Software Engineer
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 344
- 137
Chagua parts unazotaka, nitakuunganisha na supplierumenipa zaidi ya somo mkuu MUNGU akuzidishie sana...
kuhusu supplier naomba unipige tafu tena mana sina uzoefu wa kutosha ndo kwanza nimeianza mwezi uliopita
Naomba kujua uliagiza kwa njia gani, nahitaji kuanza hiyo biasharaKatika Watu Amabao Wamefaidika na haya Maelezo Mimi ni mmoja wapo, Wakati Nausoma Ulikuwa Mwaka Jana 2017 Mwezi km wa 4 hivi nilizingatia sana japo kuna watu walidharau na kuponda kwa maelezo yao lkn mm nilizingatia yale yaliyokuwa Muhimu na kuyafanyia kazi, Nikathubutu nilianza na msingi wa laki nane kwa kuagiza nguo pcs 50 na mzigo wangu ulipofika safar yangu ya biashara ikaanzia hapo, Alhamdulillah Namshukuru Allah sasa hv katika Biashara yangu nina msingi usiopungua kuanzia M8 mbaka 10...!! Shukran za Dhati kwa Mtoa Mada Najua siwezi Kukulipa Ikafikia thaman ya kile ulichokitengeneza kwangu..!
MUNGU AKUPE MOYO WA UTAJIRI NA NAJUA KILE UNACHOFANYA HAKIPOTEI BUREEE KWA MUNGU NINA IMANI ANAKULIPA NA KUFUNGULIA KWA KWA MCHANGO WAKO UNAOTOA KWETU...!
[HASHTAG]#HeriYaMwakaMpya[/HASHTAG]
Na mimi nahitaji kuanza biashara ya nguo na urembo kama kuna uwezekano naomba uniunganishe na supplier wanaohusika na hizo bidhaa mkuuPikipiki unataka parts zipi?
1. Chagua parts unazotaka
2. Tafuta supplier unayemtaka, ukishindwa niambie nikuunganishe na supplier waliopo
3. Omba sample za parts unazotaka
4. Tuma fedha kwaajili ya hizo sample
5. Supplier atakutumia hizo sample kwa njia ya ndege au maji
6. Ukipokea hizo sample, cheki ubora wake
7. Kama sample zinafaa, ingia mkataba wa kisheria na supplier
8. Agiza mzigo mkubwa
9. Fanya malipo kupitia bank
10. Pokea mzigo wako kupitia meli
Bado kuna swali hapo?
Naomba kujua uliagiza kwa njia gani, nahitaji kuanza hiyo biashara
Cha kusisitiza hapa ni kwamba mkishakubaliana whatsApp kila kitu basi rudini Alibaba mmalizie mchakato. Mwambie atume quotation kupitia Alibaba kisha michakato mengine yote ifanyike ndani ya Alibaba ili akizingua uwe na uwezo wa kuomba refund. Mkimalizana nje ya Alibaba na akakupa account namba ya bank tofauti na ile anayojulikana alibaba, hapo ukilipia ujue hautakuwa na uwezo wa kurudishiwa hela yako.Ingia Playstore AU AppStore inategemea watumia simu gani download Alibaba then jisajili utakutana na bidhaa nyingi tafuta kile unachohitaji kwa umakini hata zaidi ya masiku jiridhishe kwenye page zao utakutana nao au mfate inbox muombe whatsapp namba then mtaanza wasiliana na utamueleza unachohitaji toka kwenye kampuni yake, mkiafikiana bei bas mnaanza fanya bishara
Hello!Na mimi nahitaji kuanza biashara ya nguo na urembo kama kuna uwezekano naomba uniunganishe na supplier wanaohusika na hizo bidhaa mkuu
nami naomba uniunganishe na supplier wa thailand natka kufanya biashara ya nguo za kike na kiume na mikoba piaChagua parts unazotaka, nitakuunganisha na supplier
Cha kusisitiza hapa ni kwamba mkishakubaliana whatsApp kila kitu basi rudini Alibaba mmalizie mchakato. Mwambie atume quotation kupitia Alibaba kisha michakato mengine yote ifanyike ndani ya Alibaba ili akizingua uwe na uwezo wa kuomba refund. Mkimalizana nje ya Alibaba na akakupa account namba ya bank tofauti na ile anayojulikana alibaba, hapo ukilipia ujue hautakuwa na uwezo wa kurudishiwa hela yako.
