Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
JF hii hii au nyingine!?Wakuu nauliza tu!!
Kulingana na dunia inavo enda Tech giant zinapewa pesa na serikali zao kusambaza ajenda na maslahi ya nchi zao!!
Tanzania tuna ajenda nyingi ambazo tunaweza kuzitumia tech zetu hata kama ndogo kuadvance kwene uso wa dunia
Mfano ni hii jamii forum ambayo mizizi yake ni hapa tanzania!
Badala ya kuhangaika kufuta nyuzi,ka kudhibiti maudhui yasiyopendwa !
Inaweza chukua fursa hii kuongeza ushawishi wa Lugha, tamaduni , Kiuchumi na technolojia kupitia hizi mitandao inayotengenezwa hapa nchini.
Kama vile marekani inavotumia twitter,facebook, na instagram
Au china inavotumia tiktok au deep seek
hiiJF hii hii au nyingine!?
inahusu nn๐๐๐nchi ngumu hiiKuna Samia App naona ndio inatangazwa kweli mitandaoni๐ผView attachment 3215884
๐๐๐Hizo akili viongozi wetu wanazo?
Zaidi ya kununua magoli hamna kingine.
Huko unakutana na akina Lucas Mwashambwa 1000inahusu nn๐๐๐nchi ngumu hii
HeeehHuko unakutana na akina Lucas Mwashambwa 1000
Tuambie ww mtanzaniaWachina wamekazana kuonesha teknolojia zao huko tik tok, wapo mpaka wapishi, wafinyanga vyungu, wachoraji, watengeneza zana ndogondogo za kilimo, hawajaacha kitu hata kimoja. Tanzania tunafeli wapi?
nikuambie nini mjuaji?Tuambie ww mtanzania
๐๐๐Huko unakutana na akina Lucas Mwashambwa 1000
๐๐๐๐nikuambie nini mjuaji?
๐๐๐๐
Labda kwanza uwaondoe Mods wote ili kusiwe na vikwazo vya kijinga.Wakuu nauliza tu!!
Kulingana na dunia inavo enda Tech giant zinapewa pesa na serikali zao kusambaza ajenda na maslahi ya nchi zao!!
Tanzania tuna ajenda nyingi ambazo tunaweza kuzitumia tech zetu hata kama ndogo kuadvance kwene uso wa dunia
Mfano ni hii JamiiForums ambayo mizizi yake ni hapa Tanzania!
Badala ya kuhangaika kufuta nyuzi,ka kudhibiti maudhui yasiyopendwa !
Inaweza chukua fursa hii kuongeza ushawishi wa Lugha, tamaduni , Kiuchumi na technolojia kupitia hizi mitandao inayotengenezwa hapa nchini.
Kama vile Marekani inavotumia twitter,facebook, na instagram
Au china inavotumia tiktok au deep seek
Ndiyo kinye๐ฉ gani tena hiki๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃKuna Samia App naona ndio inatangazwa kweli mitandaoni๐ผView attachment 3215884
Wanaweza wakafanya ivo kuboresha kutokwepwa na watuLabda kwanza uwaondoe Mods wote ili kusiwe na vikwazo vya kijinga.