China ndio ya kwanza duniani kwa ukiukwaji wa haki za binadamu na ndio marafiki wakubwa wa CCM. Unatarajia nini kutoka CCM?

China ndio ya kwanza duniani kwa ukiukwaji wa haki za binadamu na ndio marafiki wakubwa wa CCM. Unatarajia nini kutoka CCM?

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Urafiki wa nchi ya China kupitia chama tawala cha nchi hiyo na serikali yetu kupitia CCM ni kiashiria tosha cha mfanano wa vyama hivyo viwili.

Pia soma:
DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

China inasifika duniani kwa kupoka uhuru wa raia wake bila kujali uhuru na haki za binadamu. Mauaji ya waislam wa Rohingia na mateso ya wale wote wanaoipinga serikali yao ni jambo linalosabihisha unyama na sera za kimabavu za China dhidi ya raia wake.

Pia soma:
Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

China ndio ya kwanza duniani kwa UKIUKWAJI wa haki za binadamu duniani. Hao ndio marafiki wqkubwa wa CCM. Unatarajia nini kutoka kwenye utawala huo?

Ukitembea na mwizi.....
 
Urafiki wa nchi ya China kupitia chama tawala cha nchi hiyo na serikali yetu kupitia CCM ni kiashiria tosha cha mfanano wa vyama hivyo viwili.

China inasifika duniani kwa kupoka uhuru wa raia wake bila kujali uhuru na haki za binadamu. Mauaji ya waislam wa Rohingia na mateso ya wale wote wanaoipinga serikali yao ni jambo linalosabihisha unyama na sera za kimabavu za China dhidi ya raia wake.

China ndio ya kwanza duniani kwa UKIUKWAJI wa haki za binadamu duniani. Hao ndio marafiki wqkubwa wa CCM. Unatarajia nini kutoka kwenye utawala huo?

Ukitembea na mwizi.....
Absolutely true.

China ndio nchi pekee inayoongoza duniani kwa sasa katika kunyonga Watu wengi zaidi. Tena watu wengi wamekuwa wakinyongwa nje ya mfumo wa Mahakama. It is just like a summary execution without trial.

Tafiti mbalimbali zinaonyesha na kuthibitisha kwamba Utawala wa China ndio unaongoza miaka yote katika Kunyonga Watu wengi zaidi hapa duniani, zikifuatiwa na nchi za Kiarabu, yaani,
Iran.
Saudi Arabia
Afghanistan
Pakistan
Kuwait
Syria
Egypt

Nchi zingine ni kama vile Malaysia, Bangladesh, Somalia na Nigeria (hususani kwenye majimbo yenye Sharia law)
 
Baki za binadamu ina tafsiri pana, hivi unajua kwamba USA mpaka leo hii kuna adhabu ya kunyonga? Unajua USA bado kuna ubaguzi kwa mtu mweusi?

Nchi kama china yenye watu mabilioni kadhaa, ukicheka na kima inapasuka kama urusi, pia haki za binadamu huangakia tamaduni, ndio maana hapa kwetu, wanapenda kiongozi awe na ukali uliojengwa kwenye sheria
 
Baki za binadamu ina tafsiri pana, hivi unajua kwamba USA mpaka leo hii kuna adhabu ya kunyonga? Unajua USA bado kuna ubaguzi kwa mtu mweusi?

Nchi kama china yenye watu mabilioni kadhaa, ukicheka na kima inapasuka kama urusi, pia haki za binadamu huangakia tamaduni, ndio maana hapa kwetu, wanapenda kiongozi awe na ukali uliojengwa kwenye sheria
USA ndio kuna adhabu ya kunyonga, lakini ipo kwenye baadhi ya majimbo..
Adhabu hii hutolewa kwa Wahalifu ambao kwa hakika wanastahili, tena hutolewa ndani ya mifumo ya Kimahakama, Siyo kama ilivyo kwa nchi kama China au Tanzania ambako adhabu hii inatolewa nje ya mifumo ya Mahakama.
 
Urafiki wa nchi ya China kupitia chama tawala cha nchi hiyo na serikali yetu kupitia CCM ni kiashiria tosha cha mfanano wa vyama hivyo viwili.

China inasifika duniani kwa kupoka uhuru wa raia wake bila kujali uhuru na haki za binadamu. Mauaji ya waislam wa Rohingia na mateso ya wale wote wanaoipinga serikali yao ni jambo linalosabihisha unyama na sera za kimabavu za China dhidi ya raia wake.

China ndio ya kwanza duniani kwa UKIUKWAJI wa haki za binadamu duniani. Hao ndio marafiki wqkubwa wa CCM. Unatarajia nini kutoka kwenye utawala huo?

