China kuanza kutumia Mwezi wake

China kuanza kutumia Mwezi wake

Hahahah umewaza mbali sana.
Shukurani sana mkuu kwa kutujuza hilo
Hawa wahuni wasiuite mwezi huo utopolo wao maana mwezi una sifa zake mbaka uitwe hivyo
Wao waseme tu wanatengeneza Bulb kubwa Kwa ajili ya kumulikia usiku,sio porojo zao za kuuita mwezi

Pumbaf kabisa Hawa!
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom