China sio super power ni Mandonga wa kimataifa. Bibi katua na hakuna kitu wanafanya. Hizi ni salaam kwa Putin na wengine fyokofyoko

China sio super power ni Mandonga wa kimataifa. Bibi katua na hakuna kitu wanafanya. Hizi ni salaam kwa Putin na wengine fyokofyoko

China angekuwa sio mnafki angemsapot waziwazi mrusi kule Ukraine. Mbona UK, France, German n.k zinaungana na US kumsapot Ukraine.

Kwanini China asijioneshe kumsapot Russia kule Ukraine? Jibu ni moja tu, China sivyo kama tunavyoidhania.

Tukisemaga kuwa uchumi wa China umeshikwa na Westerns muwe mnatuelewa. China ajira zake nyingi, ushuru, kodi n.k anapata kutokana na uwekezaji wa Westerns.

Hapo usizungumze export ya china kwenda ulaya na America, ni kufuru. China anapiga pesa ndefu mno kupitia mataifa ya magharibi.

Kumwambia leo avimbe mbele yao ni kutomtakia mema Mchina.
Hata wewe ungekuwa ndio China unadhani ungekubali ku risk mambo yako kwa siasa za kipuuzi ?
 
Kwani sie africa hatuna mabibi wa ages hizo? Mbona hatuna wakipambana.....ile ni damu ya marekani pure. Imagine ni mwanamke wala sio me
Huyo bibi alichana hotuba ya rais hadharani na rais wake Trump akanywea.

Trump alisusa kumpa mkono wa salam huyo bibi.. kuonesha kama hampendi ila bibi hakujali wala nini
 
kwanza china hana sababu ya kusapoti unyakuzi wa ardhi ya ukraine unaofanywa na urusi maana hata china nae ni mhanga hasa ukizingatia ile siberia anayolinga nayo mrusi leo alinyakua kutoka china mwaka 1858 kupitia mkataba wa kilaghai na kibabe vilevile km anavyotaka kuforce peace treaty na ukraine kupitia kwa terms za ajabu, hata huku kujiimarisha kijeshi anakofanya mrusi kwa kutumia kisingizio cha marekani ni kwajili ya kujilinda zaidi against china ambayo still inahisi ilionewa sana kuchukuliwa ardhi yake na huenda ikawa na mpango wa kuirejesha km inavyotaka taiwan, senkaku,south china sea au vita vya mipaka ilizopigana na vietnam na india
wewe ndio umetoa mpya hatari,leo hii tena umeshawachonganisha china na russia wapigane,hii kali.
 
Niseme tu kuanzia leo sasa nimeamini rasmi kuwa KILA KITU CHA KICHINA NI FAKE. SIKUJUA KUMBE HATA UKUBWA TULIOKUWA TUNAMPA NI FAKE. Ukute hata hawapo billion kama dunia inavyoamini. Yaani bora hata asingepiga ule mkwala, angekaa Kimya tu.
 
Ikitokea nchi yetu kupata tishio fulani halafu huyu mchina aje kutuambia nawaunga mkono na atakayejaribu kuwavamia nitamuonyesha. NASHAURI TUSIMSIKILIZE
 
Putin pokea salaam kupitia kwa Bibi. Wale wachina ni wa mchongo usijenge uswaiba nao watakuacha kichinachina.

USA ni mkubwa wao. China ni mbwa koko wenye kelele.

Jitadhmini sana Mr. Putin nakuonea sana huruma.

Msisahau China kapigwa nyeti uwanja wake wa nyumbani wala sio mbali na home kwake

China hawana tofauti yeyote na Mandonga

God Bless USA.
Russia sio China mjomba oohooo,,,
Ila China wamenikera sana asee bora hata wasingepiga mkwara assee wameaibika sana
 
Bibi katuwa Taiwan kwa mbwebwe zote na kesho anakutana na rais wa Taiwan.,
 
Huwa nashindwa kuwaelewa vijana hapa JF kwa kuanzisha mpaka nyuzi za kushindana kubishana juu ya mataifa ya Ulaya, Marekani na Asia.

Hivi mnafaidika na kitu gani mnapoweka hizo league za kubishana mara sijui Mrusi hamwezi Mmarekani na takataka nyingine kama hizo?

Yani wewe mtu upo nchini Shenzistan kila siku maisha yanazidi kuwa magumu hata bundle umepata kwa kuomba vocha ya jero badala mbishane namna ya kujikomboa mnabishania Mchina na Mrusi.

Lost cause.
 
Nancy Hakwenda Taiwan Kutembea Tu, US Wanajua Kila Kitu
Kupitia Speaker Ni Vema China Imekaa Kimya Mpaka Kafika Salama
Kwanza Wangejaribu Kufanya Lolote Wasingeweza Na Hapo Ndiyo Sasa Sababu Ingepatikana Chap Chap
 
Kwa iyo XI amepigwa dole la kati na kibibi,ndio huu ungese walitaka kumletea putino
 
Ulitakaje labda bwana mdogo kwamba China atungue ndege ya kibibi kizee halafu aingie kwenye mgogoro na superpower wa kuweka vikwazo Duniani
Pentagon Ilikuwa Active Muda Wote Nancy Akiwa Angani, Ardhini
Kuitungua Helicopter Isingewezekana Kamwe
China Kajua Nancy Ni Ndoano Akiimeza Hatoki
Bora Kakaa Kimya Yaishe
 
Back
Top Bottom