China kajipambanua kama chui wa karatasi: Hapa bongo tunasema ni "nyoka wa kibisa"

China kajipambanua kama chui wa karatasi: Hapa bongo tunasema ni "nyoka wa kibisa"

Nilichopinga ni kutuletea baraza la maamuzi la China kana kwamba urusi putin ndo aliamua kuvamia
Kwani mkuu huu mgogoro tunao uzungumzia hapa tuna ufananisha na wa Russia na Ukraine ?

: Mimi nime zungumzia pulitburo ya PRC na wala sijai husisha na Russia na pia sijasema kuwa maamuzi ya Russia juu ya Ukraine yamefanywa na Putin peke yake.
 
Mabeberu yameshamgundua china kuwa ni chui wa karatasi! Chui wa karatasi ana sura ile ile ya chui na ametoa meno lakini hawezi kuuma!! Ni sawa na nyoka wa kibisa ambaye hata watoto huwa wanaweza kucheza naye maana alishatolewa meno!

China ilibweka sana kutishia Spika wa bunge la marekani Pelosi asitembelee Taiwan ambayo kimsingi ni sehemu ya china!! Akaandaa mameli na midege ya kijeshi lakini kumbe wenye akili zao walijua anatishia nyau na Pelosi alienda Taiwan na Kurudi bila shida yoyote! baada ya hapo china ikaizingira Taiwan kwa mimeli ya kijeshi pande zote na ikafanya mazoezi ya kijeshi ya kufa mtu lakini mabeberu wakamcheka tu na hujiendea Taiwan na kurudi na china kuishia kubweka hadi aibu!!

Hivi sasa tunavyozungumza kuna ziara nzito ya wabunge wa Canada wakitembelea Taiwan "nchini China" kinyume na matakwa ya China na bila aibu China imebweka tena huku ikijua kuwa imeshagundulika kuwa ni "chui wa karatasi". Ili kuondokana na aibu hii mara mia China iamue kuachana rasmi na Taiwan na kuitangazia uhuru wake kuliko hii aibu ya kubweka kila leo huku dunia nzima inajua ubavu wa kung'ata haina!!

Isijidanganye kuwa miongoni mwa wababe ambao wakisema kitu huwa hawapepesi macho!! Hapo ndipo ninapoziheshimu nchi kama Iran, Korea ya kaskazini, Uturuki na baba lao Urusi!!

Beijing fumes over latest foreign visit to Taiwan​

A trip to Taipei by Canadian lawmakers “grossly interfered” in China’s internal affairs, Beijing said
Beijing fumes over latest foreign visit to Taiwan

[emoji2398] Twitter / MOFA_Taiwan
The Chinese government has condemned a recent visit to Taiwan by Canadian MPs, demanding that Ottawa cease direct diplomatic ties with the island and respect its territorial claims.
In a statement issued to the Globe and Mail on Thursday, China’s embassy in Canada denounced a trip to Taiwan by Liberal lawmaker Judy Sgro and other members of the ‘Canada-Taiwan Parliamentary Friendship Group,’ which began last Sunday.

“China has consistently and firmly opposed any form of official exchanges between the Taiwan region and countries having diplomatic ties with China,” it said, adding that the visit “blatantly violates the one-China principle, grossly interferes in China’s internal affairs and sends a seriously wrong signal to the ‘Taiwan independence’ separatist forces.”
Ukitaka kujua ukatili wa china waulize India kule mipakani au Pakistan.

Mchina kama mbongo tu hapendi vita kabisa ila akiamu vita ni hatari

USSR
 
Tuliwahi kusema humu toka vita ya Ukraine na Russia inaanza, tukasema China atakaa mbali kabisa na Russia sababu hawezi kugombana na watu ambao wamemfanya awe tajiri namna hii.

Hilo la kwanza, la pili. Ubabe usiokuwa na maana kama wa Russia umeshapitwa na wakati, China amestaarabika mno.
 
Kwa taarifa yako mimi nakimbilia miaka 70!! Mgogoro huu ninaujua toka vita vyao vya wenyewe kwa wenyewe enzi ya Mao!! Hao walioko Taiwan walishindwa vita wakakimbilia kisiwa cha Taiwan!! Kubali tu kunipa shikamooo!!
Hiyo hata wa shule wanajua ipo kwenye vitabu dogo wewe

USSR
 
Tuliwahi kusema humu toka vita ya Ukraine na Russia inaanza, tukasema China atakaa mbali kabisa na Russia sababu hawezi kugombana na watu ambao wamemfanya awe tajiri namna hii.

