China kuisaidia Tanzania ujenzi wa SGR na mradi wa umeme Mto Rufiji

Hapa umekonga moyo wangu. Ila dunia au mfumo wa dunia wa sasa umekaa kimasalahi zaidi. China ya 1960 sio hii, inayovutana na Marekani.
 
Mkuu upo sawa, huenda mie ndio nimekosea sehemu. Upo sahihi. Ila kumbuka mfumo wa dunia 1960 sio sawa na sasa. Mie nimefanya kazi kama partners na hao watu. Kwa sehemu nawajua sio wachina wote wabaya, ila agenda zao kama mtu hatokuwa makini ameisha. Sie kama taifa tuwe macho hapo. Kama tutakuwa makini itakuwa 50/50
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…