China sio super power ni Mandonga wa kimataifa. Bibi katua na hakuna kitu wanafanya. Hizi ni salaam kwa Putin na wengine fyokofyoko

China sio super power ni Mandonga wa kimataifa. Bibi katua na hakuna kitu wanafanya. Hizi ni salaam kwa Putin na wengine fyokofyoko

system hacker

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2022
Posts
426
Reaction score
709
Putin pokea salaam kupitia kwa Bibi. Wale wachina ni wa mchongo usijenge uswaiba nao watakuacha kichinachina.

USA ni mkubwa wao. China ni mbwa koko wenye kelele.

Jitadhmini sana Mr. Putin nakuonea sana huruma.

Msisahau China kapigwa nyeti uwanja wake wa nyumbani wala sio mbali na home kwake

China hawana tofauti yeyote na Mandonga

God Bless USA.
 
Case closed!

Hakuna cha ooh Urusi nye nye nye wala China fyoko fyoko, liko wazi sasa mbabe wa dunia hii ni U.S.A waswahili walisema ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo ukivuma.

Sasa upepo umevuma na tumejionea, China angekua na ubavu mbele ya Marekani huu ulikua wakati mubashara kumwaga nyongo zake ila Mchina kaufyata kama mmbwa koko.

Case closed U.S.A is the bull in the graze yard.
 
China angekuwa sio mnafki angemsapot waziwazi mrusi kule Ukraine. Mbona UK, France, German n.k zinaungana na US kumsapot Ukraine.

Kwanini China asijioneshe kumsapot Russia kule Ukraine? Jibu ni moja tu, China sivyo kama tunavyoidhania.

Tukisemaga kuwa uchumi wa China umeshikwa na Westerns muwe mnatuelewa. China ajira zake nyingi, ushuru, kodi n.k anapata kutokana na uwekezaji wa Westerns.

Hapo usizungumze export ya china kwenda ulaya na America, ni kufuru. China anapiga pesa ndefu mno kupitia mataifa ya magharibi.

Kumwambia leo avimbe mbele yao ni kutomtakia mema Mchina.
 
Putin pokea salaam kupitia kwa Bibi. Wale wachina ni wa mchongo usijenge uswaiba nao watakuacha kichinachina.

USA ni mkubwa wao. China ni mbwa koko wenye kelele.

Jitadhmini sana Mr. Putin nakuonea sana huruma.

China hawana tofauti yeyote na Mandonga

God Bless USA.
Ulitegemea China waanzishe vita kwa sababu tu spika wa Marekani kaingia Taiwan?
Vita ya 🇺🇸na China🇨🇳 haiwezi kutokea kirahisi hivyo. Ni kama ilivyo kwa Russia vs Marekani. Haya ni mataifa makubwa kupigana kutaleta hasara kubwa duniani kote
 
Ulitegemea China waanzishe vita kwa sababu tu spika wa Marekani kaingia Taiwan?
Vita ya 🇺🇸na China🇨🇳 haiwezi kutokea kirahisi hivyo. Ni kama ilivyo kwa Russia vs Marekani. Haya ni mataifa makubwa kupigana kutaleta hasara kubwa duniani kote
Pro China mnajipa moyo sana. Poleni na heshimu wakubwa
 
Wacha kufananisha putin na vitu vya hovyo hovyo, mchina ni mandonga mweupe mwenye vimacho vidogo.

Putin balaa lake hata wa sisi huku MBOOndole limetufikia.

Mtu nisiyefungamana na upande wowote
 
Back
Top Bottom