Jibu swali - umewahi kukutana au kufanya kazi na Wachina katika mazingira gani - labda tuanzie hapo - wewe unajua Mataifa ya Ulaya na Amerika uwachukulia vipi Wafrika, je, imani/maoni yao kutuhusu sisi yana ukweli gani? Narudia kuwakumbusheni kwamba Wachina wachache wenye akili fyatu kisiwe kisingizio cha kuwachukulia kwamba Wachina wote wako hivyo, mimi ndio maoni yangu, sioni kama nimeku-offend popote kutokana na maoni yangu, kama nimekukwaza samahani.