Anapigana kwa akili ipi ya chini au ya juu? Maana alitangaza saa 72 kuimaliza ukrean sasa mwaka 2 amefurushwa mji mkuu Kyiv na kubaki huko pemben pemben akirusha makombora kuangusha nyumba za raia lakini kuulisha wanajeshi wake wasio na idadiRussia anapigana kwa akili na hekima.Bora aendelee hivyo hivyo kwani kwa sasa muda wa kutumia nyuklia bado.Njia mbadala kama kuwatia kabari huku na kule bado zipo.
Hiyo ndio maana ya superpower?Avamie maana yeye mulimuita superpower
Mulikuwa na maana ipiHiyo ndio maana ya superpower?
Unaongea hoja zisizo na mashikoMulikuwa na maana ipi
lete zenye mashikoUnaongea hoja zisizo na mashiko
U-Superpower sio kuvamiavamia tu mataifa mengine bila sababu za msingilete zenye mashiko
Si alivamia ukraine? na alisema NATO wakiisaidia silaha ukranie atapiga nuclear sasa mbona hakupigaU-Superpower sio kuvamiavamia tu mataifa mengine bila sababu za msingi
Wapi walisema hivyo?Si alivamia ukraine? na alisema NATO wakiisaidia silaha ukranie atapiga nuclear sasa mbona hakupiga
Usiwe kipofu wa mafanikio ya Urusi katika kipindi hicho cha miaka 2.Kaweza kuimega Ukraine thuluthi 1 na kudhibiti maeneo yote ya kiuchumi ikiwemo viwanda.Kwa sasa anainyemelea Kyiv kwa kasi kutokea Kharkiv.Ingekuwa hapigani kwa akili basi angekwisha dondosha bomu la nyuklia.Anapigana kwa akili ipi ya chini au ya juu? Maana alitangaza saa 72 kuimaliza ukrean sasa mwaka 2 amefurushwa mji mkuu Kyiv na kubaki huko pemben pemben akirusha makombora kuangusha nyumba za raia lakini kuulisha wanajeshi wake wasio na idadi
unauliza leo hivyo baada ya miaka miwili, mnajitoa fahamuWapi walisema hivyo?
Chizi hilo kwa afya ya akili yako acha kuchati na machizi humu kama hayaSasa sababu za kuvamia ni nini? Mbona unaongea kama haushirikishi ubongo wako mkuu?
Hakika mkuuChizi hilo kwa afya ya akili yako acha kuchati na machizi humu kama haya
tafsiri yake n uchokozi.Mambo kama haya anayafanya sana USA kwenye bahari za wenzake,hua huoni kama unavyoona Leo.
USA ana. Ma meli kibao yanafanya mazoezi Hadi na nchi kama Philippines lakini huo unaona sawa TU wala hujasema meli ni rahisi kupigwa.
Ila nyie jamaa,yaani Rais wa USA akijiharishia hadharini mtasema amepumua ujiuji.
Sema wote wanakuwa katika international waters.ukiona adui anakuja kukufanyia vimbweka kwako basi jua kashakuona huna la kumfanya.
Vita ndyo maisha yao, wanatengeza pesa sio kutafuta suluhisoVita si suluhisho.Somo hilo lazima arudiwe kupewa Marekani.Inaonekana kote alikokwama bado hajajifunza.