China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

Katika Watu Amabao Wamefaidika na haya Maelezo Mimi ni mmoja wapo, Wakati Nausoma Ulikuwa Mwaka Jana 2017 Mwezi km wa 4 hivi nilizingatia sana japo kuna watu walidharau na kuponda kwa maelezo yao lkn mm nilizingatia yale yaliyokuwa Muhimu na kuyafanyia kazi, Nikathubutu nilianza na msingi wa laki nane kwa kuagiza nguo pcs 50 na mzigo wangu ulipofika safar yangu ya biashara ikaanzia hapo, Alhamdulillah Namshukuru Allah sasa hv katika Biashara yangu nina msingi usiopungua kuanzia M8 mbaka 10...!! Shukran za Dhati kwa Mtoa Mada Najua siwezi Kukulipa Ikafikia thaman ya kile ulichokitengeneza kwangu..!
MUNGU AKUPE MOYO WA UTAJIRI NA NAJUA KILE UNACHOFANYA HAKIPOTEI BUREEE KWA MUNGU NINA IMANI ANAKULIPA NA KUFUNGULIA KWA KWA MCHANGO WAKO UNAOTOA KWETU...!
[HASHTAG]#HeriYaMwakaMpya[/HASHTAG]
Naomba kujua uliagiza kwa njia gani, nahitaji kuanza hiyo biashara
 
Pikipiki unataka parts zipi?
1. Chagua parts unazotaka
2. Tafuta supplier unayemtaka, ukishindwa niambie nikuunganishe na supplier waliopo
3. Omba sample za parts unazotaka
4. Tuma fedha kwaajili ya hizo sample
5. Supplier atakutumia hizo sample kwa njia ya ndege au maji
6. Ukipokea hizo sample, cheki ubora wake
7. Kama sample zinafaa, ingia mkataba wa kisheria na supplier
8. Agiza mzigo mkubwa
9. Fanya malipo kupitia bank
10. Pokea mzigo wako kupitia meli

Bado kuna swali hapo?
Na mimi nahitaji kuanza biashara ya nguo na urembo kama kuna uwezekano naomba uniunganishe na supplier wanaohusika na hizo bidhaa mkuu
 
Naomba kujua uliagiza kwa njia gani, nahitaji kuanza hiyo biashara

Ingia Playstore AU AppStore inategemea watumia simu gani download Alibaba then jisajili utakutana na bidhaa nyingi tafuta kile unachohitaji kwa umakini hata zaidi ya masiku jiridhishe kwenye page zao utakutana nao au mfate inbox muombe whatsapp namba then mtaanza wasiliana na utamueleza unachohitaji toka kwenye kampuni yake, mkiafikiana bei bas mnaanza fanya bishara
 
Ingia Playstore AU AppStore inategemea watumia simu gani download Alibaba then jisajili utakutana na bidhaa nyingi tafuta kile unachohitaji kwa umakini hata zaidi ya masiku jiridhishe kwenye page zao utakutana nao au mfate inbox muombe whatsapp namba then mtaanza wasiliana na utamueleza unachohitaji toka kwenye kampuni yake, mkiafikiana bei bas mnaanza fanya bishara
Cha kusisitiza hapa ni kwamba mkishakubaliana whatsApp kila kitu basi rudini Alibaba mmalizie mchakato. Mwambie atume quotation kupitia Alibaba kisha michakato mengine yote ifanyike ndani ya Alibaba ili akizingua uwe na uwezo wa kuomba refund. Mkimalizana nje ya Alibaba na akakupa account namba ya bank tofauti na ile anayojulikana alibaba, hapo ukilipia ujue hautakuwa na uwezo wa kurudishiwa hela yako.
Mara nyingi hudumiwa na GOLD SUPPLIER
 
Na mimi nahitaji kuanza biashara ya nguo na urembo kama kuna uwezekano naomba uniunganishe na supplier wanaohusika na hizo bidhaa mkuu
Hello!

Nguo na urembo inabidi uende China kwenye masoko ili uweze kuchagua mwenyewe

Masoko yapo katika miji ya
1. Guangzhou - hapa unaweza kupata kila kitu unachohitaji, lakini kwa kiasi kikubwa nguo zao ni low quality
2. Yiwu -
3. Shanghai -
4. Shenzhen - Nguo, handbags na viatu vizuri. Quality zao ni nzuri pia. Urembo sina hakika
 
Cha kusisitiza hapa ni kwamba mkishakubaliana whatsApp kila kitu basi rudini Alibaba mmalizie mchakato. Mwambie atume quotation kupitia Alibaba kisha michakato mengine yote ifanyike ndani ya Alibaba ili akizingua uwe na uwezo wa kuomba refund. Mkimalizana nje ya Alibaba na akakupa account namba ya bank tofauti na ile anayojulikana alibaba, hapo ukilipia ujue hautakuwa na uwezo wa kurudishiwa hela yako.
Mara nyingi hudumiwa na GOLD SUPPLIER[/QU
nami natka kuanza biashara ya nguo , mikoba je kwa kuwatumia hao alibaba nitawafanikiwa na je kuhusu malipo inakuwaje
 
Mkuu Kipilipili, mimi nilikuwa Shaghai wakati wa CIP. Nilipitia pale kwenye soko lao la mnada nikachukua Laptop HP nane ambazo nilinunua kwenye 900 UAN kila moja. Nikipiga hesabu kwa madafu haikuzidi laki sita ila nilipokuja Bongo nilipata faida ya almost laki nne kwa kila laptop...Pia nilichukua iphon 7 na Samsung kadhaa ambazo airport vyote vilipita free...Nakuja huko mwezi wa pili nataka nifanye kabisa biashara ila nikiwa tayari na masoko kwa wanafunzi nk. Pia nataka nilete flight camera niziuze kwa wanahabari.

