China kuanza kutumia Mwezi wake

China kuanza kutumia Mwezi wake

wakishangeneza wao
huuu wa January to December waulipue ili tuanze upyaaa
utani tuu jamaniii
 
Ashakum sii matusi...

Period za wanawake wa China nazo zitabadilika...
 
Watengeneza mwezi ni wachina ila tunaobisha ni wabongo. Hapa ndipo ulipo utofauti kati yetu na wao
 
Project kama izo mara nyingi ni Joint Projects mzee japo NASA wanaweza wasionekane Public ila wapo nao kuhakikisha usalama upo

Ila sijajua hao wachina size ya mwezi wao utakuwaje? Kama ukiwa sawa na huu mwezi wa Dunia sijui watautengeneza sehemu gani ambayo inawea ku cover hiyo space.
 
Project kama izo mara nyingi ni Joint Projects mzee japo NASA wanaweza wasionekane Public ila wapo nao kuhakikisha usalama upo
Hicho kitu hakipo mkuu china kila kitu anafanya kwa technology yake si unaona hata kituo cha kimataifa ,china amepigwa ban kushiriki sembuse hiyo ya China kwa sasa marekani na china ni Kama mbwa na paka
 
Ndo Shanghai kuna watu ni wajinga kiwango cha lami wanaamini NASA ndo mamlaka ya kushibiti flaying obeject kwa mataifa mengine

Ucha UKENGE wewe MBWEHA ,soma what is NASA ndio uje kukenua MENO hapa JF.......NASA hawalali 24hrs kwa ajili ya kuwalinda MAJINGA kama NYINYI.
 
kutukana inaonyesha ulipo mweupe kichwani

Nani aliyeanza kukutukana? Niliacha kukujibu ila nilivyoona unaanza matusi na mie nikaona ngoja nikupe za USO! Jibu mtu kistaharabu utaonekana una hekima sio kujibu kwa kebehi as if unajua sana kuliko wote duniani.
 
Ucha UKENGE wewe MBWEHA ,soma what is NASA ndio uje kukenua MENO hapa JF.......NASA hawalali 24hrs kwa ajili ya kuwalinda MAJINGA kama NYINYI.
We nyani mkubwa ,kwamba nasa wanatulinda sie watu wa ufipa huku?.sitokuja nikubali,tumwombe Mungu kwa ulinzi,na Hawa chura Nasa?
 
We nyani mkubwa ,kwamba nasa wanatulinda sie watu wa ufipa huku?.sitokuja nikubali,tumwombe Mungu kwa ulinzi,na Hawa chura Nasa?

Hahahaaaa ndiyo hivyo NASA 24/7 wanamonitor dunia dhidi ya any threat.
 
Kama lengo ni mwanga kuna haja ya kurusha li mwezi hewani? Je siku likija kuzingua? NASA wame approve?
NASA wapprove kwani ni shirika la anga la Chini. Ukweli hauwezi kuwa mwezi wa miamba na udongo kama ulivyo mwezi tunaoujua, bali itakuwa kama liputo likubwa tu linaloreflect mwaka.
 
Back
Top Bottom