China imeufunga huu mwaka kwa kishindo kikubwa imekuwa nightmare kwa watengeneza silaha wa Marekani na dalali wao Pentagon

China imeufunga huu mwaka kwa kishindo kikubwa imekuwa nightmare kwa watengeneza silaha wa Marekani na dalali wao Pentagon

Mkuu usisahau Marekani waishafanya majaribio ya 6th generation fighter jets September 2020.

Marekani hua hawana matangazo sana kwenye mambo yao.

Wao wana kitu kinaitwa Next Generation Air Dorminance (NGAD) NGAD will include attributes such as enhanced lethality and the ability to survive, persist, interoperate, and adapt in the air domain, all within highly contested operational environments. No one does this better than the U.S. Air Force, but we will lose that edge if we don't move forward now," Kendall said.
Marekani walifanyia wapi hiyo testing?

Maana popote ukienda testing ya China ya 6th Gen ndiyo inajulikana ya kwanza duniani

Hiyo project ya NGAD imesimamishwa maana gharama ni kubwa na design yake mpaka imekuwa outdated
 
Marekani anatumia 3.6% ya bajeti kwenye ulinzi, kumbuka Marekani analinda Dunia nzima😂. Kambi za kijeshi kila kona ya Duniani hadi angani (Us Space Force).
China anatumia 1.6% tu ya GDP yake lakini bado anampa challenge na hata kumu-outcompete Marekani.

Marekani ana kambi nyingi za kijeshi kwa ajili ya kulinda maslahi yake ya kigeopolitics na zinamcost sana kuzigharamia

Sasa ona tofauti ya Mchina na Marekani: Wakati Marekani kawekeza kwenye military bases Mchina amewekeza kwenye ports, Mchina anamiliki kwa sehemu au kwa 100% bandari nyingi duniani kwa ajili ya kibiashara

Unafikiri kati ya Marekani na China nani amezichanga karata zake vizuri na anapata benefit?

Juzi Trump ameshtuka kuwa sehemu ya bandari katika Panama canal iliyojengwa na Marekani miaka ya zamani inamilikiwa na China inawaingiza Wachina billions of dollars

Wivu umemshika mpaka ameanza kuitia mikwara Panama. Ndio ujue hizo military base zake hazina faida kama China anayopata kwenye ports hasa kibiashara
 
Wakuu hivi hizi ndege zenye low RCS hazitunguliki kabisa? Chini ya Zelensky tunaona leo Russia anashambuliwa na Sukhois na Mig alizoziunda mwenyewe, hivi ikitokea mbeleni huko US akatwangana na say Uholanzi ambae yuko armed na F-35, inamaana US pia hana namna ya kuziangusha hizi ndege alizoziunda mwenyewe? Wajuzi naomba elimu kwenye hili.
 
Boeing again 🤣

Hizo drones hazina stealth capabilities kama GJ-11

GJ-11 ni super stealthy combat drone
GJ-11 ni combat drone, Boeing Stingray ni refuering tanker drone. Kama unalinganisha stealth features za combat drone linganisha GJ-11 na X-47B.

Na hata kwenye stealth kwenyewe, F-35 ni stealth zaidi ya J-20 na husemi.

China wana refuering drone gani tena ambayo ni stealth?
 
China hana haja ya kuwa na presence kila bahari kuu yeye anaangalia China seas na Pacific. Marekani ana maadui wengi analazimika kufanya hivyo

Upande wa active sea going ships China imeipiga gap Marekani pakubwa

Mameli mengi ya Marekani mabovu yako docks yanasubiri marekebisho yamepata kutu ma kuoza na imekuwa changamoto kwa Marekani kwa sababu ship building industry yao imepwaya sana na budget ni kubwa sana yanaoza docks

Imefikia hatua Marekani anategemea Japan na South Korea ili wazirekebishe meli zake
Usiseme China hana haja kuwa na presence kila bahari, sema hana uwezo.

