China vs U.S, utengenezaji wa meli za kibiashara: Kwa mwaka, China inaunda meli zaidi ya 1,700 huku Marekani ikiunda meli 5 tu.

China vs U.S, utengenezaji wa meli za kibiashara: Kwa mwaka, China inaunda meli zaidi ya 1,700 huku Marekani ikiunda meli 5 tu.

Ishu ni gharama tu, wafanyakazi China wanalipwa kidogo na kufanya gharama za uzalishaji kuwa chini sana.
Kinachopunguza gharama katika manufacturing industry ya China sio cheap labor.

Suala linaanzia kwenye manufacturing ecosystem, hapo ndipo China ilipoifanya iwe global industrial powerhouse
 
Mtu umeshiba zako kiporo unakuja kusema china wanajali Quantity na sio Quality aseee😂story za vijiwen ziishie huko huko
Wamarekani wa buza wakiwa kijiweni
20231214_191050.jpg
 
Pamoja na kuwasifia kote huko............walinunua meli kubwa kutoka ukrain kwa kudanganya kuwa wanataka kuifanya hotel ya baharini kumbe lengo kuifanya iwe meli kubwa ya kijeshi kama zile za marekani ..... si wanateknolojia wale mbona kutengeneza meli kubwa za kupaki ndege wamenunua kwa ukrein?? Hapa jibu ni moja wanateknolijia lakini ya kujenga mitumbwi na viboti sio kama yale ma uss Abraham au ile midude ya nyuklia inayo kaa baharini mpaka mwaka au miaka bila kuongeza mafuta. ...baada ya kununua ile meli ya Ukraine kwa udanganyifu kupitia mfanyabiara wa hotel ndio na wao china wakawa na meli ya kivita ya kwanza duniani maana walikuwa wanamiliki mitumbwi na maboti ya kuvulia samaki....... wakati marekani hiyo teknolojia ipo kwa zaidi ya miaka 100 nyuma........bro wewe endelea na wachina mimi niko calfornia ambayo uchumi wake unaweza kuunganisha Hong Kong na Beijing kwa mara moja ndio waifikie hata baada ya kuungua sehemu........marekani kwa teknolojia ni baba wa dunia maana mpaka leo china hana hata ndege za kibishara ambazo anatengenezea watu .......ila western wanauza global miaka nenda rudi hawana mshindani ........labda urusi kidogo ila wanasema za urusi ni kama gari basi Fiat au Isuzu maana haziko comfortable.....viva us viva mwa tirump
Duh hujamwelewa kabisa mleta habari!
 
100 nyuma........bro wewe endelea na wachina mimi niko calfornia ambayo uchumi wake unaweza kuunganisha Hong Kong na Beijing kwa mara moja ndio waifikie hata baada ya kuungua sehemu..
Mkuu unaizungumzia California hiihii ambayo ina homeless kama wote ambao huwezi kuwakuta Beijing. California yenye high cost of living kuliko Beijing
 
Kina ww ndio tuliosema kama hujui kitu usilete habari za kwenye kitchen party mnaboa huna data unapayuka Ukraine hzo meli na former USSR Ukraine hajawahipo tengeneza meli wakt wa mungano viwanda viliwekezwa Ukraine sasa ww mtu yupo space huko anashindwaje kujenga machma hata song or Marine pale kigamboni anaweza usilete mada zankusutana tunataka data/ reliable sources wala hatulinganishi eti Trump mtu ana mwez madarakani against China isiyotawaliwa na mkoloni
Tulia basi ......kwa hiyo kama ussr ndio iliwekeza na muungano ukavunjika waliobaki unawachukulia poa sio kwamba hawana akili ehhh?? Hiyo china na ukubwa wake inatolewa jasho na Taiwan kwa kujenga chip tu kidude kidogo kabisa .......mpaka leo hawezi kutengeneza chip nzuri kuishinda Taiwan ndio aje kujenga meli ..... unanichukulia kama matak@%@%@^ yako
 
USA hamna kitu bora hata Trump atairudisha kwenye mstari ,walikuwa pesa wanapeleka kufadhili magaidi na walafi wa Africa badala ya kujijenga.

Trump anaipeleka USA mbali sana.
 
Unazungumzia meli iliyonunuliwa na kufanywa Liaoning carrier.

Hili ni jambo la kawaida katika ship building industry, Naval na marine.

Unashangaa hilo wakati carrier kubwa ya Marekani Gerard R. Ford inategemea zaidi ya semiconductors 6,500 zilizotengenezwa China kufanya kazi.

U.S Navy ni wanunuzi wazuri wa critical components za meli zao kutoka China

Hiyo meli ilitengenezwa lakini haikuwa imekamilika China waliinunua ikapekwa kwa Dalian Shipyard wakaikarabati na kuifanya carrier

Na China wanazo carriers ambazo ni China made kama Shandong (type 002) na Fujian (type 003) ambazo ni kubwa na za kisasa kuliko Liaoning (type 001)
Tambua hiyo liaoning ndio kubwa kushinda zote........china hana tenkolojia ya kujenga meli kubwa kama Gerald ford carry..........ile ya uss ni hatari.......jet 75 zinakaa pale juu usichukulie poa poa .........narudia tena china ni copy copy tu na sio established wa kolokolo lolote hata kibatari inawezekana hakikuanzia china
 
Mkuu unaizungumzia California hiihii ambayo ina homelessness kama wote ambao huwezi kuwakuta Beijing. California yenye high cost of living kuliko Beijing
He borrowed US $30 million to set up a fake company and began negotiations with the shipyard. He then finalized the deal to buy Varyag from Ukraine for a mere US $20 million. The Chinese subterfuge worked, as no one thought the warship could become seaworthy. After this began the odyssey to bring Varyag to China.23 Sep 2024
1741847280185.png

China Flaunts "Ukrainian Warship" To Project Power Near Japan. Sails Into It's ...

