China sio super power ni Mandonga wa kimataifa. Bibi katua na hakuna kitu wanafanya. Hizi ni salaam kwa Putin na wengine fyokofyoko

China sio super power ni Mandonga wa kimataifa. Bibi katua na hakuna kitu wanafanya. Hizi ni salaam kwa Putin na wengine fyokofyoko

Naona Wachina wa Tandale wanabadili gear angani!
 
Watu wanafurahia na wanatamani vita ianza lakini side effect ndo hizo....imianza urusi tunaona mafuta sasa,kwahio ikianza ya china tusubiiir mengine yapande bei
 
Hivyo vichwa vya Nuclear vitadunguliwa kabla havijavuka anga la Urusi, Usichezea na US Technology wewe. Kumbuka Urusi ndo ilikuwa inamiliki vifaru vingi kuliko nchi yoyote lakini kumbe US imetengeneza Javelin ya ghalama ndogo sana kuangamiza vifaru vya kirusi kirahisi sana.

hahahahahahah
 
kuna tofauti gani kati ya vichwa vya nuclear 5900, 4000 au 3000? maana vichwa buku tu vinatosha kuharibu everything huhitaji vichwa 1aki moja kuwa hatar kuliko wengine ndio maana nuclear war haina mshindi km wote mna uwezo wa kuvilunch

Uliona sentensi yangu ya mwisho?
 
Experts ambao Vita zenu zimewashinda😂
Snowflake Genera
 
China sii ndiyo inayohangaishana na India mipakani huko...
 
Huku kuzoea kucheza playstation na X Box na kuwaangalia kina Rambo na kuleta nadharia za huko kwenye uhalsiia ndio madhara yake....

Ni mara ngapi USA ametoa vitisho kwamba fulani asifanye hivi au vile kwa (China, Korea, Cuba n.k.) to name just a few na hawakufuatilia hivyo vitisho.....

Haya mambo kuna collateral damages na kuamua sio rahisi ila subiri impact yake kwa people against US kujiunga pamoja zaidi..., after all the enemy of my enemy.....

As an observer we need balance of power na hii self appointed referee of the world ya USA is not good for the world
 
Katika Hali Ya kawaida Jeuri ya Marekani ni Kifo au Mwisho Wa Hii Dunia na sisi Wote..Nyie mnaoshabikia someni kwanza Bomu la Nuclear Likiachiwa toka China au Urusi Nani atapona??

Bila Hizi nchi zingine zenye haya mabomu kujizuia na zenyewe zikaachia kwa ujinga na laana ya Marekani Ile London au Washngton inaweza kuwa jivu ndani ya Sekunde 30...Madhara yatakayo iliza Dunia milele..Mko tayari kwa hayo????
 
Putin pokea salaam kupitia kwa Bibi. Wale wachina ni wa mchongo usijenge uswaiba nao watakuacha kichinachina.

USA ni mkubwa wao. China ni mbwa koko wenye kelele.

Jitadhmini sana Mr. Putin nakuonea sana huruma.

Msisahau China kapigwa nyeti uwanja wake wa nyumbani wala sio mbali na home kwake

China hawana tofauti yeyote na Mandonga

God Bless USA.
Mwambie Pelosi atue Crimea au Donbas tuone..
 
Hivyo vichwa vya Nuclear vitadunguliwa kabla havijavuka anga la Urusi, Usichezea na US Technology wewe. Kumbuka Urusi ndo ilikuwa inamiliki vifaru vingi kuliko nchi yoyote lakini kumbe US imetengeneza Javelin ya ghalama ndogo sana kuangamiza vifaru vya kirusi kirahisi sana.
Kule himars inajigia tu
 
Wacha kufananisha putin na vitu vya hovyo hovyo, mchina ni mandonga mweupe mwenye vimacho vidogo.

Putin balaa lake hata wa sisi huku MBOOndole limetufikia.

Mtu nisiyefungamana na upande wowote
Mmemkimbia mchina mpaka namuonea huruma. Kwa iyo apa hata mazungumzo ya watu kuiponda USA. Mfano wakisikia wakatukaushia ktk misaada wale wale waliokuwa wanasema USA ipigwe itaanza kulia hahahaha hahahaha.
Wasalimie Chanika Taliani kwa Masista
 
Hata mwenyewe nimemind inakuwaje yule Bibi kizee anatua Tapei kirahisi vile. Sijapenda Mchina amekuwa kamaa Mandonga. Maneno meengi vitendo 0 labda tusubiri kukuche kesho.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Walikuwa wanakata mauno baharini kama mabinti wa Beach Kidimbwi. Wachina mbwembwe nyingi
 
Mmemkimbia mchina mpaka namuonea huruma. Kwa iyo apa hata mazungumzo ya watu kuiponda USA. Mfano wakisikia wakatukaushia ktk misaada wale wale waliokuwa wanasema USA ipigwe itaanza kulia hahahaha hahahaha.
Wasalimie Chanika Taliani kwa Masista
Wapi nilisema niko na mchina? Mie siko upande wowote, naenda na uhalisia tu, mchina mwenyewe ndio alianza mikwara mie nikasubiri nione nani kaoneka nani mandonga.
Jamaa hapo kamlinganisha mchina na PUTIN, sote tumeona uthubutu wake hata mmarekani anaogopa kuingia mazima akiwa anajua ugumu na hatari ya kupigana na mrusi.
 
Putin pokea salaam kupitia kwa Bibi. Wale wachina ni wa mchongo usijenge uswaiba nao watakuacha kichinachina.

USA ni mkubwa wao. China ni mbwa koko wenye kelele.

Jitadhmini sana Mr. Putin nakuonea sana huruma.

Msisahau China kapigwa nyeti uwanja wake wa nyumbani wala sio mbali na home kwake

China hawana tofauti yeyote na Mandonga

God Bless USA.
Inanikumbusha utotoni watoto walivyokuwa wakichonganishwa ili wapigane!! Kisa eti ni kuonesha tu nani zaidi!! Hizi lugha za uchonganishi hazina tija kwa dunia. Kumbuka tuna dunia moja tu!! Hakuna pa kukimbilia!! Kikinuka china na marekani Tz siyo mbali!! Athari za vita vya nyuklia ni za dunia nzima!! Wenye akili zao wanalijua hilo!!

Tuishukuru China kwa kujali mustakabali wa dunia zaidi kuliko mustakabali wa china peke yake!! Vinginevyo yule bibi angetangulizwa kwenda mahali ambapo keshakaribia sana kufika kwa vyovyote vile!! Ana miaka 82 unategemea kabakiza miaka mingapi? Aachwe tu amalizie siku zake!! Mungu atamhukumu mwenyewe kwa matendo yake ambayo almanusura yaitumbukize dunia kwenye janga!!
 
Back
Top Bottom