Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hata ndege zinaanguka mkuu ?, ni teknolojia tu inakua huna budi kukubaliana na hali ..Najaribu kufikiria siki huo mwezi uki collapse itakuwaje? Maana ya mwanadamu hayajakamilika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani amekwaambia ndo wanamonitor universal, NASA na china wapi kwa pi ndugu uwe unasomaNASA si ndio wana monitor Universe? Sasa wakirusha limwezi lao kama nasa hawalijui si wanaweza kujua ni UFO wakaanza plan ya kulilipua?
Ndo Shanghai kuna watu ni wajinga kiwango cha lami wanaamini NASA ndo mamlaka ya kushibiti flaying obeject kwa mataifa mengineNASA ni nani mpaka wawe wametoa approval?
Project kama izo mara nyingi ni Joint Projects mzee japo NASA wanaweza wasionekane Public ila wapo nao kuhakikisha usalama upo
Hicho kitu hakipo mkuu china kila kitu anafanya kwa technology yake si unaona hata kituo cha kimataifa ,china amepigwa ban kushiriki sembuse hiyo ya China kwa sasa marekani na china ni Kama mbwa na pakaProject kama izo mara nyingi ni Joint Projects mzee japo NASA wanaweza wasionekane Public ila wapo nao kuhakikisha usalama upo
Ndo Shanghai kuna watu ni wajinga kiwango cha lami wanaamini NASA ndo mamlaka ya kushibiti flaying obeject kwa mataifa mengine
kutukana inaonyesha ulipo mweupe kichwaniUcha UKENGE wewe MBWEHA ,soma what is NASA ndio uje kukenua MENO hapa JF.......NASA hawalali 24hrs kwa ajili ya kuwalinda MAJINGA kama NYINYI.
kutukana inaonyesha ulipo mweupe kichwani
We nyani mkubwa ,kwamba nasa wanatulinda sie watu wa ufipa huku?.sitokuja nikubali,tumwombe Mungu kwa ulinzi,na Hawa chura Nasa?Ucha UKENGE wewe MBWEHA ,soma what is NASA ndio uje kukenua MENO hapa JF.......NASA hawalali 24hrs kwa ajili ya kuwalinda MAJINGA kama NYINYI.
Mkuu unaamini NASA ya wamarekani watakuwa on Chinese side?NASA si ndio wana monitor Universe? Sasa wakirusha limwezi lao kama nasa hawalijui si wanaweza kujua ni UFO wakaanza plan ya kulilipua?
We nyani mkubwa ,kwamba nasa wanatulinda sie watu wa ufipa huku?.sitokuja nikubali,tumwombe Mungu kwa ulinzi,na Hawa chura Nasa?
NASA wapprove kwani ni shirika la anga la Chini. Ukweli hauwezi kuwa mwezi wa miamba na udongo kama ulivyo mwezi tunaoujua, bali itakuwa kama liputo likubwa tu linaloreflect mwaka.Kama lengo ni mwanga kuna haja ya kurusha li mwezi hewani? Je siku likija kuzingua? NASA wame approve?