Kwa mfano angekuwa na haja, angeenda kwa meli zipi? China ana meli ngapi za kufaa kuwa flagships? Ana battle groups ngapi, ana naval air power kiasi gani kumtosheleza kuwa dunia nzima. Sema hawezi usiseme hana haja, sizitaki mbichi hizi.
 
Marekani hawana drone AWACS so it means wamepigwa gap na China katika hilo

Na sio tu wamefanya testing ni successful testing hiyo ni green light kuwa inaingia mzigoni
Marekani hawahitaji drone AWACS bali drone tanker ambayo China hawana.
China hawana carrier based AEW&C ndio maana wanataka kuunda kadrone. Marekani anayo E2-D Advanced Hawkeye ambayo inakazidi hako kadude unakoringia
653c3ec20b105250cf53baa8_E2-Hawkeye-1024x768.jpeg


Carriers za ndege za Marekani ni superior hivyo waliweza tengeneza ndege nzito inayotua kwenye carrier, Wachina hawawezi ndio wamekimbilia kwenye kadrone hako mpaka pale KJ-600 itakapokamilika. Marekani ana carrier based AEW&C tangu 1960s China ndio anajitutumua sasahivi na yamemshinda amejishikiza kwenye kadrone kwanza.

Pia China hawana 6th generation bomber wakati Marekani wana B-21.

China vilevile hawana 5th generation bomber, US wana B-2.

China hawana nuclear powered aircraft carrier hata ya kwenye mchoro, Marekani anazo 11 Nimitz class 10 na Ford class 1.
 
Usiseme China hana haja kuwa na presence kila bahari, sema hana uwezo.

Kwa mfano angekuwa na haja, angeenda kwa meli zipi? China ana meli ngapi za kufaa kuwa flagships? Ana battle groups ngapi, ana naval air power kiasi gani kumtosheleza kuwa dunia nzima. Sema hawezi usiseme hana haja, sizitaki mbichi hizi.
Capability ya China kwenye ship building industry ni mara 230 ya Marekani. Sijui kama unaelewa hiyo hesabu hapo

Yaani kwa kifupi linapokuja suala la kutengeneza na kuunda meli China imeiacha mbali sana Marekani.

Kwa hiyo huo uwezo anao ndio maana China inaweza kutengeneza meli vita kwa haraka kwenye docks hata 10 kwa wakati moja kitu ambacho Marekani hata dock 2 kutengeneza meli kubwa hana

Ndani ya miaka 10 iliyopita China imeunda meli vita nyingi kwa mbali kuliko Marekani na gap linazidi kuongezeka ya fleets

Ndiyo maana Marekani mameli yake mengi yamezeeka yako docks anashindwa kuyakarabati. Ashukuru sana msaada wa Japan na South Korea wanampiga tafu

Na hata Japan na S.K wakiungana bado hawamfikii Mchina achana na Marekani ambayo docks zake zote ni sawa na mbili tu zilizo Shanghai
 
J-35 ni stealth zaidi ya F-35 linganisha F-35 na J-35 ndio nasema sasa
Siwezi linganisha ndege iliyopo active kwenye majeshi na ndege iliyo kiwandani inapakwa rangi na kuchokonolewa hata haijulikani itaanza kuwa kwenye production lini.

Basi sawa F-22 inaizidi J-20, na bado F-35 inaizidi J-20.
 
Capability ya China kwenye ship building industry ni mara 230 ya Marekani. Sijui kama unaelewa hiyo hesabu hapo

Yaani kwa kifupi linapokuja suala la kutengeneza na kuunda meli China imeiacha mbali sana Marekani.

