopier machines ila jitahidi uwe na orders kabla hujaleta kwa sababu ukija nazo nyingi bila order zinaweza kukaa muda mrefu ukajikuta unaanza kula mtaji.

Wakati unasafirisha photocopier machines jitahidi ununue vitu vidogo vidogo kama vile memory cards, USB cards, power banks nk na uviweke pamoja ndani ili ukija bongo wakati unasubiri kuuza photocopier machines unauza hivyo vitu vidogo vidogo ili kupata faida kidogo kidogo na kuhakikisha huli mtaji.

Kumbuka hapa utasafirisha kwa meli na huwa wanapima CBM na sio uzito kwa hiyo hivyo vitu vidogo vidogo cost yake ya kusafirisha itakuwa imemezwa na hizo machines.Photocopier machines nimetoa kama mfano wa moja ya bidhaa lakini vipo vimashine vingi tu ambavyo unaweza kusafirisha kama:Mashine za juice ya miwa, hizi zimekuwa na demand kubwa sana kwa sasa Tanzania. Wateja wake wapo , kama utakuwa na mtaji mzuri unaweza kununua hizi na kuleta. Nyingi ni portable na modern. Ni kiasi cha kutafuta orders na kisha kuleta.

USAFIRI: Zipo kampuni nyingi zinazosafirisha mizigo kwa njia ya ndege na meli. Kampuni kama THE LAND, SILENT OCEAN ni baadhi tu na hizi zina ofisi zao pale pale Guanzhou na bei zake zinatofautiana kutegemeana unasafirisha kwa njia gani yaani ndege au meli. Na unapolipia wao ndio huhusika na clearance na kila kitu, wewe ukifika bongo unachukua tu mzigo wako kwenye Ghala lao.

MALAZI: Hapa nitazungumzia mji wa Guanzhou ambao ndio wenye wafanyabiashara wengi wa mataifa mbalimbali hasa Afrika. Zipo hoteli za hadhi tofauti, bei kutoka 120 yuan(36,000 Tsh) ikiwa ni bei ya chini labisa na kuendelea kutegemeana na mfuko wako. Maeneo kama "shaobei lu" ni maarufu kwa watu weusi na utakisikia kiswahili kila baada ya hatua kadhaa. Hoteli za pembeni ya mji bei huweza kuwa chini mpaka yuan 100.

CHAKULA: zipo hoteli nyingi Guanzhou na shenzen zinazomilikiwa na foreigners na wanauza chakula kizuri japo kiko ghali kidogo, ila kama unahitaji chakula cha bei ya chini na ambacho ni HALAL (wengi huhofia kulishwa mbwa,kitimoto,nk) unaweza kula kwenye sehemu nyingi ambazo huuza wachina waislamu wenye asili ya Xinjiang ambao huuza HALAL food kwa bei poa kuanzia Yuan 15(4500 Tsh) na kuendelea kutegemea na aina ya chakula ulichoagiza. Kuwa makini na vyakula mana wale wenzetu huwa wanakula vyakula vingi vya "ajabu ajabu".

LUGHA: wachina hutumia lugha yao kwa kila kitu. Katika miji ya biashara kama Guangzhou wachina wafanyabiashara huongea kingereza cha mawasiliano(kibovu) ila mnawasiliana na kuelewana. Pia lugha ya ishara inatumika pale panapokuwa na language barrier . Hata kama hujui kabisa kingereza unaweza kuchagua bidhaa na kisha mkapatana bei. Wenzetu wana utaratibu wa kutumia calculator kukuandikia bei, hivyo na wewe utaandika ya kwako mpaka mtafikia makubaliano. Nashauri download application yoyote ya TRANSLATION kama pleco nk ili ikusaidie kwenye mawasiliano unapokwama andika neno unslohitaji kwa kingereza kisha tafsiri kwa kichina na muoneshe mchina hilo neno, itasaidia kurahisisha mawasiliano

Nimegusa juu juu vitu vichache mno kuchokoza mada ili wengine waongezee uzoefu na iwe msaada kwa kila anaetaka kufanya biashara China.

Karibuni tujadili na kusaidia wengine

Umetisha sister.

Bado upo gz au bongo?
 
Back
Top Bottom