China inatumia Tiktok kuadvance agenda zake kimataifa kwanini Tanzania isitumie app za ndani kama JamiiForums Kudominate Global tech??

China inatumia Tiktok kuadvance agenda zake kimataifa kwanini Tanzania isitumie app za ndani kama JamiiForums Kudominate Global tech??

Agenda gani mkuu.. TikTok algorithm yake inaendana na unachokipenda kwa mda sahihi mfano kama unapenda wine na rhumba ikifika ijumaa jioni unashangaa video za wine na Rhumba hizooo
Ebu kikueleweshe kidogo
Tiktok inaweza kukusanya taarifa zawatu duniani kote ( Hyo inawapa advantage china kwene Espionage)
Kwa kupendwa na watu wengi wanaweza kuwashawishi raia wa nchi kama marekani hasa kisera, biashara, kitamaduni.

Kifupi inafanya raia wa nchi nyingine kutegemea nchi nyingine.
Kama ilivo baadhi wa tanzania bila instagram hawali
bila youtube maisha hayaendi
Bila twitter watu hawapat kipato.

Siku serikali kali ikitaka kuzima hii mitandao raia watakua upande wa marekani kwan ndo inaowalisha .
Mfano nimekupa kulingana na uwezo wako.
Mifano mikubwa huwezi elewa
 
Umekariri mkuu. Ni sawa na kusema 90% ya watanzania hawajui kizungu
Jitahidi kutofautisha mihemuko yako na fact hasa unapokuja sehemu za public kama hizi.
Naongea kitu ambacho ni fact siyo mihemu ninayo hisi
 

Attachments

  • 175B51F6-43AC-4971-8D83-0402312BE98D.jpeg
    175B51F6-43AC-4971-8D83-0402312BE98D.jpeg
    659.2 KB · Views: 2
Umekariri mkuu. Ni sawa na kusema 90% ya watanzania hawajui kizungu
Nakuomba usiongee utumbo tena kwa heshima ya jina lako
 

Attachments

  • E3F4333B-A650-4145-8476-D591787D4E1D.jpeg
    E3F4333B-A650-4145-8476-D591787D4E1D.jpeg
    572.3 KB · Views: 2
Jina lipi mkuu unaloliheshimu hili feki ama?Pole sana ndo vile ukatetemeka mwenyewe mbio mbio google kuja kumsunta numby kwa screenshot ya mchongo bwahahaha
Ni fake kwetu! lakini wewe unajifahamu na unajua katika ufake wako bado unachoongea kina kuwakilisha ww!!…

Mi siongei kitu nisichokifahamu.
Wala sikusuti ila nakuelimisha kuangalia maneno unayoongea hasa unapoongea in public
 
I don't care mkuu. Yaani maisha halisi niwe serious na mtandaoni pia niwe hivyo. No way

Mie nakwambia hivi google sio ya kuiamini sana. Wachina wanaochapa kizungu wapo tele mkuu zaidi ya hio asilimia ya google,hapo bado hawa tuliojazana nao bongo hadi kiswahili wanakitandika
Ni fake kwetu! lakini wewe unajifahamu na unajua katika ufake wako bado unachoongea kina kuwakilisha ww!!…

Mi siongei kitu nisichokifahamu.
Wala sikusuti ila nakuelimisha kuangalia maneno unayoongea hasa unapoongea in public
 
I don't care mkuu. Yaani maisha halisi niwe serious na mtandaoni pia niwe hivyo. No way

Mie nakwambia hivi google sio ya kuiamini sana. Wachina wanaochapa kizungu wapo tele mkuu zaidi ya hio asilimia ya google,hapo bado hawa tuliojazana nao bongo hadi kiswahili wanakitandika
we n mpumbavu!! Huelimiki yaan tuache kuziamini instutution zilizofanya research tukuamini ww ambae hata passport huna??

10% ya watu bilion 1 unaelewa n watu kiasi gan??
 
I don't care mkuu. Yaani maisha halisi niwe serious na mtandaoni pia niwe hivyo. No way

Mie nakwambia hivi google sio ya kuiamini sana. Wachina wanaochapa kizungu wapo tele mkuu zaidi ya hio asilimia ya google,hapo bado hawa tuliojazana nao bongo hadi kiswahili wanakitandika
Ebu ongea kama uko kwene mjadala na watu live!!
Nadhan ungekua live ungejaribu kuficha upumbavu wako!!
Yaan kama mtoto haipendezi
 
Sio kwa mambumbu viongozi wa taifa hili.
Ukitaka kuona hakuna hata ujasusi wa kiuchumi kuwafanya watu wetu kuwa matajiri katika sphere za kimataifa..wapo tyari kuwainua wahindi na waarabu lkn sio watanzania wenzao.
Ufaransa hapa ilipofika, ni sababu ya mchango wa shirika lao la ujasusi. Hawa jamaa waligundua wanaweza kufanya corporate espionage kupata taarifa za washindani wao
Result ya ujasusi huo, creation ya shirika la utengenezaji wa ndege la ufaransa. Dasault aviation

Na limewapa jina sana, na kuondoa utegemez kutoka america. Moja ya nchi ambazo hazitegemei america katika defence
 
hamna wa kukukataza
Big Corporations hazina nchi wala bendera, they are after more users; which amounts to profit na power; By the way wewe unaweza battle za kupigana na kina giants Binance, Meta na Google et al, wakati kwenye mambo madogo tu kama Nishati safi wakati tuna umeme wa kutosha bado tunatumia kodi kuagiza gesi nje ? Yaani tumeshindwa kutumia tulichonacho na kuanzia tulipo...
 
Back
Top Bottom