Vipi unaonaje soko la Shanghai kwa hizo bidhaa?
Una ushauri wowote wa bidhaa nyingine nzuri ambazo naweza kuchukua mbali ya hizo?

Ikibidi nikifika tuwasiliane mkuu ila nipe kwanza ushauri!
ukienda unijulishe nami nianze safari za uko
 
Biashara ya nguo ina LAWAMA mno hasa ukinunua online. Biashara hii inabebwa sana MATERIAL. Yaani supplier anaweza kukutumia picha ya nguo ukaipenda mwonekano wake, lakini ukijakuiona kwa macho utatamani uitumbukize chooni! Hata kama supplier ametoa maelezo kuwa material ni aina fulani, lakini bado kuiona "physically" ni muhimu sana. Hii pia kwa handabags! Vinginevyo unaweza kulia aisee! Kama kuna namna ya kwenda China mwenyewe basi nenda au mpe sample anaekwenda akuletee!
 
Ingia Playstore AU AppStore inategemea watumia simu gani download Alibaba then jisajili utakutana na bidhaa nyingi tafuta kile unachohitaji kwa umakini hata zaidi ya masiku jiridhishe kwenye page zao utakutana nao au mfate inbox muombe whatsapp namba then mtaanza wasiliana na utamueleza unachohitaji toka kwenye kampuni yake, mkiafikiana bei bas mnaanza fanya bishara
Habari, naomba namba yako kama hutojali Kuna vitu nahitaji unielekeze
 
wakuu samahanin san <br />naomba mtu au watu amabo wanauzoefu na biashara ya vifaa vya simu(phone accessories) kutoka kenya au Zanzibar kwa bei ya jumla vifaa hvyo ni km vile mics,system chargers, screen touches, glass protectors, earphones, phone covers,chargers,USB cables,carbons, speakers, motherboard,memory cards, flash, battery, nk. nahitaji kujua bei ya jumla kwa hayo maeneo mawili(kenya na zanzibar) na wapi ni nafuu zaid na maeneo ambayo ni dominant kwa kuuza hvyo vifaa kwa bei ya jumla msaada plzzz wakuu<br /> cont: +255769939879<br />whatsapp na voice call online 24/7
 
Mkuu , huo mtaji wa 5000 USD( 5000X6.2 &[HASHTAG]#20803[/HASHTAG];= 31,000 &[HASHTAG]#20803[/HASHTAG]😉huo ni mtaji mkubwa tu na unaweza kufanya biashara kwa baadhi ya vitu ikiwa tu hiyo itakuwa ni nje ya nauli na pesa ya kujikimu.
BACK TO YOUR QN. Sina current price ya baadhi ya machines lakini unaweza kununua machine zifuatazo kwa mtaji wako:
1. Machine ya kutengeza bisi(popcorn )
2. Machine ya kutengeneza ice cream/ barafu
3. mashine ya kutengenezea juice mbalimbali(juicer). kama machungwa(ninayo MPYA ambayo haitumii umeme, ukihitaji tuwasiliane)
4. Mashine ya kukaangia chips(ninayo MPYA,ukihitaji tuwasiliane)
5. Mashine ya kutotolea vifaranga
6. Mashine ya kubania glasi za juice km take away(ninayo MPYA, ntafute kama unahitaji )
Nk. Wengine wataongezea
Mkuu mm nna shida na hiyo mashine ya kubana glass za juice kutoka kwako tunawasilianeje
 
Shukrani sana kwa mwazilishi wa uzi huu mkuu Kipilipili . Shukrani pia ziwafikie Software Engineer na socrate jr pamoja nawatu wote mlioshiriki toka mwanzo katika mjadala huu kwa kuchangia na wengine kuuliza maswali. Laiti watanzani wengi angekuwa na moyo huu wa kupeana taarifa kwa mambo mbalimbali basi tungewasaidia wengi.

Nashauri watu waupitie uzi huu toka mwanzo kuna mengi ya kujifunza yenye kuelimisha katika ugo wa biashara kati ya Tanzania na China.

Ngoja nijipange, kisha nitakutafuta mkuu Kipilipili ili nichukue hatua sasa kwenye eneo nililokuwa nafikiria kufanya lakini sikuwa nimepata ABC zake. Kwa maelezo yako nadhani unaweza nipa mwanga zaidi.

Kweli information is power
 
Mkuu , huo mtaji wa 5000 USD( 5000X6.2 &[HASHTAG]#20803[/HASHTAG];= 31,000 &[HASHTAG]#20803[/HASHTAG]😉huo ni mtaji mkubwa tu na unaweza kufanya biashara kwa baadhi ya vitu ikiwa tu hiyo itakuwa ni nje ya nauli na pesa ya kujikimu.
BACK TO YOUR QN. Sina current price ya baadhi ya machines lakini unaweza kununua machine zifuatazo kwa mtaji wako:
1. Machine ya kutengeza bisi(popcorn )
2. Machine ya kutengeneza ice cream/ barafu
3. mashine ya kutengenezea juice mbalimbali(juicer). kama machungwa(ninayo MPYA ambayo haitumii umeme, ukihitaji tuwasiliane)
4. Mashine ya kukaangia chips(ninayo MPYA,ukihitaji tuwasiliane)
5. Mashine ya kutotolea vifaranga
6. Mashine ya kubania glasi za juice km take away(ninayo MPYA, ntafute kama unahitaji )
Nk. Wengine wataongezea
Asante sana kwa uzi huu Mkuu Kipilipili!
In Sha Allah Mungu akuzidishie wewe na wenzako mnaotupa taarifa hizi muhimu bure kabisa!
Nimependa hizi mashine nitawasiliana nawe!
 
Back
Top Bottom