China: Hatuna nia ya kukamata mradi wowote Afrika kwa sababu ya mkopo

China: Hatuna nia ya kukamata mradi wowote Afrika kwa sababu ya mkopo

Bagamoyo hakuna mkopo ni serikali inatoa guarantee tu. Afu mbona hamuangalii faida mnawaza tu kuuzwa kila muda, tuache inferiority complex. Concession agreements zikiwa structured vizuri ni win win maana hta tukisacrifice mapato fulani ila multiplier effect ita compensate.

Masuala ya taaluma tuachie wanataaluma. Maana hta makubaliano ya serikali na Acacia tuliwekewa public ila since then amendments nyingi zimefanywa kisiri siri bila wananchi kuhoji kitu.
Hoja sio kujengwa au kutojengwa bandari ya Bagamoyo bali vipengele vya mkataba kama vitahakikisha kuwepo kwa win win. Kwa nini ni muhimu:
1. Bandari ya Bagamoyo itakuwa na uwezo wa kupokea meli za kiwango cha 4th generation. Kwa hiyo mizigo mingi ya Tanzania na majirani zake kama DRC, Zambia, Rwanda, Malawi, Burundi na hata Uganda itabebwa na meli hizo. Hivyo bandari ya Dar out , au itapokea mizigo michache sana.
2. Endapo bandari ya Bagamoyo itajengwa na Wachina, watahakikisha shehena inayopokelewa/kutoka Tanzania au nchi jirani inapitia Bagamoyo ili warejeshe mtaji wao kwanza. Charity begins somewhere. Hili liko wazi.
3. Katika mazingira ya sasa ya biashara ya kimataifa upo uwezekano mkubwa mizigo mingi itakuwa ya China -kupokelewa au kupelekwa. Katika usafirishaji wa baharini shipping company ndiyo huamua bandari ya kushusha/kuchukulia mizigo. Ni wazi makampuni ya China yatapendelea Bagamoyo 'yao'.
4. Bandari ya Dar itabaki kupokea mizigo kidogo. Hata bandari za Zanzibar (ikiwemo inayotarajiwa kijengwa kwa ufadhili wa serikali ya Oman) zitaguswa na changamoto ya kupatikana mizigo ya kutosha. Je, hali kama hiyo haitaathiri vibaya mapato yake na mapato ya serikali kwa ujumla. Nani ataziba pengo hilo au serikali itakimbilia IMF/Benki ya Dunia.
5. Kama ufanisi wa bandari ya Dar utasuasua, je, hii haitaathiri mzunguko wa biashara katika jiji. Bagamoyo usije kuwa chazo cha Dar kusinyaa kibiashara.

Vipengele hivyo vinafikirisha lakini hatuna wasiwasi na umakini wa serikali katika suala hili lenye maslahi mapana kwa taifa kiuchumi na kisiasa.
 
Mpuuzi wewe, uchaguzi ulifanyika lini tukachagua hao wabunge wako
Whether uliwachagua or not ndio mbunge wako, so kazi yako ww ni kumbana adai mikataba ipelekwe bungeni. Kama wananchi hamuwezi kuwasimamia wabunge wenu then udhaifu unakua wa wananchi sio bunge.

Kila mtu akikutana na mbunge analia lia hana mtaji, sijui katapeliwa hati n.k ila hakunaga mtu anaehoji mambo ya kibunge kma sheria au regulations.

