China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

sawa. Hii kwa kifupi ni kwamba T-shirt zipo itategemea unataka ubora gani, watu wa printing wapo, inategemea tu wewe unataka design ikoje. Naweza kukusaidia katika hilo ukinipa quality, na sample ya design yako kisha nitawasiliana na wauzaji na watatupa makadirio ya gharama zao. Tuwasiliane mkuu.
Kwa hili umenigusa mkuu naomba unitumie namba yako niichangamkie hii fursa[emoji122]
 
mi labda nichangie kuhusu biashara ya simu ambayo ndo naifanya,mi nilikua nachukulia simu pale guangzhou original ila nyingi zilikua na problem nikabadilisha maskani sasa iv nachukulia hongkong.

kwanza HONGKONG vitu kama simu ni original alafu kama used unapata nzima na zenye quality nzuri sana ila tatizo ni gharama kubwa za kuishi hongkong..

Smartphone ambayo nachukua kule kwa 400 HKD sawa na kama 120000 hivi huku naweza kuuza si chini ya 250000 kwa simu mmoja na huku nakua na ma dealer wangu ambao nawauzia wao pia wanauza...

ubaya wa hii biashara ilikua usafiri wa shida sababu niktuma kwa ndege kama parcel hapo airport wanataka pesa nyingi kwaiyo tulikua tunawapa hawa wabongo wanaokuja huku nampa simu mbili au tatu alafu naampooza na 20000 hivi anachukua kwaiyo akifika huku kuna mtu anazipokea na pale airport hasumbuliwi sababu wanajua ni za kwake tu.
Mkuu naomba niPM namba yako tafadhali tufanye kazi.
 
Katika Watu Amabao Wamefaidika na haya Maelezo Mimi ni mmoja wapo, Wakati Nausoma Ulikuwa Mwaka Jana 2017 Mwezi km wa 4 hivi nilizingatia sana japo kuna watu walidharau na kuponda kwa maelezo yao lkn mm nilizingatia yale yaliyokuwa Muhimu na kuyafanyia kazi, Nikathubutu nilianza na msingi wa laki nane kwa kuagiza nguo pcs 50 na mzigo wangu ulipofika safar yangu ya biashara ikaanzia hapo, Alhamdulillah Namshukuru Allah sasa hv katika Biashara yangu nina msingi usiopungua kuanzia M8 mbaka 10...!! Shukran za Dhati kwa Mtoa Mada Najua siwezi Kukulipa Ikafikia thaman ya kile ulichokitengeneza kwangu..!
MUNGU AKUPE MOYO WA UTAJIRI NA NAJUA KILE UNACHOFANYA HAKIPOTEI BUREEE KWA MUNGU NINA IMANI ANAKULIPA NA KUFUNGULIA KWA KWA MCHANGO WAKO UNAOTOA KWETU...!
[HASHTAG]#HeriYaMwakaMpya[/HASHTAG]
 
Katika Watu Amabao Wamefaidika na haya Maelezo Mimi ni mmoja wapo, Wakati Nausoma Ulikuwa Mwaka Jana 2017 Mwezi km wa 4 hivi nilizingatia sana japo kuna watu walidharau na kuponda kwa maelezo yao lkn mm nilizingatia yale yaliyokuwa Muhimu na kuyafanyia kazi, Nikathubutu nilianza na msingi wa laki nane kwa kuagiza nguo pcs 50 na mzigo wangu ulipofika safar yangu ya biashara ikaanzia hapo, Alhamdulillah Namshukuru Allah sasa hv katika Biashara yangu nina msingi usiopungua kuanzia M8 mbaka 10...!! Shukran za Dhati kwa Mtoa Mada Najua siwezi Kukulipa Ikafikia thaman ya kile ulichokitengeneza kwangu..!
MUNGU AKUPE MOYO WA UTAJIRI NA NAJUA KILE UNACHOFANYA HAKIPOTEI BUREEE KWA MUNGU NINA IMANI ANAKULIPA NA KUFUNGULIA KWA KWA MCHANGO WAKO UNAOTOA KWETU...!
[HASHTAG]#HeriYaMwakaMpya[/HASHTAG]

ILA KUBWA ZAID ILI UFIKIE MALENGO NI LAZIMA UJITOE UJINYOME, UPUNGUZE AU UACHE KABISA MATUMIZI YASIYO YA LAZIMA, kwa Mfano km Mimi Nilikuwa Napenda sana Kuvaa yani kila siku au kila muda kununua Nguo mpya n.k STAREHE! Lkn Nikaamua, Nkathubutu na Kuachana na Matumizi yasiyo lazima, Jinyime na kua Mvumilivu sababu hvyo vipo ipo siku utavifanya kwa Uhuru zaid...!
 
