Anapigana kwa akili ipi ya chini au ya juu? Maana alitangaza saa 72 kuimaliza ukrean sasa mwaka 2 amefurushwa mji mkuu Kyiv na kubaki huko pemben pemben akirusha makombora kuangusha nyumba za raia lakini kuulisha wanajeshi wake wasio na idadiRussia anapigana kwa akili na hekima.Bora aendelee hivyo hivyo kwani kwa sasa muda wa kutumia nyuklia bado.Njia mbadala kama kuwatia kabari huku na kule bado zipo.