mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Mabeberu yameshamgundua china kuwa ni chui wa karatasi! Chui wa karatasi ana sura ile ile ya chui na ametoa meno lakini hawezi kuuma!! Ni sawa na nyoka wa kibisa ambaye hata watoto huwa wanaweza kucheza naye maana alishatolewa meno!
China ilibweka sana kutishia Spika wa bunge la marekani Pelosi asitembelee Taiwan ambayo kimsingi ni sehemu ya china!! Akaandaa mameli na midege ya kijeshi lakini kumbe wenye akili zao walijua anatishia nyau na Pelosi alienda Taiwan na Kurudi bila shida yoyote! baada ya hapo china ikaizingira Taiwan kwa mimeli ya kijeshi pande zote na ikafanya mazoezi ya kijeshi ya kufa mtu lakini mabeberu wakamcheka tu na hujiendea Taiwan na kurudi na china kuishia kubweka hadi aibu!!
Hivi sasa tunavyozungumza kuna ziara nzito ya wabunge wa Canada wakitembelea Taiwan "nchini China" kinyume na matakwa ya China na bila aibu China imebweka tena huku ikijua kuwa imeshagundulika kuwa ni "chui wa karatasi". Ili kuondokana na aibu hii mara mia China iamue kuachana rasmi na Taiwan na kuitangazia uhuru wake kuliko hii aibu ya kubweka kila leo huku dunia nzima inajua ubavu wa kung'ata haina!!
Isijidanganye kuwa miongoni mwa wababe ambao wakisema kitu huwa hawapepesi macho!! Hapo ndipo ninapoziheshimu nchi kama Iran, Korea ya kaskazini, Uturuki na baba lao Urusi!!
© Twitter / MOFA_Taiwan
The Chinese government has condemned a recent visit to Taiwan by Canadian MPs, demanding that Ottawa cease direct diplomatic ties with the island and respect its territorial claims.
In a statement issued to the Globe and Mail on Thursday, China’s embassy in Canada denounced a trip to Taiwan by Liberal lawmaker Judy Sgro and other members of the ‘Canada-Taiwan Parliamentary Friendship Group,’ which began last Sunday.
“China has consistently and firmly opposed any form of official exchanges between the Taiwan region and countries having diplomatic ties with China,” it said, adding that the visit “blatantly violates the one-China principle, grossly interferes in China’s internal affairs and sends a seriously wrong signal to the ‘Taiwan independence’ separatist forces.”
China ilibweka sana kutishia Spika wa bunge la marekani Pelosi asitembelee Taiwan ambayo kimsingi ni sehemu ya china!! Akaandaa mameli na midege ya kijeshi lakini kumbe wenye akili zao walijua anatishia nyau na Pelosi alienda Taiwan na Kurudi bila shida yoyote! baada ya hapo china ikaizingira Taiwan kwa mimeli ya kijeshi pande zote na ikafanya mazoezi ya kijeshi ya kufa mtu lakini mabeberu wakamcheka tu na hujiendea Taiwan na kurudi na china kuishia kubweka hadi aibu!!
Hivi sasa tunavyozungumza kuna ziara nzito ya wabunge wa Canada wakitembelea Taiwan "nchini China" kinyume na matakwa ya China na bila aibu China imebweka tena huku ikijua kuwa imeshagundulika kuwa ni "chui wa karatasi". Ili kuondokana na aibu hii mara mia China iamue kuachana rasmi na Taiwan na kuitangazia uhuru wake kuliko hii aibu ya kubweka kila leo huku dunia nzima inajua ubavu wa kung'ata haina!!
Isijidanganye kuwa miongoni mwa wababe ambao wakisema kitu huwa hawapepesi macho!! Hapo ndipo ninapoziheshimu nchi kama Iran, Korea ya kaskazini, Uturuki na baba lao Urusi!!
Beijing fumes over latest foreign visit to Taiwan
A trip to Taipei by Canadian lawmakers “grossly interfered” in China’s internal affairs, Beijing said
© Twitter / MOFA_Taiwan
The Chinese government has condemned a recent visit to Taiwan by Canadian MPs, demanding that Ottawa cease direct diplomatic ties with the island and respect its territorial claims.
In a statement issued to the Globe and Mail on Thursday, China’s embassy in Canada denounced a trip to Taiwan by Liberal lawmaker Judy Sgro and other members of the ‘Canada-Taiwan Parliamentary Friendship Group,’ which began last Sunday.
“China has consistently and firmly opposed any form of official exchanges between the Taiwan region and countries having diplomatic ties with China,” it said, adding that the visit “blatantly violates the one-China principle, grossly interferes in China’s internal affairs and sends a seriously wrong signal to the ‘Taiwan independence’ separatist forces.”