Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Hapo unajua China anahaha kuumizwa na vikwazo pindi akikosana na baba lao USA,kwa sababu transactions za Dunia zinafanyika kwa dola ya Marekani.mdogo wangu, kikwazo pekee kilichobaki ni USD, hii kuivunja ni ngumu sana maana inatumika dunia nzima, ivo vingine ni kunogesha tu uzi, marekani anadaiwa na china
View attachment 1887297
Lakini pia juzi china wamezindua currency yao wenyewe katika harakati za kuipiga usd, usa amebaki na jeshi kubwa ila sector zingine mpaka ushawishi wanatumia nguvu tu