Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kuliko shangazi?Ndio nipo nakitafuna hapa; huyu kiumbe ni mtamu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuliko shangazi?Ndio nipo nakitafuna hapa; huyu kiumbe ni mtamu sana
Sio akili za hovyo mkuu mawazo ya mtu yaheshimiweAkili za hovyo,. Ulisoma vizuri Bible kweli!? Unaijua wale nguruwe walienda wapi!? Na uliambiwa wale ndio nguruwe waliokuwepo nchi/Dunia nzima!?
Nyama ya nguruwe ni tamu sana❤️.
Huyo mkazi wa vikindu tangu kazaliwa anamsikikiza mazinge na the like.. unafikiri atakuwa na upeo gani tofauti na hivyo anavyoamini.Nani alikuambia china haina dini?
kwa hiyo una ujumbe gani kuhusu mbuzi?Kilichofuata nguruwe walikimbia baada ya kuingiwa na mapepo na ndo maana kwenye sadaka za kuteketezwa walikuwa wanatoa mwanakondoo,
Usiiangalie dunia kwa mifano ya kijijini kwenu. Kuna jamii za mataifa hayana utamaduni wa mahari za wanyamahawakuwahi kutoa nguruwe kama sadaka,na ndo maana hata now mfano,sijawah kuona ata mtu kaenda kutoa mahari akapeleka nguruwe
Huko ni kupoteza hela tuKuliko shangazi?
Kula minyamaaaHuko ni kupoteza hela tu
Natembea na mawazo ya 50 cent.Kula minyamaaa
Yapoje?Natembea na mawazo ya 50 cent.
Mtazamo wake,mahusiano ni 'liability' sio 'asset'Yapoje?
Ok mkuu, wanapambanaKilo 70 hizo ni kwa mtu mmoja wastani. Ni watanzania wachache sana wanaofikisha wastani wa kula nyama za kawaida
Ok mkuuKwa wiki anakula kg 1.5 ni kidogo hiyo kumbuka huo ni wastani wa nchi nzima.
Kwa Tanzania unaweza kuta wastani wa kula kitimoto ni robo kilo kwa mwaka
Ila pia tunaambiwa kwenye Safina ya Nuhu ilifika wakati sehemu zilizotengwa kwaajili ya kujisaidia ilijaa sana hivyo nguruwe wakainguzwa hicho chumba yaani chooni na muda wa dakika tu kukawa kusafi sana kama kumepigwa deki na omo. KIUHALISIA NGURUWE SIO MNYAMA WA KULIWA.Nguruwe baada ya kutupiwa majini alikimbilia kwenye maji,mbona hamuachi kunywa maji wakati kitimoto alikimbilia kwenye maji
Hizi habari umezipata wapi? Kwenye gazeti la udaku?Ila pia tunaambiwa kwenye Safina ya Nuhu ilifika wakati sehemu zilizotengwa kwaajili ya kujisaidia ilijaa sana hivyo nguruwe wakainguzwa hicho chumba yaani chooni na muda wa dakika tu kukawa kusafi sana kama kumepigwa deki na omo. KIUHALISIA NGURUWE SIO MNYAMA WA KULIWA.
Dini ndiyo nini na je nguruwe anahusika vipi na dini??Nchi zisizokuwa na dini lazima ziongoze
😆😄😃Wana muona vizuri kweli maana na vile vimacho vyao?
Au ndio kusikilizia utamu tu.