Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Mamlaka za China zimewataka raia wake waliopo nchini Ukraine kuondoka mara moja na Serikali itaratibu mpango huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kichapo hapo.Kichapo kinakuja si cha kawaida
Ukiona hivyo ujue Putin kamwambia jamaa yake aondoe raia wake maana yake kuna kitu kizito kitatua siku si nyingi hapo UkraineMamlaka za China zimewataka raia wake waliopo nchini Ukraine kuondoka mara moja na Serikali itaratibu mpango huo.
Kama hujui propaganda ni section muhimu Sana kwenye vita na mara nyingi hutumika kujenga ,kuharibu mipango au morale ya askari walioko mbele na nyuma ya mstari wa mbele. Pande zote za vita lazima zifanye propaganda ili kupata sympathy au kuungwa mkono. Kama hujapata taarifa directly from front line utakachoongea either ni mihemko au pedagogies mbaya zilizotumika kuwafundisha huko mashulenikuna kifurushi maalum kimetumwa kwenda Urusi na mzee Hayatollah kwaajili ya Ukreine.
Shida ya nato maneno na vikao ni vingi kuliko vitendo.some time nawaoa nato wanatembea na upepo wa propaganda kwasababu ya hofu na uoga walionao kwa Putin a.k.a mtu Pori.
Wahuni wanarekodi kila hatua wanayofanya sio rahisi hivi vitu vinavyozungumzwa wale wengine wasijue..Ukiona hivyo ujue Putin kamwambia jamaa yake aondoe raia wake maana yake kuna kitu kizito kitatua siku si nyingi hapo Ukraine
propaganda imepeleka vita miez 8 , sio kwamba propaganda imewakwamisha Urusi kuiteka kiev ? muda mwingine ushabik unakuingiza ukichaa bila kujuakuna kifurushi maalum kimetumwa kwenda Urusi na mzee Hayatollah kwaajili ya Ukreine.
Shida ya nato maneno na vikao ni vingi kuliko vitendo.some time nawaoa nato wanatembea na upepo wa propaganda kwasababu ya hofu na uoga walionao kwa Putin a.k.a mtu Pori.
NATO ni Mbwa kokokuna kifurushi maalum kimetumwa kwenda Urusi na mzee Hayatollah kwaajili ya Ukreine.
Shida ya nato maneno na vikao ni vingi kuliko vitendo.some time nawaoa nato wanatembea na upepo wa propaganda kwasababu ya hofu na uoga walionao kwa Putin a.k.a mtu Pori.
Ila Putin ni namfananisha na mtoto mtundu ...yaaan km hujui unamuona mpoleee ila vumbi lake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna kifurushi maalum kimetumwa kwenda Urusi na mzee Hayatollah kwaajili ya Ukreine.
Shida ya nato maneno na vikao ni vingi kuliko vitendo.some time nawaoa nato wanatembea na upepo wa propaganda kwasababu ya hofu na uoga walionao kwa Putin a.k.a mtu Pori.
Wewe Nani kakumbia Urusi wanataka kuiteka Kiev?propaganda imepeleka vita miez 8 , sio kwamba propaganda imewakwamisha Urusi kuiteka kiev ? muda mwingine ushabik unakuingiza ukichaa bila kujua
walikuepo akina Napoleon nq Hitler ila walidunda , upumbav haudumuIla Putin ni namfananisha na mtoto mtundu ...yaaan km hujui unamuona mpoleee ila vumbi lake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]