China kajipambanua kama chui wa karatasi: Hapa bongo tunasema ni "nyoka wa kibisa"

China kajipambanua kama chui wa karatasi: Hapa bongo tunasema ni "nyoka wa kibisa"

Just read between the lines if you are so interested!! Usijiaibishe!!
Nimefanya hivyo, lakini mkuu nime gundua hauna ufahamu mkubwa na huu mgogoro.
na hao Nationalists waliokuwa wanajiita PRC (Peoples republic of China)
Mkuu unaona makosa yako lakini ? Unafahamu PRC imezaliwa lini ?
hao Nationalists waliokuwa wanajiita PRC (Peoples republic of China) walishindwa vita wakakimbilia kisiwani Taiwan
Mkuu unao haya makosa yako lakini ?
na hadi leo wanajiita rasmi kama PRC!!
Mkuu jifunze kwanza kitu ndio uzungumze maana unacho andika duuh!😳.
 
Kwanza kosa lako la kwanza mkuu ni wewe kushindwa kunitajia huo mwaka ambao umeanza kuufatilia huu mgogoro baina ya PRC na ROC .

Kosa la pili ni kusema kuwa mgogoro huu chimbuko lake ni ulianza baada ya vita vya pili vya dunia kitu ambacho sicho.

: Kuwa tu mkweli mkuu huu mgogoro umeanza kuufatilia mwaka gani ? ukweli humuweka mtu huru
unapenda debate mkuu , shusha nondo zako acha kurefusha story , km umeingia maji kimo si chako we kubali tu na sio kurefusha debate
 
Nationalist waliojulikana kama Kuomintang chini ya Chiang Kai-shek waqlipigana na wakomunisti chini ya Mao Zedong (1945-1949). Nationalists walishindwa wakakimbilia kisiwani Taiwan na kizazi chao kinaendeleza hiyo bifu hadi leo!!
 
Nimefanya hivyo, lakini mkuu nime gundua hauna ufahamu mkubwa na huu mgogoro.

Mkuu unaona makosa yako lakini ? Unafahamu PRC imezaliwa lini ?

Mkuu unao haya makosa yako lakini ?

Mkuu jifunze kwanza kitu ndio uzungumze maana unacho andika duuh!😳.
Pole!! Ungebisha zama za kale ningekuelewa, lakini leo una nafasi ya kuingia internet na kupata habari zote!! Pole sana!!

Nationalist collapse and the establishment of the People’s Republic of China (1949)​

The two-decade struggle for China between the Nationalists and the Communists reached its conclusion in 1949. The year began with a Nationalist appeal to the “Big Four” (the United States, the United Kingdom, France, and the Soviet Union) to mediate a settlement with the Communists. The United States, which had for so long supported the Nationalist cause, immediately replied that such an effort would not serve any useful purpose. On January 14 Mao declared his willingness to negotiate on the following terms: (1) punishment of “war criminals,” (2)
 
Pole!! Ungebisha zama za kale ningekuelewa, lakini leo una nafasi ya kuingia internet na kupata habari zote!! Pole sana!!

Nationalist collapse and the establishment of the People’s Republic of China (1949)​

The two-decade struggle for China between the Nationalists and the Communists reached its conclusion in 1949. The year began with a Nationalist appeal to the “Big Four” (the United States, the United Kingdom, France, and the Soviet Union) to mediate a settlement with the Communists. The United States, which had for so long supported the Nationalist cause, immediately replied that such an effort would not serve any useful purpose. On January 14 Mao declared his willingness to negotiate on the following terms: (1) punishment of “war criminals,” (2)
Mkuu kwa kukusaidia zaidi mgogoro/vita ulikuwa na awamu mbili awamu ya kwanza ulianza 1927 na awamu ya pili 1947.
 
Mabeberu yameshamgundua china kuwa ni chui wa karatasi! Chui wa karatasi ana sura ile ile ya chui na ametoa meno lakini hawezi kuuma!! Ni sawa na nyoka wa kibisa ambaye hata watoto huwa wanaweza kucheza naye maana alishatolewa meno!

China ilibweka sana kutishia Spika wa bunge la marekani Pelosi asitembelee Taiwan ambayo kimsingi ni sehemu ya china!! Akaandaa mameli na midege ya kijeshi lakini kumbe wenye akili zao walijua anatishia nyau na Pelosi alienda Taiwan na Kurudi bila shida yoyote! baada ya hapo china ikaizingira Taiwan kwa mimeli ya kijeshi pande zote na ikafanya mazoezi ya kijeshi ya kufa mtu lakini mabeberu wakamcheka tu na hujiendea Taiwan na kurudi na china kuishia kubweka hadi aibu!!