Kwa hiyo huo uwezo anao ndio maana China inaweza kutengeneza meli vita kwa haraka kwenye docks hata 10 kwa wakati moja kitu ambacho Marekani hata dock 2 kutengeneza meli kubwa hana

Ndani ya miaka 10 iliyopita China imeunda meli vita nyingi kwa mbali kuliko Marekani na gap linazidi kuongezeka ya fleets

Ndiyo maana Marekani mameli yake mengi yamezeeka yako docks anashindwa kuyakarabati. Ashukuru sana msaada wa Japan na South Korea wanampiga tafu

Na hata Japan na S.K wakiungana bado hawamfikii Mchina achana na Marekani ambayo docks zake zote ni sawa na mbili tu zilizo Shanghai
Marekani ina nuclear powered aicraft carriers 11, China ina sifuri.

Nikienda kwenye namba ya nuclear powered submarines Marekani anazo 66, China anazo 12.
Huo uwezo wa China unautoa wapi?

Wewe unahesabu hivyo vidumu ambavyo China anajenga unahisi Marekani hawezi.
Ni kwamba hataki takataka siziso na kazi. Mwaka 1940 US ilitoa Emergency Shipbuilding Program ikaunda melivita 6,000 ndani ya 5 years. Leo 2024 ikiamua utajificha.
 
Siwezi linganisha ndege iliyopo active kwenye majeshi na ndege iliyo kiwandani inapakwa rangi na kuchokonolewa hata haijulikani itaanza kuwa kwenye production lini.

Basi sawa F-22 inaizidi J-20, na bado F-35 inaizidi J-20.
Wewe ndio umasema haipo active lakini kihalisi J-35 ni mkali wa stealth kwa fighter jet zote sio F-22 wala F-35
 
Usiseme China hana haja kuwa na presence kila bahari, sema hana uwezo.

Kwa mfano angekuwa na haja, angeenda kwa meli zipi? China ana meli ngapi za kufaa kuwa flagships? Ana battle groups ngapi, ana naval air power kiasi gani kumtosheleza kuwa dunia nzima. Sema hawezi usiseme hana haja, sizitaki mbichi hizi.
Hana uwezo upi ?wa kutengeneza au wa kufanya nini ?


By the way marekani na China wana foreign policies tofauti.

Si ajabu kuna siku utataka China aanze ku behave kama marekani kwenye kila vita na mgogoro kwa kusingizio hana uwezo
 
Marekani ina nuclear powered aicraft carriers 11, China ina sifuri.

Nikienda kwenye namba ya nuclear powered submarines Marekani anazo 66, China anazo 12.
Huo uwezo wa China unautoa wapi?

Wewe unahesabu hivyo vidumu ambavyo China anajenga unahisi Marekani hawezi.
Ni kwamba hataki takataka siziso na kazi. Mwaka 1940 US ilitoa Emergency Shipbuilding Program ikaunda melivita 6,000 ndani ya 5 years. Leo 2024 ikiamua utajificha.
1940 ni wakati wa WW2 uhitaji ulikuwa mkubwa ship building capability kwa sasa marekani huwezi iweka kwenye mezani sawa na China ni jambo ambalo hata wamarekani wenyewe wana lalamika.

Marekani ya 2024 si sawa na marekani ya 1940 wakati wa WW2
 
Mwisho wa mwaka huu haujawa mzuri kwa Pentagon na defense contractors wake, kwa ujumla unaweza kuwaita U.S MIC (U.S Military Industrial Complex)

Mapema mwezi Novemba kwenye Zhuhai Air show China walionyesha toleo jipya na la pili la 5th generation fighter jet J-35 ambayo imekuja kuichallange F-35.
View attachment 3188426

J-35

Hatimaye kwenye race ya 6th generation fighter, China limekuwa taifa la kwanza duniani kufanya successfully first flight. PLAAF (People's Liberation Army Air Force) imefanya majaribio ya ndege 2 za 6th Gen
View attachment 3188394
Chengdu 6th Gen design with 3 Engines

View attachment 3188396
Shenyang 6th Gen design with 2 engines


Kama haitoshi siku moja baadaye Desemba 27 China ikaipa tena salamu Pentagon kwa kuzindua the world's largest amphibious assault ship type 076 "Sichuan." The largest and most advanced amphibious ship in the world.

