Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri nini kifanyike kuondoa huu ujinga?Wengine wako busy na uzinduzi wa dawa za kuua panya ma mende
Kibiashara anaenda ChinaLakini Abduli haendi china kula bata, anaenda YU-ESI-EI na vijakazi wake
Umeniwahi aisee!Tunataka kuziona kwenye mapambano front line, ampe hata Iran azijaribu pale Israeli ambapo USA ameweka zake.
Ampe Russia azitest pale Ukraine tuone uwezo wake, au alianzishe Pale Taiwan tuone uwezo wake.
Mwenzie USA silaha zake anazijua efficiency yake kwenye uhalisia Kwa maana uwanja wa vita maana ameshapigana vita nyingi na kufadhili vita nyingi, hii imempa nafasi ya kupima ufanisi wa silaha zake.
Japs aka Japan baaada yakuaccumulate silaha nyingi na kuvamia na kuziteka baadhi ya nchi akaona amemaliza na uwezo wake ni mkubwa, kilichomkuta hataki vita tena.
Si ajabu zikawa zimetengenezwa kwa maplastiki 🤣.Blah blah kibao mchina hajawai kuwa serious na kazi zake.hizo ndege zinaweza kushindwa kutoa matairi zikitaka kutua.
Wakati SR-71 Blackbird inakuwa launched kulikuwa na ushahidi hata wa jina tu la ndege, achana na picha?
Siku F-117 Nighthawk inakuwa launched jeshini, kabla ya hapo kulikuwepo ushahidi wa picha? Hadi jina waliipa F- wakati ilitakiwa iwe B-.
U-2 Dragonlady ilianza kuruka 1955, hata raia wa Wamarekani wenyewe walikuja kujua kuna ndege kama hiyo mwaka 1960 ambapo Warusi walijua.
Marekani ina testing ground, jangwani uko. Hakuna photographer wala ndege zao hawazipitishi kwenye makazi ya watu wakiwa wanafanya testing. Ndege zote za Marekani huwa zinaonekana kwenye matukio maalum yaliyopangwa. Sio kama Wachina watu wapo wanakunywa supu, wanaona ndege angani wanapiga picha.
Si ajabu zikawa zimetengenezwa kwa maplastiki 🤣.
Bajeti ya China haifiki hata nusu ya Bajeti ya Marekani.
Ogopa kitu kinachotoa silaha za moto.Matoy hayo
Umesema vyemaOgopa kitu kinachotoa silaha za moto.
Ukiwa na bajeti kubwa, utakuwa na uwezo wa kuboresha hazina yako ya silaha, utakuwa na uwezo mkubwa wa kuzifanyia majaribio, na utakuwa na uwezo mkubwa wa kufanya mambo mengi zaidi.
Ubora unaridhisha ndio maana China ni taifa la 4 duniani kwa kuuza silaha dunianiNa ubora na ufanisi wa silaha zake si wa kuridhisha.
Naona watu wanazuzuka tu na maumbo ya hizo ndege na hizo meli.
Nafikiri kila nchi ina oparation procedure zake .Wakati SR-71 Blackbird inakuwa launched kulikuwa na ushahidi hata wa jina tu la ndege, achana na picha?
Siku F-117 Nighthawk inakuwa launched jeshini, kabla ya hapo kulikuwepo ushahidi wa picha? Hadi jina waliipa F- wakati ilitakiwa iwe B-.
U-2 Dragonlady ilianza kuruka 1955, hata raia wa Wamarekani wenyewe walikuja kujua kuna ndege kama hiyo mwaka 1960 ambapo Warusi walijua.
Marekani ina testing ground, jangwani uko. Hakuna photographer wala ndege zao hawazipitishi kwenye makazi ya watu wakiwa wanafanya testing. Ndege zote za Marekani huwa zinaonekana kwenye matukio maalum yaliyopangwa. Sio kama Wachina watu wapo wanakunywa supu, wanaona ndege angani wanapiga picha.
China ina programu ya kununua wanasayansi dunia nzima na kuwapa wanachotaka katika mda wote lengo ni kuhakikisha wanakua kila mahali na jambo hili linaiumiza dunia nzima na kuna prof mmoja namjua alipewa Big project ya utafiti wa wanyama flani na presentantion ilifanyika China na hadi sasa he belong to them on every aspect of innovation . Ndo uelewe kwann wanapigwa kwa kila mahali ni sababu wanaiba wataalamu dunia nzimaChina huwa hafanyi research, ukiona katoa kitu ujue ameshaona mchoro mahala. Yeye matoleo yake ukiyafuatilia utagundua kwa Euro na US ni ngazi ya research, tena hata hawajafika hatua ya kuomba vibali vya majaribio.
Anapenda kuwa wa kwanza ku release halafu sokoni havidumu hata wiki mbili.
Silaha zake nyingi hata hezibollah waliona hazifai, wakaona ni bora hata ya kombeeo na manati
Without doubtSinoTech at its best