China inaongoza kwa ulaji wa nyama ya Nguruwe Duniani

China inaongoza kwa ulaji wa nyama ya Nguruwe Duniani

Kilichofuata nguruwe walikimbia baada ya kuingiwa na mapepo na ndo maana kwenye sadaka za kuteketezwa walikuwa wanatoa mwanakondoo,
kwa hiyo una ujumbe gani kuhusu mbuzi?
hawakuwahi kutoa nguruwe kama sadaka,na ndo maana hata now mfano,sijawah kuona ata mtu kaenda kutoa mahari akapeleka nguruwe
Usiiangalie dunia kwa mifano ya kijijini kwenu. Kuna jamii za mataifa hayana utamaduni wa mahari za wanyama
 
Nguruwe baada ya kutupiwa majini alikimbilia kwenye maji,mbona hamuachi kunywa maji wakati kitimoto alikimbilia kwenye maji
Ila pia tunaambiwa kwenye Safina ya Nuhu ilifika wakati sehemu zilizotengwa kwaajili ya kujisaidia ilijaa sana hivyo nguruwe wakainguzwa hicho chumba yaani chooni na muda wa dakika tu kukawa kusafi sana kama kumepigwa deki na omo. KIUHALISIA NGURUWE SIO MNYAMA WA KULIWA.
 
Ila pia tunaambiwa kwenye Safina ya Nuhu ilifika wakati sehemu zilizotengwa kwaajili ya kujisaidia ilijaa sana hivyo nguruwe wakainguzwa hicho chumba yaani chooni na muda wa dakika tu kukawa kusafi sana kama kumepigwa deki na omo. KIUHALISIA NGURUWE SIO MNYAMA WA KULIWA.
Hizi habari umezipata wapi? Kwenye gazeti la udaku?
 
Wastani wa kilo 70 kwa mwaka kwa kila mmoja? Huo ni uzembe, mimi nagonga 1kg per day, si banda lipo, na vyenye namna yanazaliana hivi! Jamani, tuacheni uzembe, emu tuileni kwa wingi tuvunje rekodi sisi kama watanzania. Niko tayari kuwasapoti kwa hili
 
Back
Top Bottom