Hilo la kwanza, la pili. Ubabe usiokuwa na maana kama wa Russia umeshapitwa na wakati, China amestaarabika mno.
Ndio china hana Sera ya vita yupo kimkakati wa biashara zaidi,anajua anapotoka

USSR
 
Ndio china hana Sera ya vita yupo kimkakati wa biashara zaidi,anajua anapotoka

USSR
Kama hivyo ndivyo, anapiga makelele ya nini? analalamika nini? ukishajua wewe ni nyumba ya udongo hauhimili vishindo inabidi uwe mpole!!
Yeye angekubali tu kuiachia uhuru Taiwan aendeleze biashara zake na mabeberu! Tatizo mabeberu wakikugundua wewe mwoga wanakunyanyasa sana! Ila hana jinsi!
La pili China anategemea bidhaa za viwandani ambazo si za lazima kwa maisha ya kila sikuna zina mbadala tena ulio bora zaidi!! Biashara zake zikipigwa ban hapo hana ujanja! Tofauti na urusi ambayo ni tajiri wa mali asili ambazo ni za lazima kwa maisha ya kila siku na hazina mbadala! Mabeberu wanalazimika kutumia gesi na mafuta kila siku! Usipoyanunua moja kwa moja kwa mrusi, utayanunua kutoka kwa mtu wa tatu aliyeyanunua toka urusi, tena kwa bei juu zaidi!! Ndivyo ilivyotokea kwa ulaya magharibi!! Huwezi kuyatoa mafuta ya urusi kwenye soko la dunia na dunia ikabaki salama kwa sasa! Walitaka kufanya hivyo kwa kuitaka saudi arabia iongeze uzalishaji kufidia yale ya urusi, jibu likatoka kinyume chake! Saudia na OPEC+ wameamua kupunguza uzalishaji!! Marekani wakanuna lakini wakaambiwa nuna sana!!
 
Naungana na mleta mada katika hili

Huyo mtetezi wa china anaesema China inaangalia faida zake kuliko hasara kuna jambo ana sahau

Kwanini sasa China alipiga mkwara wa kila rangi kama huo uwezo wa kurusha ngumi hana

Maana Pelosi aliambiwa maneno ya kila rangi na China hadi jeshi likawa linakaa tayari

Lakini mwisho wa siku akaishia kutulia tuli
Kama huwez ugomvi usitoe maneno ya shombo.
 
Binafsi China nilimdharau sana. Mikwara kibao vitendo hakuna. Angeongea tu mara moja alaf asubilie bibi atue amalize mchezo.

Kuna mtu aliwahi kusema jujwaani hapa kua nchi huru duniani ni Russia, N. Korea, Iran, Turkey, na China lkn China sio huru kama tulivyodhani. Inaendeshwa na US.
 
View attachment 2386678
Hawa top elite wa China sio wajinga wala wazembe kama wewe unavyo tanabaisha hapa , maamuzi yote wanayo fanya China yana fanyiwa upembuvi akinifu kuliko wewe unavyo dhani. China imefanya ukombozi na kurudisha maeneo yake mbalimbali mengi sana mfano Tibet, Hong Kong , Macau tena mengine bila kurusha hata risasi hata moja usiwachukulie China kawaida .

Haya mambo tuwa achie wataalamu wenyewe wa CPC na PLA wamalize Vita vyao vya wenyewe kwa wenyewe na hao ROC katika njia wao wanayo ona ni bora zaidi, haya mambo yanahitaji mipango sio mihemko kama unavyo dhani.

Maamuzi yote ya China lazima yapite humu na kuwanyia upembuvi akinifu ndipo yatekelezwe[emoji116]
View attachment 2386691View attachment 2386692View attachment 2386693View attachment 2386694

: Tusubiri maamuzi ya chama kuanzia Oktoba 16 nini kitajadiliwa hapo Great Hall of people Beijing tutajua ni namna gani PRC watalikabili swala la mgogoro wao na ROC.
Mchina anakwambia Kwa msemo wao local kwamba " all the great battles are won without fighting "
Kuna probability ndio Maana wanakuwa wakitembea nao huo usemi
 
Back
Top Bottom