China inaongoza kwa ulaji wa nyama ya Nguruwe Duniani

China inaongoza kwa ulaji wa nyama ya Nguruwe Duniani

Kilichofuata nguruwe walikimbia baada ya kuingiwa na mapepo na ndo maana kwenye sadaka za kuteketezwa walikuwa wanatoa mwanakondoo,hawakuwahi kutoa nguruwe kama sadaka,na ndo maana hata now mfano,sijawah kuona ata mtu kaenda kutoa mahari akapeleka nguruwe
Nenda njembe wilaya ludewa au manda kule ziwani mahari ya nguruwe watu wanatoaa na unapewa bint m bichiii mkaanze maisha
 
Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.

Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.

Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.

Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Astaghafillulah? Hawa jamaa kumbe tunawashabikia wao ni makafir na wanakula kitimoto? Sina hamu nao kabisa......
 
Kwahiyo wananchi wa china wengi wana mapepo sasa,Maana kipindi kile YESU alipoyafukuza mapepo kwa watu aliyatupia kwenye nguruwe
Halafu wengine wakayafanya maumini ya dini zao kabisa.....🤣🤣🤣 Nguruwe waliona bora kufa kuliko kuishi na mapepo.nao wakajitupa baharini🤣🤣🤣
 
Sister; hilo tatizo lipo nchi masikini huku. Again; hivi kuna mnioo unaweza kuishi hadi kwenye joto la zaidi ya 100'C?
Tunajaribu kumuelewesha lakini jeuri na kuvimbisha kichwa, anajifanya yeye anasoma tafiti, tafiti za wapi? Huko shuleni sijui kasomea Nini na kadiploma chake. Wenzie tumekaa darasani kusomea Hilo na tafiti kibao yeye analeta ubishi hapa.
 
Wanaoongoza kula vyakula vibichi ni wachina.

Nakushauri fanya utafiti kidogo kabla hujakurupuka na majibu.
Kuhusi kula nyama za kiti Moto sihitaji tena kufanya utafiti mama; tayari China imetajwa kwenye uzi hu so why should i go for another research? Swali ulilo uliza kwamba wana changamoto ya minio ni nikakwambia, "Minyoo ni changamoto kwa vijinchi masikin" mwisho ndio nikailiza, hivi kuna mnio unaweza kuishi kwenye joto kali vile?
Well, may be, let's come back 2u madame, pamoja na China kula sana nyama ya kitimoto ambayo ni mbichi (this is according 2u ) je statistics zao kwenye magonjwa yasababishwao na kitimoto (minio ) ikoje?
Just for your information; kwenye communicable diseases mgonjwa mwenye umri wa <45 yrs of age ilitokea amekufa tena afie hospital, Wachina wanajiuliza sana kwamba why, how?
 
Kuhusi kula nyama za kiti Moto sihitaji tena kufanya utafiti mama; tayari China imetajwa kwenye uzi hu so why should go for another research? Swali ulilo uliza kwamba wana changamoto ya minio ni nikakwambia, "Minyoo ni changamoto kwa vijinchi masikin" mwisho ndio nikailiza, hivi kuna mnio unaweza kuishi kwenye joto kali vile?
Well, may be, let's come back 2u madame, pamoja na China kula sana nyama ya kitimoto ambayo ni mbichi (this is according 2u ) je statistics zao kwenye magonjwa yasababishwao na kitimoto (minio ) ikoje?
Just for your information; kwenye communicable diseases mgonjwa mwenye umri wa <45 yrs of age ilitokea amekufa tena afie hospital, Wachina wanajiuliza sana kwamba why, how?
No research no right to Speak - Chairman Mao.
 
Tunajaribu kumuelewesha lakini jeuri na kuvimbisha kichwa, anajifanya yeye anasoma tafiti, tafiti za wapi? Huko shuleni sijui kasomea Nini na kadiploma chake. Wenzie tumekaa darasani kusomea Hilo na tafiti kibao yeye analeta ubishi hapa.
Shida ya dada yetu (binafsi nampenda sana ) kila argument lazima ailazimishe ikae au ifanane na Uislam. Sijui enzi zake wakati bado anazaa kama aliruhusu mwili wake kushikwa na Mkristo huko hospital
 
Back
Top Bottom