Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
😀 😀 😀 utakuwa umeanza asubuhi kupata mvinyo weweEwaaaaa si inapatkana ile namba ya kundi letu,,mana wewe kila weekend unakundi la wanawake watano watano na line yao,,, nguruwe day
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 😀 😀 utakuwa umeanza asubuhi kupata mvinyo weweEwaaaaa si inapatkana ile namba ya kundi letu,,mana wewe kila weekend unakundi la wanawake watano watano na line yao,,, nguruwe day
SOMA MAANDIKO MKUUKwamba wale nguruwe ndo wakasambazwa Dunia nzima!? Kwamba leo hii mimi nikimchambia mtoto kanga basi ndo kanga zote duniani zina mavi!!!??? Kweli upumbavu ni kipaji.
Nchi nyingi zinazoathirika na minyoo ya nguruwe (taenia solium) ni zile za uchumi wa Kati. Ni sababu ni kutokupika vizuri ( undercooking) au kula nguruwe walioathirika sana.Vipi minyoo ya nguruwe haiongozi pia?
Aliyoyatupia yalienda Hadi china?Kwahiyo wananchi wa china wengi wana mapepo sasa,Maana kipindi kile YESU alipoyafukuza mapepo kwa watu aliyatupia kwenye nguruwe
😆😆😆🤣 Hahaha😀 😀 😀 utakuwa umeanza asubuhi kupata mvinyo wewe
HahahaaaAliyoyatupia yalienda Hadi china?
😂😂😂 Nimecheka eti pornViungo vingi na hawaikaushi sana, yani wanavyoshika limnofu na kulitafuna na kumeza basi mwenzio napataga udenda, ni km ile hali unahisi ukitizama porn nzuri nzuri, hapa nishachungulia jinsi wanavyobugia mdudu
Nakushauri fanya utafiti japo wa mtandaoni tu kabla hujajibu.Nchi nyingi zinazoathirika na minyoo ya nguruwe (taenia solium) ni zile za uchumi wa Kati. Ni sababu ni kutokupika vizuri ( undercooking) au kula nguruwe walioathirika sana.
Pia matumizi hovyo ya choo ( sanitation)
Pamoja na kula au kunywa contaminated. Huko ni kidogo sana sababu ya kuzingatia.
Ninachowapendea waislamu wanakataa pombe na kitimoto sisi tunakula wakiishiwa damu tunawapa hospital so tunabalance haramNa ndio wenye akili zaidi duniani na Africa ikiwiwepo Tanzania tuliodanganywa na MWARABU na dini yake kuwa nguruwe ni haramu tunategemea bidhaa na teknolojia ya wachina Wala nguruwe kwa 95%
Kwahio buddhism we unaona ni kabila?Nchi zisizokuwa na dini lazima ziongoze
Wachina wamekuwa wakila nguruwe miaka elfu sasaWame improve bora wameanza kuondoka na kula kila takataka na kunogewa na nguruwe...ni hatua nzuri kuondokana na kula vitu vya ajabu ajabu
Asili ya uumbaji ilianza kwanza Dini zikaja baadae!Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Nchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Huo ndio hualisia sikulazimishi ukabali au ukatae tunakufundisha huwe unaelewa sometimes punguza ego.Nakushauri fanya utafiti japo wa mtandaoni tu kabla hujajibu.
Huwa sikisii.
Mkuu umeuliza kitu cha msingi sana chenye kuhtaji uangalifu mkubwa wakat wakujibu hilo swaliNguruwe baada ya kutupiwa majini alikimbilia kwenye maji,mbona hamuachi kunywa maji wakati kitimoto alikimbilia kwenye maji
Sister; hilo tatizo lipo nchi masikini huku. Again; hivi kuna mnioo unaweza kuishi hadi kwenye joto la zaidi ya 100'C?Vipi minyoo ya nguruwe haiongozi pia?