View attachment 3188407
  • Hii itakuwa carrier kwa stealth attack drones na helicopter. Ya kwanza duniani kuwa na Electromagnetic Aircraft Launch System (EMALS) na Landing Helicopter Dock (LHD)
  • Ina electromagnetic catapult system kuwezesha kurusha na kutua kwa unmanned combat aerial vehicles (UCAVs) na hata manned aircraft.

  • Sichuan also performs its direct landing functions a large amount of equipment and troops are placed inside.

Kwa sasa ukizungumzia the largest navy fleets in the world upande wa Majeshi ya Navy duniani, jeshi la Navy la China ndio jeshi kubwa zaidi. China now possesses the world’s largest maritime fighting force, and it is growing further.


Kwa kuongezea tena siku hiyohiyo ya Desemba 27 China ikazindua "KJ 3000" next-generation stealth detecting AWACS (Airborne Warning and Control System)

View attachment 3188412

KJ 3000
  • Ina radar za kisasa za mfumo wa AESA (Active Electronically Scanned Array), antennas

  • Kikubwa zaidi ina long range stealth detection.

Hapa stealth jets za Mmarekani kama F-22 na F-35 zitakuwa detected kirahisi.


Pia China ikazindua stealth attack drone GJ-11. Hizi ni Unmanned Combat Aerial Vehicle (UCAV) zitakazokuwa zinabebwa kwenye the world's largest amphibious ship type 076 Sichuan. Inafahamika kwa kuwa na stealth capabilities na ground strikes.
View attachment 3188419
GJ-11

Halafu kuna chombo inaitwa WZ-9 Divine Eagle UAV hii pia ni an unmanned AWACS, na ina uwezo wa kwenda high-altitude ina maana inaweza kupaa mbali zaidi kuliko ground radars, hii ni kwa ajili ya anti-stealth missions.
View attachment 3188422
WZ-9 Divine Eagle

Wakati yote hayo yakiendelea China, kwa upande wa Marekani mpango wa kuunda 6th generation airplane fighter unaofahamika kama NGAD (The Next Generation Air Dominance) umesimamishwa kwa muda kutokana na cost overruns and outdated designs.

Ikumbukwe China inatumia 1.6% tu ya GDP yake kwenye defense budget huku Marekani ikitumia 3.6%

China is openly challenging the U.S to an arms race
Wanatangaza biashara, kunapokuwa na hofu ya vita mauzo yanaongezeka. Kinachofuata ni kutengeneza hofu.
 
1940 ni wakati wa WW2 uhitaji ulikuwa mkubwa ship building capability kwa sasa marekani huwezi iweka kwenye mezani sawa na China ni jambo ambalo hata wamarekani wenyewe wana lalamika.

Marekani ya 2024 si sawa na marekani ya 1940 wakati wa WW2
Mwaka 1939 walikuwa hawaundi meli nyingi, mwaka 1940 wakaanza kuziunda kama utitiri mpaka baada ya vita kuisha wakaziuza kama kuzitupa wafanyabishara wakazibadili zibebe mizigo.

Ninachomaanisha tech, shipyard, know how haifi. Kwa sasa Marekani yupo kona zote za maji duniani na ana bases kubwa na ana presence kwenye international waters mwaka mzima hahitajiki kuunda meli kwa rate kubwa. China ukimtaka awe na fleets hata 5 hawezi, China ana bahari kubwa duniani anakaa mwaka hajawahi pitisha melivita, hana bases, hana battle groups.
 
Hana uwezo upi ?wa kutengeneza au wa kufanya nini ?


By the way marekani na China wana foreign policies tofauti.

