China na Russia kamwe hawawezi kutumia hiyo chanjo ya mRNA ya kampuni ya Pfizer (Billgate) na BioNTech (Mjerumani): Kwa nini Afrika tulazimishwe?

Naunga mkono hoja( ila hiki kitengo kiwe siri, maana hao wapuuzi wa nje hawana dogo).
 
Sasa kilichobaki nikila nchi itengeneze chanjo yake na itumie yenyewe Kama kila nchi inaokopa kutumia chanjo ya mwenzake au tuendelee na kauli za Darwnian(Survival for the fittest)[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kenga ziko hapa kazi yao ..ni kuandika ujinga..wa kwa nini sisi tusitengeneze chanjo zetu..

Hawa watu ni useless and stupidity kabisa...so kwa kuwa hatuna uwezo huo..ndio kwamba tukiletewa mavitu yasiyo na faa tupokee!?

Embu kwenden huko na husda zenu..za kupindinga kila kitu Ili Hali mioyo yenu inakubaliana na Hali halisi.
 
Hujajibu swali ulilo ulizwa.
 
Dr Uchwala:
China wameagiza 51 million doses za Ujerumani/Pfizer - (Fosun)
Westerners hawajaagiza hata dose moja iliyotengenezwa na China
Wachina wanagomea kuchanjwa vaccine yao wanataka imported kwa sababu yao haiko transparent
Brazil announces 50.4% efficacy of Chinese vaccine

Nyie mnakaa kupotosha tu!! Are you paid by Russian and Chinese? blood communist
 
Mrusi ana chanjo yake
Mchina anayo ya kwake, kwanini watumie za watu wengine?
Iko wapi chanjo made from Tz?
Filthy rubbish!
Dunia ina nchi ngapi na kuna chanjo ngapi duniani?
 
Hivi bill gates anahusikaje na Pfizer au biotech kampuni ya ujerumani, mnamuongelea as if yeye ndo mmiliki wa kampuni zote za pharmaceutical, Kama ndo hivyo angekua ni trillionaire
Kwa nini usisome ujue nini maana yake? Yaani hata hiyo utafutiwe!
 
Yaani mtu anayekununulia sabuni , siku akitaka kukulawiti wewe useme ni mzuri? Mbona tuna shida kiasi hiki?
 
Yaani mtu anayekununulia sabuni , siku akitaka kukulawiti wewe useme ni mzuri? Mbona tuna shida kiasi hiki?
 
Mrusi ana chanjo yake
Mchina anayo ya kwake, kwanini watumie za watu wengine?
Iko wapi chanjo made from Tz?
Si alishaitangaza Dr gwajima juzi inaitwa NIMR........ Mwishon malizia, au weewe ulitaka dawa au chanjo itoke kwa mzungu????
 
Kwa nini usisome ujue nini maana yake? Yaani hata hiyo utafutiwe!
Wewe ndio umeleta hii hoja mfu ambayo haipo. Bill Gates anamiliki makampuni gani ya pharmaceuticals na ana hisa asilimia ngapi?

Ujuaji wa kipuuzi utakuja kuwafanya mfe kwa stress. Pfizer, Moderna, AstraZeneca, Johnson & Johnson na BionTech wapi ambako Gates kahusika. Watu kama nyinyi huwa mnaishi kwa shemeji hamna hata kazi mnajikuta genius kumbe vilaza tu.
Mtu ni philanthropist kwenye sekta ya afya, tiyari mnamuita mtengeneza madawa. Mtu akigawa magodoro shuleni mtasema ana kiwanda cha magodoro?
 
Kwani hizo bombardier wanatoa bure?.
Na hata hizo chanjo za Corona unadhani watatoa BURE?
 
Hiki kirusi na ugonjwa wake umejificha na mengi... Naona kila mtu anaugua mafua na mwili...anajiponea na kwenda zake na maisha... Ila chanjo inavyopigiwa chapuo ..

Biashara na maisha ya watu... Watu wenye matumbo meupe ni washenzi sana
Kwahiyo hakuna wanaokufa au waliokufa apo kwenu Tz?
 
Umeongea Sana lakini la barakoa umeongea Kama mtoto wa shule ya vidudu (nursery). Nimeita shule ya vidudu makusudi.

Kama unaweza kuzuia maambukizi hata by 5% inatosha. Condom nyingi zinazuia up to 95% Kama utafuata procedure zote. Pamoja na mapungufu yake watu bado wanaambiwa wavae condom. Na tumeona matokeo.

Sasa we Naomi lakini unaponda uvaaji wa barakoa? Yaaani watu wake tu Kama wanyama pori wapeaani maambukizi hivyo hivyo pasipo na kinga yeyote? Wakati wakivaa barakoa wanaweza kupunguza hata kwa kiasi kidogo ulichosema hapo.

Siasa zisikuondolee elimu na uwezo wako wa kufikiri. Matamanio ya vyeo yasikufanye uwe kipofu wa kuona ukweli
 
Hiki kirusi na ugonjwa wake umejificha na mengi... Naona kila mtu anaugua mafua na mwili...anajiponea na kwenda zake na maisha... Ila chanjo inavyopigiwa chapuo ..

Biashara na maisha ya watu... Watu wenye matumbo meupe ni washenzi sana
Kwahiyo hakuna wanaokufa au waliokufa apo kwenu Tz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…