Ukitembea na mwizi.....
Machadema mshavimbiwa sasa mnakuja kuhara nenda Afghanistan hasa kwa nyie watoto wa kike uone kama utaruhususiwa hata kupiga chafya
 
Urafiki wa nchi ya China kupitia chama tawala cha nchi hiyo na serikali yetu kupitia CCM ni kiashiria tosha cha mfanano wa vyama hivyo viwili.

China inasifika duniani kwa kupoka uhuru wa raia wake bila kujali uhuru na haki za binadamu. Mauaji ya waislam wa Rohingia na mateso ya wale wote wanaoipinga serikali yao ni jambo linalosabihisha unyama na sera za kimabavu za China dhidi ya raia wake.

China ndio ya kwanza duniani kwa UKIUKWAJI wa haki za binadamu duniani. Hao ndio marafiki wqkubwa wa CCM. Unatarajia nini kutoka kwenye utawala huo?

Ukitembea na mwizi.....
rohinghya ni burma huko hao wa China wanaitwa Ughuyr. haya mambo ya haki za binadamu ni unafiki tu, hapo Gaza kinaendelea nini? hao Rohingya unaowataja si Raisi wao ana Tuzo ya Nobeli?
 
Absolutely true.

China ndio nchi pekee inayoongoza duniani kwa sasa katika kunyonga Watu wengi zaidi. Tena watu wengi wamekuwa wakinyongwa nje ya mfumo wa Mahakama. It is just like a summary execution without trial.

Tafiti mbalimbali zinaonyesha na kuthibitisha kwamba Utawala wa China ndio unaongoza miaka yote katika Kunyonga Watu wengi zaidi hapa duniani, zikifuatiwa na nchi za Kiarabu, yaani,
Iran.
Saudi Arabia
Afghanistan
Pakistan
Kuwait
Syria
Egypt

Nchi zingine ni kama vile Malaysia, Bangladesh, Somalia na Nigeria (hususani kwenye majimbo yenye Sharia law)
mweh naona uisilamu umekukaa kweli, asilimia zaidi ya 90 duniani zinatamani ziwe kama Malyasia, hivi hata unaijua hio nchi mpaka ukaitaja hapo?
 
Pro CCM hukosi kurejea kwa Wakoloni wako wa Chamani.
Sijifichi na sioni aibu...

Uko na ukoloni mamboleo...na siasa za kiliberali sawa tu na ulitengeneze "kimbeeer" liwe na shepu ya nusu mkate kule zenji wanaita BOFLO halafu juu yake ulipambie "icing sugar" ladha ya strawberries na chocolate"...halafu uwalishe Wapumbavu....mimi si miongoni nitakaokubali kula....

Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema John Pombe Joseph Magufuli aaamin aaamin

#Nchi Si Kichaka wala pori [emoji2956]

#Milele falsafa za Mao Tse Tung [emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
rohinghya ni burma huko hao wa China wanaitwa Ughuyr. haya mambo ya haki za binadamu ni unafiki tu, hapo Gaza kinaendelea nini? hao Rohingya unaowataja si Raisi wao ana Tuzo ya Nobeli?
Mwenyezi Mungu atukuzwe kila sekunde kwa kukupa akili zenye TAFAKURI....[emoji7][emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Baki za binadamu ina tafsiri pana, hivi unajua kwamba USA mpaka leo hii kuna adhabu ya kunyonga? Unajua USA bado kuna ubaguzi kwa mtu mweusi?

Nchi kama china yenye watu mabilioni kadhaa, ukicheka na kima inapasuka kama urusi, pia haki za binadamu huangakia tamaduni, ndio maana hapa kwetu, wanapenda kiongozi awe na ukali uliojengwa kwenye sheria
OP
 
Urafiki wa nchi ya China kupitia chama tawala cha nchi hiyo na serikali yetu kupitia CCM ni kiashiria tosha cha mfanano wa vyama hivyo viwili.

China inasifika duniani kwa kupoka uhuru wa raia wake bila kujali uhuru na haki za binadamu. Mauaji ya waislam wa Rohingia na mateso ya wale wote wanaoipinga serikali yao ni jambo linalosabihisha unyama na sera za kimabavu za China dhidi ya raia wake.

China ndio ya kwanza duniani kwa UKIUKWAJI wa haki za binadamu duniani. Hao ndio marafiki wqkubwa wa CCM. Unatarajia nini kutoka kwenye utawala huo?

Ukitembea na mwizi.....
Ccm ni chama cha ajabu sana. Kila uchafu u apatikana huko.
 
rohinghya ni burma huko hao wa China wanaitwa Ughuyr. haya mambo ya haki za binadamu ni unafiki tu, hapo Gaza kinaendelea nini? hao Rohingya unaowataja si Raisi wao ana Tuzo ya Nobeli?
kwamba ulitaka Gaza wabembelezwe kuachia mateka ? wao Gaza hawajali kuhusu kinachoendelea maana wangekuwa washaachia mateka kitambo
 
Uongozi wa sheria Tanzania haupo.