Mara nyingi hudumiwa na GOLD SUPPLIER[/QU
nami natka kuanza biashara ya nguo , mikoba je kwa kuwatumia hao alibaba nitawafanikiwa na je kuhusu malipo inakuwaje
ukienda unijulishe nami nianze safari za ukoMkuu Kipilipili, mimi nilikuwa Shaghai wakati wa CIP. Nilipitia pale kwenye soko lao la mnada nikachukua Laptop HP nane ambazo nilinunua kwenye 900 UAN kila moja. Nikipiga hesabu kwa madafu haikuzidi laki sita ila nilipokuja Bongo nilipata faida ya almost laki nne kwa kila laptop...Pia nilichukua iphon 7 na Samsung kadhaa ambazo airport vyote vilipita free...Nakuja huko mwezi wa pili nataka nifanye kabisa biashara ila nikiwa tayari na masoko kwa wanafunzi nk. Pia nataka nilete flight camera niziuze kwa wanahabari.
Vipi unaonaje soko la Shanghai kwa hizo bidhaa?
Una ushauri wowote wa bidhaa nyingine nzuri ambazo naweza kuchukua mbali ya hizo?
Ikibidi nikifika tuwasiliane mkuu ila nipe kwanza ushauri!
Pikipiki unataka parts zipi?
1. Chagua parts unazotaka
2. Tafuta/QUOTE]
Mkuu samahani,ntaingiaje mkataba wa kisheria na mtu ambaye yupo China na Mimi nipo Tanzania,.
Ntafurahi nikipata maelekezo
Habari, naomba namba yako kama hutojali Kuna vitu nahitaji unielekezeIngia Playstore AU AppStore inategemea watumia simu gani download Alibaba then jisajili utakutana na bidhaa nyingi tafuta kile unachohitaji kwa umakini hata zaidi ya masiku jiridhishe kwenye page zao utakutana nao au mfate inbox muombe whatsapp namba then mtaanza wasiliana na utamueleza unachohitaji toka kwenye kampuni yake, mkiafikiana bei bas mnaanza fanya bishara
Mkuu mm nna shida na hiyo mashine ya kubana glass za juice kutoka kwako tunawasilianejeMkuu , huo mtaji wa 5000 USD( 5000X6.2 &[HASHTAG]#20803[/HASHTAG];= 31,000 &[HASHTAG]#20803[/HASHTAG]😉huo ni mtaji mkubwa tu na unaweza kufanya biashara kwa baadhi ya vitu ikiwa tu hiyo itakuwa ni nje ya nauli na pesa ya kujikimu.
BACK TO YOUR QN. Sina current price ya baadhi ya machines lakini unaweza kununua machine zifuatazo kwa mtaji wako:
1. Machine ya kutengeza bisi(popcorn )
2. Machine ya kutengeneza ice cream/ barafu
3. mashine ya kutengenezea juice mbalimbali(juicer). kama machungwa(ninayo MPYA ambayo haitumii umeme, ukihitaji tuwasiliane)
4. Mashine ya kukaangia chips(ninayo MPYA,ukihitaji tuwasiliane)
5. Mashine ya kutotolea vifaranga
6. Mashine ya kubania glasi za juice km take away(ninayo MPYA, ntafute kama unahitaji )
Nk. Wengine wataongezea
nakutumia namba PM ya mtu wa dukani DSMMkuu mm nna shida na hiyo mashine ya kubana glass za juice kutoka kwako tunawasilianeje
Asante sana kwa uzi huu Mkuu Kipilipili!Mkuu , huo mtaji wa 5000 USD( 5000X6.2 &[HASHTAG]#20803[/HASHTAG];= 31,000 &[HASHTAG]#20803[/HASHTAG]😉huo ni mtaji mkubwa tu na unaweza kufanya biashara kwa baadhi ya vitu ikiwa tu hiyo itakuwa ni nje ya nauli na pesa ya kujikimu.
BACK TO YOUR QN. Sina current price ya baadhi ya machines lakini unaweza kununua machine zifuatazo kwa mtaji wako:
1. Machine ya kutengeza bisi(popcorn )
2. Machine ya kutengeneza ice cream/ barafu
3. mashine ya kutengenezea juice mbalimbali(juicer). kama machungwa(ninayo MPYA ambayo haitumii umeme, ukihitaji tuwasiliane)
4. Mashine ya kukaangia chips(ninayo MPYA,ukihitaji tuwasiliane)
5. Mashine ya kutotolea vifaranga
6. Mashine ya kubania glasi za juice km take away(ninayo MPYA, ntafute kama unahitaji )
Nk. Wengine wataongezea
Ni PM namba yako au mtu wa dukani kwako kwako Mkuu kuna mtu anahitaji mashine ya kufungia mifuko ya PopCornCheck your inbox mkuu.
ok.Ni PM namba yako au mtu wa dukani kwako kwako Mkuu kuna mtu anahitaji mashine ya kufungia mifuko ya PopCorn
Asante Mkuu!