So shida inaanzia kwenu kabla ya bungeni
 
Hoja sio kujengwa au kutojengwa bandari ya Bagamoyo bali vipengele vya mkataba kama vitahakikisha kuwepo kwa win win. Kwa nini ni muhimu:
1. Bandari ya Bagamoyo itakuwa na uwezo wa kupokea meli za kiwango cha 4th generation. Kwa hiyo mizigo mingi ya Tanzania na majirani zake kama DRC, Zambia, Rwanda, Malawi, Burundi na hata Uganda itabebwa na meli hizo. Hivyo bandari ya Dar out , au itapokea mizigo michache sana.
2. Endapo bandari ya Bagamoyo itajengwa na Wachina, watahakikisha shehena inayopokelewa/kutoka Tanzania au nchi jirani inapitia Bagamoyo ili warejeshe mtaji wao kwanza. Charity begins somewhere. Hili liko wazi.
3. Katika mazingira ya sasa ya biashara ya kimataifa upo uwezekano mkubwa mizigo mingi itakuwa ya China -kupokelewa au kupelekwa. Katika usafirishaji wa baharini shipping company ndiyo huamua bandari ya kushusha/kuchukulia mizigo. Ni wazi makampuni ya China yatapendelea Bagamoyo 'yao'.
4. Bandari ya Dar itabaki kupokea mizigo kidogo. Hata bandari za Zanzibar (ikiwemo inayotarajiwa kijengwa kwa ufadhili wa serikali ya Oman) zitaguswa na changamoto ya kupatikana mizigo ya kutosha. Je, hali kama hiyo haitaathiri vibaya mapato yake na mapato ya serikali kwa ujumla. Nani ataziba pengo hilo au serikali itakimbilia IMF/Benki ya Dunia.
5. Kama ufanisi wa bandari ya Dar utasuasua, je, hii haitaathiri mzunguko wa biashara katika jiji. Bagamoyo usije kuwa chazo cha Dar kusinyaa kibiashara.

Vipengele hivyo vinafikirisha lakini hatuna wasiwasi na umakini wa serikali katika suala hili lenye maslahi mapana kwa taifa kiuchumi na kisiasa.
Faida ni kwenye multiplier effect ya mradi sio direct mapato kwa serikali. Mfano kma mapato yetu bandari Dar ni 1000 kwa mwaka wao wakipitisha mizigo Bagamoyo kwa spidi kubwa unakuta kwa mwaka wataingiza 3000. Ambapo kuna 1000 nzima itaishia kwa TZ sababu kuna mizigo itabebwa na SGR, Malori yetu, Benki za Tz zitapata ukwasi, ajira kwa service firms zote zitazowekeza bagamoyo, ATCL kuongeza wateja, Cross selling kupitia utalii na blue economy, n.k sasa kama hayo yote yatanyonya hyo 1000 kutoka kwa wachina hauoni itaziba pengo la hyo 1000 ambayo tulikuwa tunaipata bandari ya Dar??

Nadhani tukiangalia kwa upana huu utaona mradi una spillover effects nyingi kuliko risk ya kupoteza mapato.
 
Bagamoyo usije kuwa chazo cha Dar kusinyaa kibiashara.
Nadhani ni faida kubwa sana kwa nchi kama mikoa tofauti inageuka business hubs. So kama Dar itakufa kibiashara ila Bagamoyo ambayo ipo Tz ikapanuka kibiashara nadhani ni positive sababu tutakua na inclusive economy and urbanisation kubwa itatokea mkoa wa pwani kuelekea Tanga n.k so maendeleo yanatanuka.

So maadam Bagamoyo ni Tz then ondoa hofu hakuna hasara. Hta makao makuu yalipohamia dodoma tuliambiwa Dar ingekufa, ila that wasn't the case.
 
Deni la China kwa Zambia linatishia uhuru wa nchi hiyo hadi Rais wao mpya Hichilema kaamua ufanyike ukaguzi wa madenu yote upya na makubaliano mapya ya jinsi ya kuyalipa.
 
Ni lini mkataba umewahi kuwekwa mtandaoni, walau ungesema bungeni. Tatizo mnapenda speculation sio facts.
Siyo kweli. Terms na conditions za mikataba kwa mfano ya IMF na World Bank ziko mtandaoni. Hata letter of intent za hiyo mikopo wanaweka mtandaoni.
 
