Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Hii inawezekana ni kutokana na hawa viumbe kuzaliana kwa wingi, kwa hiyo nyama yake inakuwa bei ya chini ukiringanisha na mifugo mingine.Chair fire inaliwa sana uko🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inawezekana ni kutokana na hawa viumbe kuzaliana kwa wingi, kwa hiyo nyama yake inakuwa bei ya chini ukiringanisha na mifugo mingine.Chair fire inaliwa sana uko🙌
Malizia hiyo story. Baada ya kuyatupia mapepo nini kilifuata?Kwahiyo wananchi wa china wengi wana mapepo sasa,Maana kipindi kile YESU alipoyafukuza mapepo kwa watu aliyatupia kwenye nguruwe
Umeanza lini Ujasusi kijana Mana haina hata dakika ushaona ?
asitutishe,yalikufa yote kwenye maji,,mdudu mtamu bwanMalizia hiyo story. Baada ya kuyatupia mapepo nini kilifuata?
Tena usiombe aandaliwe na muandaaji maarufu mtaani uuuwweeeh 😋🤤na hua inawahi kuishaNdio nipo nakitafuna hapa; huyu kiumbe ni mtamu sana
Hiki nimekiandaa mwenyewe, natamani hadi kujitafuna vidole vyanguTena usiombe aandaliwe na muandaaji maarufu mtaani uuuwweeeh 😋🤤na hua inawahi kuisha
Wanapenda kunukuu biblia nusu nusu lengo wapotoshe watu.asitutishe,yalikufa yote kwenye maji,,mdudu mtamu bwan
Kama kilikua kilo basi umeambulia nusu kwenye sahani,,mi hua siwezi kuvumilia hadi niipue,,hua nakata vingne vdogo vdogo ili viwahi kuiva special kwa muonjo😌Hiki nimekiandaa mwenyewe, natamani hadi kujitafuna vidole vyangu
Official China haina dini hivyo ndivyo hata serikali yake inajitambulishaNani alikuambia china haina dini?
Ile miili tu imekaa kama kiti moto😅😅Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Na ndio wenye akili zaidi duniani na Africa ikiwiwepo Tanzania tuliodanganywa na MWARABU na dini yake kuwa nguruwe ni haramu tunategemea bidhaa na teknolojia ya wachina Wala nguruwe kwa 95%Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Kilichofuata nguruwe walikimbia baada ya kuingiwa na mapepo na ndo maana kwenye sadaka za kuteketezwa walikuwa wanatoa mwanakondoo,hawakuwahi kutoa nguruwe kama sadaka,na ndo maana hata now mfano,sijawah kuona ata mtu kaenda kutoa mahari akapeleka nguruweMalizia hiyo story. Baada ya kuyatupia mapepo nini kilifuata?
Hahaha.....Kaka umenipa jibu zuri la kuwajibu Wasabato😅😅😅Nguruwe baada ya kutupiwa majini alikimbilia kwenye maji,mbona hamuachi kunywa maji wakati kitimoto alikimbilia kwenye maji
Wachina sijui ni hawajui kupika mdudu au mapishi yao ndo yapo vile nyama inakua na mafuta sanaa pili pili Kwa wingi afu inakua na harufu flan sijui wanaweka nnKuna video za wachina wanatafuna kitimoto huwa nazitazama kwa uchu sana jamaa wanampenda mdudu
Kula au kutokula nguruwe hakuna effect yoyote kama akili huna ni huna tu na kama unazo ni unazo tu.Na ndio wenye akili zaidi duniani na Africa ikiwiwepo Tanzania tuliodanganywa na MWARABU na dini yake kuwa nguruwe ni haramu tunategemea bidhaa na teknolojia ya wachina Wala nguruwe kwa 95%
Ebu njoo upikie hapa kwangu nikuone unavyo onja onja 😀Kama kilikua kilo basi umeambulia nusu kwenye sahani,,mi hua siwezi kuvumilia hadi niipue,,hua nakata vingne vdogo vdogo ili viwahi kuiva special kwa muonjo😌
Majini yalibaki kwa nguruwe hayakutokaNguruwe baada ya kutupiwa majini alikimbilia kwenye maji,mbona hamuachi kunywa maji wakati kitimoto alikimbilia kwenye maji
Viungo vingi na hawaikaushi sana, yani wanavyoshika limnofu na kulitafuna na kumeza basi mwenzio napataga udenda, ni km ile hali unahisi ukitizama porn nzuri nzuri, hapa nishachungulia jinsi wanavyobugia mduduWachina sijui ni hawajui kupika mdudu au mapishi yao ndo yapo vile nyama inakua na mafuta sanaa pili pili Kwa wingi afu inakua na harufu flan sijui wanaweka nn
😆😆😆😆 Shindwa pepoEbu njoo upikie hapa kwangu nikuone unavyo onja onja 😀