Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Acha ujinga Corona ilipungua kwao kwa sababu June July, August ni summer, imeongezeka kipindi hiki kwa sababu ni winterilikuwaje corona ikapungua maambukizi mwaka jana June to July?
Pili,imekuwaje imerudi tena six months later tena kwa spidi?....
Kanunue kama watakupa na dawa zote nenda kanunue kwao urusi na chinaKwani ..(kwa Mujibu wa Mleta mada) kunatatizo Tanzania ikiamua kununua chanjo za urusi au China!? Zenye teknolojia ambayo tunaweza kui-decode na kujua kilichomo..!? Kuliko hizi mpya za Kimarekani!
BTW... Chanjo si ipo!? Unadol
Umeandika nini hapaHakuna ugonjwa mbaya kama hofu watu hivi sasa tumejazwa hofu kubwa, tena tunaambiwa hii covid ya sasa ni hatari kuliko ile ya kwanza, cha ajabu wao bado ligi na michezo inaendelea kule kwao...
Hivi bill gates anahusikaje na Pfizer au biotech kampuni ya ujerumani, mnamuongelea as if yeye ndo mmiliki wa kampuni zote za pharmaceutical, Kama ndo hivyo angekua ni trillionaire
China wana vaccines zao.Hiyo tunayoiita chanjo inayotengenezwa na kampuni ya Pfizer ikishirikiana na kampuni ya BioNTech ya ujerumani si sawa na chanjo zinazojulikana ambazo hutumia virusi vya ugonjwa huo huo vilivyopunguzwa makali (attenuated live viruses). Hawa wanatumia genetically engineered manufactured synthetics za genetitically coded mRNA to instruct our DNA in the genes of our cells (nucleas chromosomes) to produce certain proteins which are thought to be protective or curative of certain diseases including cancer diseases....
Acha ujinga Corona ilipungua kwao kwa sababu June July, August ni summer, imeongezeka kipindi hiki kwa sababu ni winter
Hii siyo lazima hata marekani wengine wamekataa ila hugapata pass ya vaccine inayo kuruhusu kusafiri nchi na nchiAcha ujinga Corona ilipungua kwao kwa sababu June July, August ni summer, imeongezeka kipindi hiki kwa sababu ni winter
Umemaliza kumjibuMrusi ana chanjo yake
Mchina anayo ya kwake, kwanini watumie za watu wengine?
Iko wapi chanjo made from Tz?
kwahiyo bombadia zimetolewa msaada!!!Leo mnajilinganisha na China na Russia? kwa taarifa tu hao "marafiki" zenu huwa hawapokei misaada mpaka ya ARV toka kwa mabeberu, na kama kweli hamtaki bidhaa za mabeberu zile Bombardier mnazoringia zimetoka wapi? mnachekesha sana kwa huu utoto wenu mnaolazimisha muonekane "mnajiweza"
Bidhaa za mchina kwenye haya mataifa ya dunia ya tatu haziaminiki, nyingi ni feki, wanazitengeneza kwa viwango vya chini kwasababu wanajua wakituletea original hatuwezi ku- afford kununua, original watazipeleka S.A, America na ulaya; nendeni mkalete hizo pipi za mchina mmumunye kwa raha zenu.
umesahau na Iran wana chanjo yaoMrusi ana chanjo yake
Mchina anayo ya kwake, kwanini watumie za watu wengine?
Iko wapi chanjo made from Tz?
Kwani mmekatazwa? Huwa nashangaa sana when the educated become so easily consumed by conspiracy theoristsSasa kwa nini tusinunue chanjo toka China? Kwanza ni rafiki zetu wa damu na juzi tu Waziri wao wa mambo ya nje alikuwa Chato. Wao kazi yao ni kutupiga ban kwenye nchi zao...
Zimetoka kwa mabeberu Kama zilivyo chanjo jaribu kuwa reasonablekwahiyo bombadia zimetolewa msaada!!!
nyie chawa wa mabeberu mnaboa sana.
Usiteremshe kiwango chako cha kuchangia, serious discussion on Covid -19 , poor contribution from your end. Nani alikwambia medical jabs zina grade ?.Leo mnajilinganisha na China na Russia? Kwa taarifa tu hao "marafiki" zenu huwa hawapokei misaada mpaka ya ARV toka kwa mabeberu, na kama kweli hamtaki bidhaa za mabeberu zile Bombardier mnazoringia zimetoka wapi? Mnachekesha sana kwa huu utoto wenu mnaolazimisha muonekane "mnajiweza"
Bidhaa za mchina kwenye haya mataifa ya dunia ya tatu haziaminiki, nyingi ni feki, wanazitengeneza kwa viwango vya chini kwasababu wanajua wakituletea original hatuwezi ku- afford kununua, original watazipeleka S.A, America na ulaya; nendeni mkalete hizo pipi za mchina mmumunye kwa raha zenu.
Nakubaliana na wewe. Pia si lazima uwekezaji katika sayansi research ufanyike chini ya JWTZ. Duniani kote Sayansi research zipo chini ya Universities. Kwa muda mrefu sana serikali imetelekeza basic research, watafiti (hawa ni wanasayansi kwenye level za PhD) hawapati funding kutoka serikalini, taasisi yetu iliyopaswa kufund research (COSTECH) imejichokea, yaani ni tabu tupu.Ni wakati sahihi kwa serikali yetu kuanzisha kitengo kikubwa cha biological warfare ndani ya jwtz military intelligence unit.
Ni wakati sahihi wa kusomesha wataalamu wa hali ya juu wa microbiology, biotechnology, synthetic biology na vitu kama hivyo....
ni afadhali nisiyetaka kureason kuliko wewe unaye reason kitoto hivi!!!Zimetoka kwa mabeberu Kama zilivyo chanjo jaribu kuwa reasonable