China inaongoza kwa ulaji wa nyama ya Nguruwe Duniani

China inaongoza kwa ulaji wa nyama ya Nguruwe Duniani

Hawezi leta babu,,,sina zile nyama uzembe za nyuma anazopenda
Hahahaha......................Mwambie afuate Ushauri wetu Wazee, tangu zamani tulikuwa tunaoa Wanawake Kwa kuangalia beauty with Brain

Ndiyo maana tunafungua Kampuni na biashara tukiwaachia Wake zetu ambao wanaweza kusimamia biashara na kuziendeleza
 
Hahahaha......................Mwambie afuate Ushauri wetu Wazee, tangu zamani tulikuwa tunaoa Wanawake Kwa kuangalia beauty with Brain

Ndiyo maana tunafungua Kampuni na biashara tukiwaachia Wake zetu ambao wanaweza kusimamia biashara na kuziendeleza
Uuuuwwwiiiiiiiiiiiii unapigia mbuzi gitaa babu, achana nae
 
Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.

Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.

Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.

Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Nilichogundua mataifa yanayoongoza kwa ulaji wa kitimoto yanaongoza/yana uchumi mkubwa pia. Kuna uhusiano wa ulaji kitimoto na IQ kubwa.
 
Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.

Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.

Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.

Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Wame improve bora wameanza kuondoka na kula kila takataka na kunogewa na nguruwe...ni hatua nzuri kuondokana na kula vitu vya ajabu ajabu
 
Back
Top Bottom