CHINA: Marekani iwajibike kwa kueneza UKIMWI Duniani na seasonal flue mwaka 2009 maana chimbuko la H1N1 na UKIMWI ni Marekani

Haya boss. Miaka 70 hivi iliyopita mlikuwa mnawindwa kama nyani huko porini mkalime mashamba ya mzungu. Mwafrika msahaulifu sana.

😂😂😂 Mkuu inaonekana Historia ya Advance Uliifaulu Sana hasa . Yaani Una points ambazo ni Very Primitive.

Kwani mkuu mbona nyie wenyewe mlikuwa mnachukuana watumwa kabla hata Hao wazungu Kuja. Ule ni muendelezo tu.
 
Vijembe na maneno ya vigodoro, watuletee barakoa sisi za bure kama walivyotuleteaga ndomuz na ARV, na Feed the Future..

Tunaumia kiuchumi, nchi zetu hazina stimulus packages...mafahali wawili hawa wanaumiza nyasi...

Everyday is Saturday.................... 😎
 
Hawa wapuuzi wanatuona tunavyotaabika kwenye jambo alituhusu
 
Wanapo elekea watapatana... Kutetea maslahi yao, Ila tutakao umia ni sisi wananchi wa 3rd world country.

Ukimwi ulitengenezwa pia...! That's why kirusi cha Corona pia kimefanana na cha H.I.V kwa kiasi kikubwa na ikitokea imeundwa chanjo ya Corona itakuwa na Uhusiano wa karibu sana na ile ya Ukimwi ambayo kwa sasa haipo!

Swali ni kwamba Je, watakubali kuruhusu iundwe?... Tukijua ukweli kuwa H.I.V kunanchi inaingiza pesa nyingi kupitia hiyo... Directly and indirectly!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Us wanajifanya wanafund lakini unajua kwa faida gani?... Ili iwe rahisi kukuwekea vikwazo ukishindwa kuendana na Sera zao.

Lakini wangeamua kutengeneza chanjo miaka ishapita 40 now, wangekuwa washapata kama kweli walikuwa na nia ya kutusaidia.

Dozi ya A.R.V ni gharama sana kiasi kwamba wakisema waache kudhamini ni wengi watakufa... Ndo maana nasema kirusi walitengeneza wao kwa faida yao!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watasema mengi lakini maumivu ya Leo yanafanana na vita baridi vikuu 1,duniani

Sijui rtusubiri wengine wapate nguvu
 
Inakuwaje miaka kumi nyuma tetesi la janga la China kupigwa na Mafua lilijulikana?

Inakuwaje Mtumishi wa Umma wa Marekani, Dr Faucci, anafadhili 'uimarishaji' wa virusi vya 'corona' kwa fedha za umma na hali serikali yake ishaondoa baraka za utafiti wa mwelekeo huo?

Faucci huyo huyo ahusikaye na kashfa za nyingine za mtindo huo katika virusi vya 'Ebola'...

Faucci huyo huyo kutoka siku za zamani, mwanzoni mwa miaka ya 80 alipigia chepuo uhusiano kati ya HIV na AIDS kwa mashauri yanayogubikwa na utata wa Kisayansi na utaalam akishirikiana na watafiti waliojaa hila--akina Gallo?

Sasa hivi, akipigia chepuo mkondo wa 'Chanjo' kuliko tiba na matibabu ambayo wataalam wengi duniani aidha kwa hofu ya kunyang'anywa leseni, kunyooshewa vidole ama kutengwa--wanakaa kimya ama kunung'unika chini kwa chini jinsi balaa hili la COVID19 Litavyopelekeshwa kimataifa--hali wakitambua dosari kadha wa kadha juu ya namna ya kushughulikia adha za matatizo ya kupumua katika hali ya dharula na ukweli kuhusu 'virusi' na 'tiba lishe' na 'matumizi ya vitamini c' kwa wingi ili kutibu maradhi haya na yale yote mengine ya sura hii?

 
Kabla wamarekani hawajamchagua Trump, aliekua Raisi wa Zimbabwe comrade Mugabe alionya kua Kama wamarekani watakua wendawazimu na kumchagua Trump kua Raisi basi angeleta vita ya tatu ya Dunia.

RIP comrade Mugabe
 
So China wanamaanisha ni kweli wanahusika na kusambza corona virus na ndiyo sababu wamekuwa wakwanza kutoa misaada kwa nchi za Africa,siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…