No project in Africa has been ‘seized’ by China due to inability to repay loans: Chinese Embassy in Uganda

By Global TimesPublished: Nov 29, 2021 01:08 PM Updated: Nov 29, 2021 01:39 PM


Aerial photo taken on July 11, 2020 shows the Karuma hydropower project under construction along the River Nile in Kiryandongo.district of Uganda. Photo:Xinhua

Aerial photo taken on July 11, 2020 shows the Karuma hydropower project under construction along the River Nile in Kiryandongo.district of Uganda. Photo:Xinhua

The Chinese Embassy in Uganda on Sunday pushed back against foreign media speculations that China would "seize" control of Uganda's main international airport after the country failed to repay loans, saying that no project in Africa has been "seized" by China due to inability to replay loans.

Malicious speculation that Uganda sacrificed core assets to raising Chinese fund has no factual basis and distort the traditional friendship between China and developing countries, including Uganda, a spokesperson for the embassy said.

"No project in Africa has ever been 'seized' by China because it could not repay its loan. On the contrary, China firmly supports and is willing to continue to make efforts to improve Africa's capacity for independent development," the spokesperson said.

The loan contract for Uganda's Entebbe International Airport reconstruction project was finalized in March, 2015, under which the Export-Import Bank of China offered $200 million in loan. Despite impact from the COVID-19 pandemic, the project has progressed smoothly and 75.1 percent of the work has been completed thanks to concerted efforts by Chinese firms and relevant Uganda authorities, according to the spokesperson, adding that the airport will be delivered by the end of 2022.

The spokesperson further noted that contracts for the project is in line with international financing rules. "China-Uganda cooperation always adheres to the principles of openness, transparency, equality and mutual benefit. All loan agreements, including the Entebbe Airport reconstruction and expansion project, are voluntarily signed by both parties through dialogue and negotiation. There are no hidden terms and no political conditions are attached," the spokesperson said.

In addition to the airport project, China has also provided financial support in multiple sectors of the Ugandan economy, including agriculture, education, medical, sanitation and social infrastructure, according to the embassy.

Global Times
What about Zambia?
 
Uganda si wamedonate shule Chato?
 
Bagamoyo hakuna mkopo ni serikali inatoa guarantee tu. Afu mbona hamuangalii faida mnawaza tu kuuzwa kila muda, tuache inferiority complex. Concession agreements zikiwa structured vizuri ni win win maana hta tukisacrifice mapato fulani ila multiplier effect ita compensate.

Masuala ya taaluma tuachie wanataaluma. Maana hta makubaliano ya serikali na Acacia tuliwekewa public ila since then amendments nyingi zimefanywa kisiri siri bila wananchi kuhoji kitu.
Tukiwa tunapigwa tutajuaje? Wanataaluma wangapi wamefanya ufisadi kwenye historia ya nchi hii? Wanataaluma hawaaminiki tena bro. Zero trust.
 
Tukiwa tunapigwa tutajuaje? Wanataaluma wangapi wamefanya ufisadi kwenye historia ya nchi hii? Wanataaluma hawaaminiki tena bro. Zero trust.
Sasa kma wanataaluma ndio mafisadi ina maana mkataba uchambuliwe na laymen wa mtandaoni?

Maana nisichopenda ni watu wasio ma idea na uchumi wanataka kuchambua masuala ya kiuchumi. Mtu anakomaa kwamba kuna mkopo pale, wakati serikali ikijiingiza ni guarantor tu sio mkopeshwaji!!

Then kila mtu anawaza negative, mbona hatuogopi kwamba SGR tutaporwa ama tutaporwa Tazara kisa kuna hela ya mabeberu pale?

