Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #21
heehNdiyo kinye💩 gani tena hiki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heehNdiyo kinye💩 gani tena hiki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe huelewi!!Templates utumie kuteka dunia. Ni wazi Unauelewa mdogo sana wa tec
unaenda wapHahahah!! Nitarudi
KAZI ni kipimo cha UTU
AmaaaKwanza hii Nchi ina ajenda gani nzuri ya kupeleka huko Duniani?!!! Wizi wa kura?!
HIi ni chawa app, ukienda huko dunania no body glorify marais wao kuputiliza, hii app inaenda kufa na kuondolewa kabisa after utawala wakeKuna Samia App naona ndio inatangazwa kweli mitandaoni🐼View attachment 3215884
Jf originaly ni kuwafikia watanzania but not internatiob users, itawabidi wa comply na masharti ya sheria za nchi zingine, mfano zipo nchi zinataka information za users ziwe disclosed pale anapoonekana kuipinga serikali, which ni kinyume na miiko ya jf ambao wanatapa kuilinda privacy ya mtumiaj wakeWakuu nauliza tu!!
Kulingana na dunia inavo enda Tech giant zinapewa pesa na serikali zao kusambaza ajenda na maslahi ya nchi zao!!
Tanzania tuna ajenda nyingi ambazo tunaweza kuzitumia tech zetu hata kama ndogo kuadvance kwene uso wa dunia
Mfano ni hii JamiiForums ambayo mizizi yake ni hapa Tanzania!
Badala ya kuhangaika kufuta nyuzi,ka kudhibiti maudhui yasiyopendwa !
Inaweza chukua fursa hii kuongeza ushawishi wa Lugha, tamaduni , Kiuchumi na technolojia kupitia hizi mitandao inayotengenezwa hapa nchini.
Kama vile Marekani inavotumia twitter,facebook, na instagram
Au china inavotumia tiktok au deep seek
yaan we ndo unajidanganyaJf originaly ni kuwafikia watanzania but not internatiob users, itawabidi wa comply na masharti ya sheria za nchi zingine, mfano zipo nchi zinataka information za users ziwe disclosed pale anapoonekana kuipinga serikali, which ni kinyume na miiko ya jf ambao wanatapa kuilinda privacy ya mtumiaj wake
AiseeSio kwa mambumbu viongozi wa taifa hili.
Ukitaka kuona hakuna hata ujasusi wa kiuchumi kuwafanya watu wetu kuwa matajiri katika sphere za kimataifa..wapo tyari kuwainua wahindi na waarabu lkn sio watanzania wenzao.
aiseeHIi ni chawa app, ukienda huko dunania no body glorify marais wao kuputiliza, hii app inaenda kufa na kuondolewa kabisa after utawala wake
Wachina wanaongea lugha gan??Lugha tatizo
Huko Kuna aina hii ya vijanaHIi ni chawa app, ukienda huko dunania no body glorify marais wao kuputiliza, hii app inaenda kufa na kuondolewa kabisa after utawala wake
IaseeHuko Kuna aina hii ya vijana
View attachment 3216314
hii haina ubaya mbonaHuko Kuna aina hii ya vijana
View attachment 3216314
Agenda gani mkuu.. TikTok algorithm yake inaendana na unachokipenda kwa mda sahihi mfano kama unapenda wine na rhumba ikifika ijumaa jioni unashangaa video za wine na Rhumba hizoooWakuu nauliza tu!!
Kulingana na dunia inavo enda Tech giant zinapewa pesa na serikali zao kusambaza ajenda na maslahi ya nchi zao!!
Tanzania tuna ajenda nyingi ambazo tunaweza kuzitumia tech zetu hata kama ndogo kuadvance kwene uso wa dunia
Mfano ni hii JamiiForums ambayo mizizi yake ni hapa Tanzania!
Badala ya kuhangaika kufuta nyuzi,ka kudhibiti maudhui yasiyopendwa !
Inaweza chukua fursa hii kuongeza ushawishi wa Lugha, tamaduni , Kiuchumi na technolojia kupitia hizi mitandao inayotengenezwa hapa nchini.
Kama vile Marekani inavotumia twitter,facebook, na instagram
Au china inavotumia tiktok au deep seek
Wachina wanaongea lugha gan??
Kichina! hamna anaeongea english kuleEnglish
Kichina! hamna anaeongea english kule