sanya naibil
Senior Member
- Sep 9, 2024
- 122
- 151
H
aahaahaaaa hatariiHuku unaweza tolewa spidi na manguruwe yako mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aahaahaaaa hatariiHuku unaweza tolewa spidi na manguruwe yako mzee
Kwa wiki anakula kg 1.5 ni kidogo hiyo kumbuka huo ni wastani wa nchi nzima.Wastan wa kilo 70 kwa mwaka mbona ni ndogo.
Ndo ivyo mkuu kila sehemu kuna utaratibu wakeH
aahaahaaaa hatarii
Unavyo fanya mlinganisho unatakiwa kuangalia vitu vingi mojawapo ni idadi ya watu. Maana Bongo unaweza kukuta watu wenye Kula Wana wastani wa kilo 100 kwa mwakaNchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Ni nyingi sana wastan wa 70 kg Kwa mtu mmoja ,kumbuka Kuna nyama zingine pia ... Na nchi ya china ina idad kubwa ya watu sasa chukua kilo 70 ni kama nguruwe mzima huyu Kwa kila mtu Kwa mwakaWastan wa kilo 70 kwa mwaka mbona ni ndogo.
Hata tz serikali yake Haina dini ila watu wake ndo Wana diniOfficial China haina dini hivyo ndivyo hata serikali yake inajitambulisha
Kwahiyo mkuu hawa wa sasa ni halali kuliwa au haramu?Nguruwe wenye pepo walikufa wote mkuu rejea biblia.
Kuna utot halafu kuna utoto wa kipumbavu kama huu.Kwahiyo wananchi wengi wa china wana mapepo maana kipindi kile YESU baada ya kuyaondoa mapepo kwa watu aliyatupia kwenye nguruwe
Mkuu siyo utoto ni mawazo yanguKuna utot halafu kuna utoto wa kipumbavu kama huu.
Mbona shetani alitupwa duniani lakini ninyi bado mpo mnazaliana duniani na mnakula ya dunia?
Pamoja na dunia kuwa chini utawala wa shetani lakini bado mnaifurahia]!
Akili za hovyo,. Ulisoma vizuri Bible kweli!? Unaijua wale nguruwe walienda wapi!? Na uliambiwa wale ndio nguruwe waliokuwepo nchi/Dunia nzima!?Kwahiyo wananchi wa china wengi wana mapepo sasa,Maana kipindi kile YESU alipoyafukuza mapepo kwa watu aliyatupia kwenye nguruwe
Wale nguruwe walioingiliwa na mapepo walijirusha majini na kufia huko ndo maana Leo majini Kuna majini wengi na majini Huwa hayapendi nguruwe yanaogopa hiyo showKwahiyo wananchi wa china wengi wana mapepo sasa,Maana kipindi kile YESU alipoyafukuza mapepo kwa watu aliyatupia kwenye nguruwe
Kula nyama ya nguruwe uache kutoka mawazo ya hovyo!Mkuu siyo utoto ni mawazo yangu
Kweli kabisa, na wana maendeleoNa wanaishi vizuri kuliko hao tunaosema wana dini.
☕☕☕Kwahiyo wananchi wa china wengi wana mapepo sasa,Maana kipindi kile YESU alipoyafukuza mapepo kwa watu aliyatupia kwenye nguruwe
Ni hivi aslimiaNo research no right to Speak - Chairman Mao.
Mpange huyo madame mjuaji kuwa . solium taeniosis/cysticercosis/neurocysticercosis haisambai kwakula nyama ya pork tu.Kuhusi kula nyama za kiti Moto sihitaji tena kufanya utafiti mama; tayari China imetajwa kwenye uzi hu so why should i go for another research? Swali ulilo uliza kwamba wana changamoto ya minio ni nikakwambia, "Minyoo ni changamoto kwa vijinchi masikin" mwisho ndio nikailiza, hivi kuna mnio unaweza kuishi kwenye joto kali vile?
Well, may be, let's come back 2u madame, pamoja na China kula sana nyama ya kitimoto ambayo ni mbichi (this is according 2u ) je statistics zao kwenye magonjwa yasababishwao na kitimoto (minio ) ikoje?
Just for your information; kwenye communicable diseases mgonjwa mwenye umri wa <45 yrs of age ilitokea amekufa tena afie hospital, Wachina wanajiuliza sana kwamba why, how?
🐷🐷🐷🐷 RitzNchi ya China ndiyo inayoongoza Kwa wananchi wake kwa ulaji wa nguruwe duniani.
Inakadiriwa wananchi wa China hula wastani wa kilo 70 za kitimoto kwa mwaka.
Nchi namba mbili ni Belarusia Ikifuatiwa namba tatu na Korea ya kusini, Jumuiya Ulaya na Vietnam kwa pamoja.
Kwa Afrika, Afrika ya Kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa ulaji wa kitimoto.
Ni tofauti na China serikali ya Tanzania sio officially ya kiatheist jua kutofautisha.Hata tz serikali yake Haina dini ila watu wake ndo Wana dini
Mkuu hiyo mi situmii,kwa sababu zangu binafsiKula nyama ya nguruwe uache kutoka mawazo ya hovyo!
Hahahaaa sawa mkuuWale nguruwe walioingiliwa na mapepo walijirusha majini na kufia huko ndo maana Leo majini Kuna majini wengi na majini Huwa hayapendi nguruwe yanaogopa hiyo show