Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.