Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
- Thread starter
- #61
Mkuu mmoja amesema wanatengeneza torch kubwa ndio wanaita mwezi.NASA wapprove kwani ni shirika la anga la Chini. Ukweli hauwezi kuwa mwezi wa miamba na udongo kama ulivyo mwezi tunaoujua, bali itakuwa kama liputo likubwa tu linaloreflect mwaka.