China sio super power ni Mandonga wa kimataifa. Bibi katua na hakuna kitu wanafanya. Hizi ni salaam kwa Putin na wengine fyokofyoko

China sio super power ni Mandonga wa kimataifa. Bibi katua na hakuna kitu wanafanya. Hizi ni salaam kwa Putin na wengine fyokofyoko

Oyaaa kumekucha tayar china anapeleka moto vibaya mnoo mashariki mwa Taiwan
 
Inanikumbusha utotoni watoto walivyokuwa wakichonganishwa ili wapigane!! Kisa eti ni kuonesha tu nani zaidi!! Hizi lugha za uchonganishi hazina tija kwa dunia. Kumbuka tuna dunia moja tu!! Hakuna pa kukimbilia!! Kikinuka china na marekani Tz siyo mbali!! Athari za vita vya nyuklia ni za dunia nzima!! Wenye akili zao wanalijua hilo!!

Tuishukuru China kwa kujali mustakabali wa dunia zaidi kuliko mustakabali wa china peke yake!! Vinginevyo yule bibi angetangulizwa kwenda mahali ambapo keshakaribia sana kufika kwa vyovyote vile!! Ana miaka 82 unategemea kabakiza miaka mingapi? Aachwe tu amalizie siku zake!! Mungu atamhukumu mwenyewe kwa matendo yake ambayo almanusura yaitumbukize dunia kwenye janga!!
Mbingunikwetu: Kweli Mchina aliacha kulianziasha akitafakari maslai ya Dunia! Ni nchi gani inafikiri hivyo, kila nchi inatanguliza maslahi yake.
Ametafakari akaona mambo mazito, ni wapi katika recent history China Kapigana, Urusi na Marekani wao ndio zao, tunawaona toka Second World War, ingekuwa ngumu sana kuanza vita yao kubwa na US, na pia sababu ya msingi kabisa ya kuanzisha vita hakuwa nayo!
Urusi hata kama simuungi mkono angalau unaweza kumkubali kwa argument ya expansion ya Nato, sasa Spika wa Marekani kutembelea Taiwan na misaada ya kijeshi na kiuchumi ambayo Amerika anatoa kwa Taiwan kipi kikubwa?
Kwa kifupi licha ya propaganda zote anazopiga, yeye mweyewe hajiamini kijeshi, huwa anachezewa rough nyingi na Marekani, ndio shida ya kutegemea mataifa mengine kiuchumi, kwa kifupi uamuzi aliouchukua umemuweka mahali pake.
 
Back
Top Bottom