Kiongozi ni Mungu mtu kukosolewa inakuwa kama umemtusi.

Nchi za Afrika uroho wa madaraka unarudisha nyuma maendeleo.
 
Urafiki wa nchi ya China kupitia chama tawala cha nchi hiyo na serikali yetu kupitia CCM ni kiashiria tosha cha mfanano wa vyama hivyo viwili.

China inasifika duniani kwa kupoka uhuru wa raia wake bila kujali uhuru na haki za binadamu. Mauaji ya waislam wa Rohingia na mateso ya wale wote wanaoipinga serikali yao ni jambo linalosabihisha unyama na sera za kimabavu za China dhidi ya raia wake.

China ndio ya kwanza duniani kwa UKIUKWAJI wa haki za binadamu duniani. Hao ndio marafiki wqkubwa wa CCM. Unatarajia nini kutoka kwenye utawala huo?

Ukitembea na mwizi.....
Haki za Wamasai, haki za serikali kulinda maliasili za Tanzania, ubakaji, utekaji, uuaji, ufisadi, ulawiti, wizi wa mali za umma, kudhulumu viwanja, mashamba, nyumba, upigaji.

Tanzania ipo nafasi ya ngapi? Haki za Watanzania zinaheshimiwa? Tunaweza kuwa tunawazidi China, ila Taarifa zetu za kuua na kunyonga ila taarifa zetu hatuziweki rasmi.
 
Urafiki wa nchi ya China kupitia chama tawala cha nchi hiyo na serikali yetu kupitia CCM ni kiashiria tosha cha mfanano wa vyama hivyo viwili.

China inasifika duniani kwa kupoka uhuru wa raia wake bila kujali uhuru na haki za binadamu. Mauaji ya waislam wa Rohingia na mateso ya wale wote wanaoipinga serikali yao ni jambo linalosabihisha unyama na sera za kimabavu za China dhidi ya raia wake.

China ndio ya kwanza duniani kwa UKIUKWAJI wa haki za binadamu duniani. Hao ndio marafiki wqkubwa wa CCM. Unatarajia nini kutoka kwenye utawala huo?

Ukitembea na mwizi.....
So mzungu ndie anaelinda haki za binadamu sio
 
Chadema wana urafiki na vyama vya mashoga huko ujerumani kwa hiyo tutarajie nini?
 
Urafiki wa nchi ya China kupitia chama tawala cha nchi hiyo na serikali yetu kupitia CCM ni kiashiria tosha cha mfanano wa vyama hivyo viwili.

China inasifika duniani kwa kupoka uhuru wa raia wake bila kujali uhuru na haki za binadamu. Mauaji ya waislam wa Rohingia na mateso ya wale wote wanaoipinga serikali yao ni jambo linalosabihisha unyama na sera za kimabavu za China dhidi ya raia wake.

China ndio ya kwanza duniani kwa UKIUKWAJI wa haki za binadamu duniani. Hao ndio marafiki wqkubwa wa CCM. Unatarajia nini kutoka kwenye utawala huo?

Ukitembea na mwizi.....

View: https://x.com/nulphin/status/1830306886001770912?t=NGqfrJJv7P81empQfZHQ5Q&s=19
 
USA ndio kuna adhabu ya kunyonga, lakini ipo kwenye baadhi ya majimbo..
Adhabu hii hutolewa kwa Wahalifu ambao kwa hakika wanastahili, tena hutolewa ndani ya mifumo ya Kimahakama, Siyo kama ilivyo kwa nchi kama China au Tanzania ambako adhabu hii inatolewa nje ya mifumo ya Mahakama.
Hapa tunaongelea adhabu zilizo katika mifumo
 
Urafiki wa nchi ya China kupitia chama tawala cha nchi hiyo na serikali yetu kupitia CCM ni kiashiria tosha cha mfanano wa vyama hivyo viwili.

Pia soma:
DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

China inasifika duniani kwa kupoka uhuru wa raia wake bila kujali uhuru na haki za binadamu. Mauaji ya waislam wa Rohingia na mateso ya wale wote wanaoipinga serikali yao ni jambo linalosabihisha unyama na sera za kimabavu za China dhidi ya raia wake.

Pia soma:
Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

China ndio ya kwanza duniani kwa UKIUKWAJI wa haki za binadamu duniani. Hao ndio marafiki wqkubwa wa CCM. Unatarajia nini kutoka kwenye utawala huo?

Ukitembea na mwizi.....
China ni taifa no.2 kwa uchumi duniani, Tanzania ni ya ngapi ?
 
Back
Top Bottom