Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuachane na mambo ya manguruwe; wkend wapi sasa?Nguruwe wako umesema 😆😆haya sawa
Hawezi leta babu,,,sina zile nyama uzembe za nyuma anazopendaMwambie alete Posa Kwa Wazee kama kweli yupo Serious 🤗
Fuatilia mataifa na makabila yote yanayokula nguruwe, uone jinsi walivyofanikiwa kimaisha na uwezo wao mkubwa wa kiakili hapa bongo chukulia mfano wa Wachaga na wanaishi muda mrefu sanaKula au kutokula nguruwe hakuna effect yoyote kama akili huna ni huna tu na kama unazo ni unazo tu.
Wanakochoma nguruwe vizur....Tuachane na mambo ya manguruwe; wkend wapi sasa?
Tafuta chimbo alafu unipe mrejesho, hii ni wkend ya kula manguruwe tu, hakuna haja ya kuwalalamikia wachina kwa ulaji wao.Wanakochoma nguruwe vizur....
Hahahaha......................Mwambie afuate Ushauri wetu Wazee, tangu zamani tulikuwa tunaoa Wanawake Kwa kuangalia beauty with BrainHawezi leta babu,,,sina zile nyama uzembe za nyuma anazopenda
Ewaaaaa si inapatkana ile namba ya kundi letu,,mana wewe kila weekend unakundi la wanawake watano watano na line yao,,, nguruwe dayTafuta chimbo alafu unipe mrejesho, hii ni wkend ya kula manguruwe tu, hakuna haja ya kuwalalamikia wachina kwa ulaji wao.
Uuuuwwwiiiiiiiiiiiii unapigia mbuzi gitaa babu, achana naeHahahaha......................Mwambie afuate Ushauri wetu Wazee, tangu zamani tulikuwa tunaoa Wanawake Kwa kuangalia beauty with Brain
Ndiyo maana tunafungua Kampuni na biashara tukiwaachia Wake zetu ambao wanaweza kusimamia biashara na kuziendeleza
Sawa mkuuAcha ubabaishaji wewe.
Basi nguruwe wenye majini wote walikufa kwenye maji siku ile ile
Kwamba yeye na Chura, Chura na yeye, mbona balaa hilo🙌Uuuuwwwiiiiiiiiiiiii unapigia mbuzi gitaa babu, achana nae
Korea ya Kusini na SA ziondoe kwenye nchi ambazo hazina dini. Korea ya Kusini ni moja ya nchi zenye makanisa makubwa ya kilokole duniani; majority ya South Africans are ChristiansNchi zisizokuwa na dini lazima ziongoze
Nilichogundua mataifa yanayoongoza kwa ulaji wa kitimoto yanaongoza/yana uchumi mkubwa pia. Kuna uhusiano wa ulaji kitimoto na IQ kubwa.Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Kwamba wale nguruwe ndo wakasambazwa Dunia nzima!? Kwamba leo hii mimi nikimchambia mtoto kanga basi ndo kanga zote duniani zina mavi!!!??? Kweli upumbavu ni kipaji.Kwahiyo wananchi wa china wengi wana mapepo sasa,Maana kipindi kile YESU alipoyafukuza mapepo kwa watu aliyatupia kwenye nguruwe
Wame improve bora wameanza kuondoka na kula kila takataka na kunogewa na nguruwe...ni hatua nzuri kuondokana na kula vitu vya ajabu ajabuNchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.