Si ajabu kuna siku utataka China aanze ku behave kama marekani kwenye kila vita na mgogoro kwa kusingizio hana uwezo
Kuna kuwa na uwezo wa kufanya kitu ila ukajizuia usikifanye, kuna kutokuwa na uwezo wa kufanya kitu kwahiyo hata kujizuia usifanye huwezi kwa sababu tiyari uwezo wa kukifanya huna.

China hana uwezo wa kuwa kila bahari kuu duniani. Akikaa South China sea, North Pacific na Indian ocean basi yeye kamaliza. Huwezi muona Atlantic akiwa na battle group, au Red Sea na Mediterranean. Wala China hafanyi patrols nyingi bahari za mbali yake.
 
Blah blah kibao mchina hajawai kuwa serious na kazi zake.hizo ndege zinaweza kushindwa kutoa matairi zikitaka kutua.
Mchina ni copy na paste hilo lipo wazi kwa kifupi mchina ni mpiga chabo mwizi namba 1 duniani akiona Us na Western Europe wametoa majibu juu ya shida fulani za dunia ndo sasa naye anacopy na anaweka mbwembwe nyiiingi wachina wa JF wanaita innovations🤣😂
Ndo maana mchina alipeleka na anapeleka wachina wengi sana kusoma US mpaka leo ili waweze chukua maarifa yaliyo US na kuyapeleka china.
Yaani mchina ni sawa na wale wanafunzi wanaoibiaga majibu darasani halafu akishaibia anaongeza mbwembwe zake.
 
China imetoa variant nyingine ya J-35 sababu J-35 mpaka leo haipo introduced jeshini. Hakuna squadron yoyote yenye J-35, hivyo bado ni ndege ya majaribio. J-35 imefanya first flight mwaka 2012, J-35A imeruka mwaka jana tu hapo. Bado ipe miaka angalau minne ndio ikubalike jeshini.

Hata stealth J-20 bado haijafikia malengo, bado haijapata stealth engine yake halisi. Mpaka baadae wakifanya modernization ya units kama 200 za J-20 za sasa au watoe variant nyingine yenye stealth engine.

Kuhusu 6th generation fighter, tiyari Marekani inayo NGAD ambayo miezi kadhaa nyuma ilitajwa imefanya test flight ila sasa mashabiki wa China wanalazimisha picha na taarifa zaidi, jambo ambalo Pentagon hawajatoa kwahiyo ushahidi hamna. B-21 Raider ilienda kimyakimya mpaka mwaka jana ikaonekana. Na ni 6th generation bomber ya kwanza duniani.
NGAD imesimama, sio kwamba imesitishwa watu wasijidanganye.

Hiyo LHD yenye EMALS ni maendeleo mazuri kwa Wachina. Hawajawahi kuwa na carrier yenye EMALS, Marekani Ford class ina EMALS mwaka 9 sasa kutoka kampuni ya General Atomics.
Pia Marekani hawapendelei meli ndogondogo, hawataki helicopter carriers kama za Waturuki, Wakorea, Wajapan na Wafaransa na sasa Mchina kaja na hii.

Hizo drones zipo nyingi Marekani. MQ-28 Stingray ya Boeing hii itakuwa refuering tanker ya kwanza ambayo ni drone na inatua kwenye carrierView attachment 3188626
X-47B ya Northrop Grumman watengenezaji wa B-2 na B-21 iko juu hapo. Chini ni MQ-28View attachment 3188625

Kuhusu AWACS, Marekani hawana drone AWACS na sioni kama inawezekana.
China ndio kwaza wanafanya testing ya AWACS yao ya kwanza, nyingine zote walikuwa wananunua airframes Urusi. US kwenye submarine hunting, AWACS na reconn wako vizuri.

Pia Marekani ina total displacement kubwa kuliko China. Ila China ina meli nyingi kuliko Marekani, maana yake China ina meli ndogo nyingi. Alafu Marekani ina presence kila bahari kuu duniani kasoro kusini mwa Afrika.
Umeelezea vizuri
 
Back
Top Bottom