Mkuu Kipilipili, mimi nilikuwa Shaghai wakati wa CIP. Nilipitia pale kwenye soko lao la mnada nikachukua Laptop HP nane ambazo nilinunua kwenye 900 UAN kila moja. Nikipiga hesabu kwa madafu haikuzidi laki sita ila nilipokuja Bongo nilipata faida ya almost laki nne kwa kila laptop...Pia nilichukua iphon 7 na Samsung kadhaa ambazo airport vyote vilipita free...Nakuja huko mwezi wa pili nataka nifanye kabisa biashara ila nikiwa tayari na masoko kwa wanafunzi nk. Pia nataka nilete flight camera niziuze kwa wanahabari.

Vipi unaonaje soko la Shanghai kwa hizo bidhaa?
Una ushauri wowote wa bidhaa nyingine nzuri ambazo naweza kuchukua mbali ya hizo?

Ikibidi nikifika tuwasiliane mkuu ila nipe kwanza ushauri!
 
Katika Watu Amabao Wamefaidika na haya Maelezo Mimi ni mmoja wapo, Wakati Nausoma Ulikuwa Mwaka Jana 2017 Mwezi km wa 4 hivi nilizingatia sana japo kuna watu walidharau na kuponda kwa maelezo yao lkn mm nilizingatia yale yaliyokuwa Muhimu na kuyafanyia kazi, Nikathubutu nilianza na msingi wa laki nane kwa kuagiza nguo pcs 50 na mzigo wangu ulipofika safar yangu ya biashara ikaanzia hapo, Alhamdulillah Namshukuru Allah sasa hv katika Biashara yangu nina msingi usiopungua kuanzia M8 mbaka 10...!! Shukran za Dhati kwa Mtoa Mada Najua siwezi Kukulipa Ikafikia thaman ya kile ulichokitengeneza kwangu..!
MUNGU AKUPE MOYO WA UTAJIRI NA NAJUA KILE UNACHOFANYA HAKIPOTEI BUREEE KWA MUNGU NINA IMANI ANAKULIPA NA KUFUNGULIA KWA KWA MCHANGO WAKO UNAOTOA KWETU...!
[HASHTAG]#HeriYaMwakaMpya[/HASHTAG]
Asante kwa kushukuru na Aamin kwa dua. Nawe MUNGU akuzidishie kheri katika biashara zako pamoja na wote waliochangia
 
Mkuu Kipilipili, mimi nilikuwa Shaghai wakati wa CIP. Nilipitia pale kwenye soko lao la mnada nikachukua Laptop HP nane ambazo nilinunua kwenye 900 UAN kila moja. Nikipiga hesabu kwa madafu haikuzidi laki sita ila nilipokuja Bongo nilipata faida ya almost laki nne kwa kila laptop...Pia nilichukua iphon 7 na Samsung kadhaa ambazo airport vyote vilipita free...Nakuja huko mwezi wa pili nataka nifanye kabisa biashara ila nikiwa tayari na masoko kwa wanafunzi nk. Pia nataka nilete flight camera niziuze kwa wanahabari.

Vipi unaonaje soko la Shanghai kwa hizo bidhaa?
Una ushauri wowote wa bidhaa nyingine nzuri ambazo naweza kuchukua mbali ya hizo?

Ikibidi nikifika tuwasiliane mkuu ila nipe kwanza ushauri!
Soko la Shanghai sina uzoefu nalo mkuu, nisije kukuingiza chaka bure mkuu. Niwaombe wengine wenye uzoezi na Shanghai waje hapa wachangie na naamini na mimi nitajifunza.
 
Katika Watu Amabao Wamefaidika na haya Maelezo Mimi ni mmoja wapo, Wakati Nausoma Ulikuwa Mwaka Jana 2017 Mwezi km wa 4 hivi nilizingatia sana japo kuna watu walidharau na kuponda kwa maelezo yao lkn mm nilizingatia yale yaliyokuwa Muhimu na kuyafanyia kazi, Nikathubutu nilianza na msingi wa laki nane kwa kuagiza nguo pcs 50 na mzigo wangu ulipofika safar yangu ya biashara ikaanzia hapo, Alhamdulillah Namshukuru Allah sasa hv katika Biashara yangu nina msingi usiopungua kuanzia M8 mbaka 10...!! Shukran za Dhati kwa Mtoa Mada Najua siwezi Kukulipa Ikafikia thaman ya kile ulichokitengeneza kwangu..!
MUNGU AKUPE MOYO WA UTAJIRI NA NAJUA KILE UNACHOFANYA HAKIPOTEI BUREEE KWA MUNGU NINA IMANI ANAKULIPA NA KUFUNGULIA KWA KWA MCHANGO WAKO UNAOTOA KWETU...!
[HASHTAG]#HeriYaMwakaMpya[/HASHTAG]
mkuu naomba unipe tips za kuagiza mimi ni mfanyabiashara wa spare za pikipiki uagizaji bila ya kwenda huko unachukua hatia gani
AHSANTE
 
