CHINA: Kama marekani wanataka vita tupo tayari kwa hiyo vita

CHINA: Kama marekani wanataka vita tupo tayari kwa hiyo vita

Washaikongoloa NATO

Dollar inaseleleka,,,,wanaambiwa Sasa njooni ilihali wakijua walicholingia washakiua.

Putin woyeee.
20230411_222939.jpg
 
Yaani mchina kweli akapigane na US? Si alivuliwa nguo pale Taiwan baada ya kupiga mikwara yake kwamba Peros asiingie Taiwan la sivyo watafanya kitu ambacho US hakutegemea? Mpaka leo kimya.
Pelosi, Nancy Pelosi

1950-1953 China na marekani walikutana kwenye vita vya Korea mpaka General MacArthur akatishia matumizi ya nyuklia baada ya kukutana na mfupa mgumu.

Mind you 1950 ni mwaka mmoja toka China ya wakomunisti ijitangazie kuwa China sasa ni taifa huru 1949 kukuongezea zaidi wakomunisti wa China walikuwa na jeshi dhaifu lilitoka kwenye mapinduzi na vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa zaidi ya miaka 20 ni kama ilivyo M23 kwa mbaali.

Pia usisahau mpaka miaka hiyo ya 1950-1953 maeneo kama Tibet,Xinjiang,Taiwan,Kinmen, Matsu,Penghu yalikuwa bado hayaja kombolewa na wakomunisti vita vya ukombozi bado vilikuwa vinaendelea.

Kwa urahisi ni kuwa marekani ilikutana na jeshi la China dhaifu sana katika Korea lakini kazi waliyokutana nayo ni MacArthur pekee ndie anayejua mpaka kutishia Nyuklia
 
Aingie taiwan hapo tuone nguvu zake kijeshi otherwise ni porojo tu khs trade war bidhaa za china soko lake kubwa ni marekani kuliko hata ndani ya china yenyewe.
Wataiwan ni Wachina waliokimbilia kwenye kisiwa hicho baada ya mapinduzi ya 1949

Kwa hiyo ni ndugu zao, kuwavamia kijeshi sio kipaumbele cha China, kipaumbele cha China ni peaceful re-unification

Na ndio maana China inawapinga sana separatists walioko Taiwan wanaopewa support na Marekani na wala sio raia wa Taiwan

Marekani ndiyo inataka China ingie Taiwan kivita, ndio maana haiishi chokochoko kwa China juu ya Taiwan

Umeona tofauti ya akili ya Mchina na warmonger state U.S
 
Pelosi, Nancy Pelosi

1950-1953 China na marekani walikutana kwenye vita vya Korea mpaka General MacArthur akatishia matumizi ya nyuklia baada ya kukutana na mfupa mgumu.

Mind you 1950 ni mwaka mmoja toka China ya wakomunisti ijitangazie kuwa China sasa ni taifa huru 1949 kukuongezea zaidi wakomunisti wa China walikuwa na jeshi dhaifu lilitoka kwenye mapinduzi na vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa zaidi ya miaka 20 ni kama ilivyo M23 kwa mbaali.

Pia usisahau mpaka miaka hiyo ya 1950-1953 maeneo kama Tibet,Xinjiang,Taiwan,Kinmen, Matsu,Penghu yalikuwa bado hayaja kombolewa na wakomunisti vita vya ukombozi bado vilikuwa vinaendelea.

Kwa urahisi ni kuwa marekani ilikutana na jeshi la China dhaifu sana katika Korea lakini kazi waliyokutana nayo ni MacArthur pekee ndie anayejua mpaka kutishia Nyuklia
ok asante kwa porojo haya mwambieni aingie taiwan sasa kumbe jeshi la chini sasa ni hatari vp la marekani lenyewe bado lipo vilevile eti eeeh
 
Nancy Pelosi Aliwatoa Jasho Sana Wakashindwa Mpaka Anaondoka Taiwan
 
Back
Top Bottom