EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Kumbe ndio maana wavaa makobazi wote wamekimbia hamna kobazi china
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inamaana hujui kuwa mnyama pekee anayekula mavi ni nguruwe. Fanya majaribio aletwe hapo kwako halafu fungua chemba moja uone jinsi mwamba atakavyong'ang'ania hapoHizi habari umezipata wapi? Kwenye gazeti la udaku?
Namaanisha atheism, wasioamini kuwa kuna MUNGU.Dini ndiyo nini na je nguruwe anahusika vipi na dini??
Ndogo Sana, Nina mshkaki wangu anatafuna 1kg kila siku.Wastan wa kilo 70 kwa mwaka mbona ni ndogo.
kilo 70?Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Huyo anakula kg 358 kwa mwaka.Ndogo Sana, Nina mshkaki wangu anatafuna 1kg kila siku.
Bado zile anadokoa dokoa na sisi tukilaHuyo anakula kg 358 kwa mwaka.
Wachina wengi hawajui Yesu ni nini! Na wachache wanaojua wanaamini mafundisho mengi ya Yesu aliyaiga kutoka Taoism, Confucianism na Buddhism. Na ushahidi ni kwamba dini zao hizo zilikuwepo miaka mia mingi sana kabla ya huyo Yesu kuja.Kwahiyo wananchi wa china wengi wana mapepo sasa,Maana kipindi kile YESU alipoyafukuza mapepo kwa watu aliyatupia kwenye nguruwe
Sawa mkuuWachina wengi hawajui Yesu ni nini! Na wachache wanaojua wanaamini mafundisho mengi ya Yesu aliyaiga kutoka Taoism, Confucianism na Buddhism. Na ushahidi ni kwamba dini zao hizo zilikuwepo miaka mia mingi sana kabla ya huyo Yesu kuja.