mkuu naomba unipe tips za kuagiza mimi ni mfanyabiashara wa spare za pikipiki uagizaji bila ya kwenda huko unachukua hatia gani
AHSANTE
Pikipiki unataka parts zipi?
1. Chagua parts unazotaka
2. Tafuta supplier unayemtaka, ukishindwa niambie nikuunganishe na supplier waliopo
3. Omba sample za parts unazotaka
4. Tuma fedha kwaajili ya hizo sample
5. Supplier atakutumia hizo sample kwa njia ya ndege au maji
6. Ukipokea hizo sample, cheki ubora wake
7. Kama sample zinafaa, ingia mkataba wa kisheria na supplier
8. Agiza mzigo mkubwa
9. Fanya malipo kupitia bank
10. Pokea mzigo wako kupitia meli

Bado kuna swali hapo?
 
mkuu naomba unipe tips za kuagiza mimi ni mfanyabiashara wa spare za pikipiki uagizaji bila ya kwenda huko unachukua hatia gani
AHSANTE

Bwana Kipilipili ametoa somo kubwa sana nafikiri km utaanza kusoma mwanzo utapata majibu mazuri ya kutosheleza na pia sina uzoefu na hyo biashara ya spea ila kwa process na njia za kufanya anza kusoma mwanzo nafikiri utatoshelezeka ila km kuna swali lingine au hujatosheka na nilichokujibu kua huru
 
Ndio mkuu unaweza kuagiza na mzigo kukufikia ulipo. Pitia comments za wadau kuanzia mwanzo, michango ni mingi sana inayoelezea hilo. ukishindwa kabisa nitafute nitakusaidia kupata unachohitaji.
naomba namba yko pliiiiiz pengine mawazo yako yataenda kubadilisha maisha yangu mkuu
 
Mkuu Kipilipili, mimi nilikuwa Shaghai wakati wa CIP. Nilipitia pale kwenye soko lao la mnada nikachukua Laptop HP nane ambazo nilinunua kwenye 900 UAN kila moja. Nikipiga hesabu kwa madafu haikuzidi laki sita ila nilipokuja Bongo nilipata faida ya almost laki nne kwa kila laptop...Pia nilichukua iphon 7 na Samsung kadhaa ambazo airport vyote vilipita free...Nakuja huko mwezi wa pili nataka nifanye kabisa biashara ila nikiwa tayari na masoko kwa wanafunzi nk. Pia nataka nilete flight camera niziuze kwa wanahabari.

Vipi unaonaje soko la Shanghai kwa hizo bidhaa?
Una ushauri wowote wa bidhaa nyingine nzuri ambazo naweza kuchukua mbali ya hizo?

Ikibidi nikifika tuwasiliane mkuu ila nipe kwanza ushauri!
Shanghai wana bidha za kila aina, inategemea wewe unataka kufanya nini
1. Suti za kiume zipo shanghai, wana soko la uhakika pale
2. Viatu vizuri vya kiume vipo pale
3. Viwanda/Supplier wa kutengeneza Number Plate
4. Auto parts
5. Hotel and Catering material
6. Shopping/School bags
7. Office supplies
8. Vifaa vya kilimo
9. ...
List ni ndefu sana, nakushauri fanya ziara pale shanghai na mji mwingine uko karibu na pale unaitwa YIWU utaona mambo mengi sana
 
Pikipiki unataka parts zipi?
1. Chagua parts unazotaka
2. Tafuta supplier unayemtaka, ukishindwa niambie nikuunganishe na supplier waliopo
3. Omba sample za parts unazotaka
4. Tuma fedha kwaajili ya hizo sample
5. Supplier atakutumia hizo sample kwa njia ya ndege au maji
6. Ukipokea hizo sample, cheki ubora wake
7. Kama sample zinafaa, ingia mkataba wa kisheria na supplier
8. Agiza mzigo mkubwa
9. Fanya malipo kupitia bank
10. Pokea mzigo wako kupitia meli

Bado kuna swali hapo?
umenipa zaidi ya somo mkuu MUNGU akuzidishie sana...
kuhusu supplier naomba unipige tafu tena mana sina uzoefu wa kutosha ndo kwanza nimeianza mwezi uliopita
 
Back
Top Bottom