Hivi sasa tunavyozungumza kuna ziara nzito ya wabunge wa Canada wakitembelea Taiwan "nchini China" kinyume na matakwa ya China na bila aibu China imebweka tena huku ikijua kuwa imeshagundulika kuwa ni "chui wa karatasi". Ili kuondokana na aibu hii mara mia China iamue kuachana rasmi na Taiwan na kuitangazia uhuru wake kuliko hii aibu ya kubweka kila leo huku dunia nzima inajua ubavu wa kung'ata haina!!

Isijidanganye kuwa miongoni mwa wababe ambao wakisema kitu huwa hawapepesi macho!! Hapo ndipo ninapoziheshimu nchi kama Iran, Korea ya kaskazini, Uturuki na baba lao Urusi!!

Beijing fumes over latest foreign visit to Taiwan​

A trip to Taipei by Canadian lawmakers “grossly interfered” in China’s internal affairs, Beijing said
Beijing fumes over latest foreign visit to Taiwan

© Twitter / MOFA_Taiwan
The Chinese government has condemned a recent visit to Taiwan by Canadian MPs, demanding that Ottawa cease direct diplomatic ties with the island and respect its territorial claims.
In a statement issued to the Globe and Mail on Thursday, China’s embassy in Canada denounced a trip to Taiwan by Liberal lawmaker Judy Sgro and other members of the ‘Canada-Taiwan Parliamentary Friendship Group,’ which began last Sunday.

“China has consistently and firmly opposed any form of official exchanges between the Taiwan region and countries having diplomatic ties with China,” it said, adding that the visit “blatantly violates the one-China principle, grossly interferes in China’s internal affairs and sends a seriously wrong signal to the ‘Taiwan independence’ separatist forces.”
How could you be a powerfully nation while you copy every thing?
 
Uturuki iliwahi kuiambia Urusi, ulisogeza ndege zako kwenye anga yangu (wakati wa mgogoro wa Syria) naitungua, Urusi akadhani masihra akapitisha ndege yake ya kijeshi uturuki akaitungua na ikajizolea heshima!! Leo hii Urusi na Uturuki wanaheshimiana japo Urusi ana nguvu zaidi!!
Korea ya kaskazini iliiambia marekani na korea ya kaskazini miaka ya nyuma walipokuwa wanafanya mazoezi ya kijeshi kuwa meli yoyote ya kijeshi ikisogea kwenye usawa wa eneo langu la bahari nitaizamisha! Wakajifanya kichwa ngumu wakapeleka manowari yao eti imepotea njia kwa bahati mbaya, haikurudi! ikazamishwa jumla!

Iran iliiambia marekani ni lazima italipiza kisasi kwa kuuliwa jemadari wake na marekani nchini Iraq!! Haikupepesa macho, kambi ya kijeshi ya marekani nchini Iraq ilishambuliwa na wimbi kali la makombora na marekani ikalazimika kupotezea!!
Na baba lao Urusi ilishasema NATO waseme wazi kuwa hawataipokea ukraine kwenye umoja wao na ukraine itamke kuwa neutral vinginevyo huo ni mstari mwekundu!! Wakafikiri Urusi ni kama mchina matokeo yake Urusi imevamia ukraine na imeshahalalisha kuchukua majimbo manne ya ukraine kuwa sehemu ya urusi na habari ndiyo imeishia hapo!! NATO watapiga makelele na kujaribu kuisaidia ukraine lakini kamwe hawatafika popote!!

China ijifunze kwa wababe hao!! Ubabe ni kukubali hasara lakini ukatunza heshima!!
Uturuki alijinyea
 
Mkuu kwa kukusaidia zaidi mgogoro/vita ulikuwa na awamu mbili awamu ya kwanza ulianza 1927 na awamu ya pili 1947.
Pole!! Awamu ya kwanza haikuzaa sehemu moja ya china kukimbilia kisiwani Taiwan!! Tunaongelea mwanzo wa sehemu moja ya wahasimu kukimbilia Taiwan kuanzisha serikali yao huko!! Huo ndio muktadha wa maongezi haya and not otherwise!