Tuwe optimistic
 
Siyo kweli. Terms na conditions za mikataba kwa mfano ya IMF na World Bank ziko mtandaoni. Hata letter of intent za hiyo mikopo wanaweka mtandaoni.
Kwani bandari ya bagamoyo serikali yetu inakopeshwa?? Mbona tunachanganyana mkuu.
Ni kama tu wachimba madini au gesi hawatukopeshi kitu ila wanawekeza hela yao na sie tunafaidika kwa concession agreement model tunayochagua.
 
Sasa kma wanataaluma ndio mafisadi ina maana mkataba uchambuliwe na laymen wa mtandaoni?

Maana nisichopenda ni watu wasio ma idea na uchumi wanataka kuchambua masuala ya kiuchumi. Mtu anakomaa kwamba kuna mkopo pale, wakati serikali ikijiingiza ni guarantor tu sio mkopeshwaji!!

Then kila mtu anawaza negative, mbona hatuogopi kwamba SGR tutaporwa ama tutaporwa Tazara kisa kuna hela ya mabeberu pale?

Tuwe optimistic
Kila mtu wa mtandaoni siyo laymen. Ukishaanza na assumption hiyo utamaliza na wrong conclusion. Na wajibu wa hao wanataaluma ni kuwaeleza na kufanunua vitu kwa stakeholders ambao ni wananchi.
 
Kwani bandari ya bagamoyo serikali yetu inakopeshwa?? Mbona tunachanganyana mkuu.
Ni kama tu wachimba madini au gesi hawatukopeshi kitu ila wanawekeza hela yao na sie tunafaidika kwa concession agreement model tunayochagua.
Tuone mkataba kwanza kabla hatujaanza kujadili kipi kipo, kipi hakipo. Kipi kina faida, kipi kina hasara.
 
Tuone mkataba kwanza kabla hatujaanza kujadili kipi kipo, kipi hakipo. Kipi kina faida, kipi kina hasara.
Ni lini mikataba ilikua wazi Tanzania? Kuanzia wa SGR mpaka Ya Gesi ila kuna aliewahi kuhoji? Kipindi Tanzania inajitoa OGI mbona hamkupinga mlikaa kimya ila leo ndio mnahoji mikataba iwekwe wazi kwa sheria ipi? Hamkujua OGI ndio ilibana serikali kuweka wazi mikataba yote public?
 
Kila mtu wa mtandaoni siyo laymen. Ukishaanza na assumption hiyo utamaliza na wrong conclusion. Na wajibu wa hao wanataaluma ni kuwaeleza na kufanunua vitu kwa stakeholders ambao ni wananchi.
Hapo juu ulidai wanataaluma ndio mafisadi na walitufikisha hapa. Sasa kama hatuamini wasomi ndio tutaamini watu wa mtandaoni ndio wana uelewa na uzalendo?
Kidogo ungesema iundwe kamati kma ya prof.Osoro ipitie mikataba na itoe mapendekezo ila sio mkataba uwe mtandaoni wkt 90% ya waTZ hawana elimu na experience na sheria za kodi na mikataba.

Tutafanya subjective interpretation. Mfano economic benefit unakumbuka tulivyopotoshana humu mitandaoni kuwa ni faida (Mapato Ukitoa gharama za undeshaji) 50 kwa 50!!

Ndio mnataka interpretation za hivyo? Au ni bora zipite kwa tume yenye brains za kuweza kuchambua the ripoti yao ndio ije public
 
Ni lini mikataba ilikua wazi Tanzania? Kuanzia wa SGR mpaka Ya Gesi ila kuna aliewahi kuhoji? Kipindi Tanzania inajitoa OGI mbona hamkupinga mlikaa kimya ila leo ndio mnahoji mikataba iwekwe wazi kwa sheria ipi? Hamkujua OGI ndio ilibana serikali kuweka wazi mikataba yote public?
Hatujachelewa bado. Mikataba yote iwekwe wazi. Kuhusu mikopo nimeshakueleza mikopo ya IMF na WB iko wazi. Mikopo ya Mchina haiko wazi. Iwekwe wazi pia.
 
Back
Top Bottom