East Wind
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 2,783
- 6,058
Hapa umekonga moyo wangu. Ila dunia au mfumo wa dunia wa sasa umekaa kimasalahi zaidi. China ya 1960 sio hii, inayovutana na Marekani.Ila mbona miaka ya nyuma walikuwa washirika wazuri tu, mfano kwenye Reli ya Tazara (tunaweza tukaanzia kwa uzoefu huo wa TAZARA kuleta SGR) na pia kiwanda cha Urafiki na vitu vingine. Wakati mwingine hata sie huwa ni watu wa ovyo pia kwa kusainin mikataba bila kuangalia maslahi ya nchi kwa kuwa kama kuna vipengele haviendani vinatakiwa vijadiliwe. Sie tunajua ku-bargain ina apply kwenye fedha tu kwa kuomba punguzo kumbe hata kwenye contract pia kuondoa baadhi ya masharti)