Nationalist collapse and the establishment of the People’s Republic of China (1949)​

The two-decade struggle for China between the Nationalists and the Communists reached its conclusion in 1949. The year began with a Nationalist appeal to the “Big Four” (the United States, the United Kingdom, France, and the Soviet Union) to mediate a settlement with the Communists. The United States, which had for so long supported the Nationalist cause, immediately replied that such an effort would not serve any useful purpose. On January 14 Mao declared his willingness to negotiate on the following terms: (1) punishment of “war criminals,” (2)
 
Mkuu mataifa makubwa mfano China haya endeshwi hivyo unavyodhani wewe, lazima yangalie interest zao kwanza kama taifa ndio kina fuata kitu kingine .

Kuliendesha taifa kubwa kama China lenye watu zaidi ya 1.5bln unahitaji chama imara kilicho jaa watu wenye akili wenye kuchukua maamuzi ya akili kwa manufaa ya taifa na sio mihemko. narudia tena mkuu hawa watu top elite mpaka wamefikia hapo juu kuwa top 7 elite wa CPC na PRC na wanajua wanacho kifanya wanazijua siasa za kimataifa ndani nje kuliko mimi na wewe mkuu.View attachment 2386727
View attachment 2386735

: Mkuu jambo pekee tunapaswa kufahamu ni kuwa China ni taifa kubwa lazima lifanye maamuzi makubwa kwa faida ya taifa lake na sio maamuzi mabovu yatakayo lididimiza taifa lao.
China ni muoga tuishie hapa kwani maamuzi ya kuivamia Ukraine aliamua putin pekee yake?
 
China ni muoga tuishie hapa kwani maamuzi ya kuivamia Ukraine aliamua putin pekee yake?
Mkuu siasa za Russia na China ni tofauti kabisa, kwa hiyo maamuzi waliyo fanya Russia ni sahihi kwa upande wao na maamuzi wanayo fanya PRC na PLA pia ni sahihi kwao kwa sasa.
 
Pole!! Awamu ya kwanza haikuzaa sehemu moja ya china kukimbilia kisiwani Taiwan!! Tunaongelea mwanzo wa sehemu moja ya wahasimu kukimbilia Taiwan kuanzisha serikali yao huko!! Huo ndio muktadha wa maongezi haya and not otherwise!

Nationalist collapse and the establishment of the People’s Republic of China (1949)​

The two-decade struggle for China between the Nationalists and the Communists reached its conclusion in 1949. The year began with a Nationalist appeal to the “Big Four” (the United States, the United Kingdom, France, and the Soviet Union) to mediate a settlement with the Communists. The United States, which had for so long supported the Nationalist cause, immediately replied that such an effort would not serve any useful purpose. On January 14 Mao declared his willingness to negotiate on the following terms: (1) punishment of “war criminals,” (2)
Kwa hiyo mkuu mwaka 1927 mpaka mwaka 1936 China CPC/PLA haikupigana na Kuomitang/CNA ?
 
Kwenye komenti Yako namba tatu,naomba nitifautiane na wewe.
Uturuki iliipiga ndege ya Urusi kweli,lkn Urusi ilikasirika na Putin akasema ,rafiki,"umenichoma kisu mgongoni".
Akilenga kwamba Urusi haikua na bifu na Uturuki na pia walikua ni marafiki.
Urusi ikaonya kua inatafakari juu ya tukio hilo.
Ukweli kabla hata Urusi hawajachukua maamuzi Edorgan alienda Moscow kuomba msamaha,na aliomba msamaha.
Kwa hiyo Uturuki waliipiga ndege Ile sio kibabe kama ilivyodhaniwa.
Na baada ya hapo waliendelea kufanya biashara za bidhaa nyingine na hata za silaha.
Hii maana yake Nini.
Hii maana yake hapakua na uadui kama uliokuwapo kati ya Korea Kaskazini dhidi ya USA na Korea kusini,

Uadui kati ya Iran na USA,

Na uadui kati ya Urusi na NATO.

Kwa kifupi ni kama Uturuki aliipiga ndege ya Urusi kimakosa na ndio maana Edorgan alikimbilia Moscow kwenda kuomba samahani.
 
Mkuu siasa za Russia na China ni tofauti kabisa, kwa hiyo maamuzi waliyo fanya Russia ni sahihi kwa upande wao na maamuzi wanayo fanya PRC na PLA pia ni sahihi kwao kwa sasa.
Nilichopinga ni kutuletea baraza la maamuzi la China kana kwamba urusi putin ndo aliamua kuvamia
 
Back
Top Bottom