 
He borrowed US $30 million to set up a fake company and began negotiations with the shipyard. He then finalized the deal to buy Varyag from Ukraine for a mere US $20 million. The Chinese subterfuge worked, as no one thought the warship could become seaworthy. After this began the odyssey to bring Varyag to China.23 Sep 2024
1741847348115.png

China Flaunts "Ukrainian Warship" To Project Power Near Japan. Sails Into It's ...

 
Tambua hiyo liaoning ndio kubwa kushinda zote........china hana tenkolojia ya kujenga meli kubwa kama Gerald ford carry..........ile ya uss ni hatari.......jet 75 zinakaa pale juu usichukulie poa poa .........narudia tena china ni copy copy tu na sio established wa kolokolo lolote hata kibatari inawezekana hakikuanzia china
Unaelewa inaposemwa Lioning ni type 001, Shandong ni type 002 na Fujian ni type 003?

Fujian carrier ndio kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa nje ya Marekani
 
narudia tena china ni copy copy tu na sio established wa kolokolo lolote hata kibatari inawezekana hakikuanzia china
Tunaishi kwenye dunia ya innovation

China ni innovator kwa sasa hakuna taifa linaifikia China kwenye innovation

Ondoa hiyo anti-China mentality ya copy and paste utaonekana mjinga ukikaa na watu wenye uelewa wa hizi mambo

20250313_094459.jpg
 
Harafu anakuja binadamu mmoja anakuja kukaza fuvu na komwe lake kama grass ya juice ya muwa........eti oooh china
Unaelewa inaposemwa Lioning ni type 001, Shandong ni type 002 na Fujian ni type 003?

Fujian carrier ndio kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa nje ya Marekani
Wezi tu hao .....ile ya Ukraine walinunua kitapeli kwanza
 
Mkuu unaizungumzia California hiihii ambayo ina homeless kama wote ambao huwezi kuwakuta Beijing. California yenye high cost of living kuliko Beijing
Standard of living ya California iko juu sana kuliko Beijing.
 
Ship building ni moja ya sekta muhimu sana kwa uchumi wa nchi na usalama wa taifa.
  • Wakati Marekani kwa wastani inazalisha meli 5 kwa mwaka China inazalisha meli 5 kwa siku!​
  • Kwa sasa China inazalisha meli mara 340 hivi zaidi ya Marekani​
  • Shipyards za China kwa ujumla zinazalisha zaidi ya 23 millions tons, wakati za Marekani zinalizalisha chini ya 100,000 tons​
  • 95% ya shipping container unazoziona baharini ni China made​
  • Katika soko la dunia China inashikilia nafasi ya kwanza kwa zaidi ya 50% katika global ship building huku Marekani ikiwa nafasi ya 19 kwa 0.1%​

  • Mwaka 2024, China ilikuwa na oda za meli 1,794 kubwa za kibiashara, Korea Kusini ilikuwa na 734, Japan ilikuwa na 587 uliza Marekani ilikuwa na ngapi? Ilikuwa na 5 tu!​
  • Mwaka 2024 China ilikuwa na zaidi ya meli 5,000 za kibiashara baharini, wakati U.S flagged merchant fleet zilikuwa 177 pekee.​
  • Mwaka 2024 shipyard moja tu ya China iliunda meli nyingi za kibiashara kwa tani kuliko shipyards zote zilizo Marekani zikiunganishwa.​


View attachment 3268498
Kwa sasa China ina uwezo mkubwa zaidi wa kutengeneza meli kuliko taifa lolote duniani, hata kuliko nchi 5 zilizo chini yake zikiunganishwa.
  • Makampuni ya kutengeneza meli, ikiwa ni pamoja na makampuni yaliyo katika nchi nyingi washirika wa Marekani kama Denmark, Ufaransa, Greece, Japan, Singapore na South Korea hununua 75% ya critical components za kutengeneza meli kutoka China.​

Katika shipyards zilizo China serikali ya China imefanya kitu kinachoitwa Military-Civil Fusion (MCF) strategy.
  • Yaani imeunganisha uzalishaji wa kibiashara na kijeshi katika shipyards na kuipa PLA Navy (China Navy) miundombinu ya kutengeneza meli vita. Hii imefanya PLA Navy kuwa ya kisasa na kupunguza gharama.​


Baada ya mambo kuwa magumu kwa Marekani imeanza kujaribu kuingia ubia na South Korea na Japan ili wapate tech transfer kunyanyua US ship building industry.
  • Kwa mfano Hanwa Ocean kampuni ya South Korea imenunua shipyard katika jimbo la Philadelphia kwa USD 100 mln. Na imeingia mkataba na U.S Navy kutumia hiyo shipyard kwa ajili ya maintenance and repair ya meli vita zilizozeeka za Marekani.

    Hata iwe kwa msaada kutoka kwa makampuni ya Asia kama S.K na Japan inaweza kuchukua miaka mingi sana Marekani ili kuziba pengo na China katika ship building industry.​

Inashangaza kuwa Trump anapendekeza kupanua ship building industry ya Marekani eti ishindane na China huku ameongeza tariffs kwa chuma na aluminium inayotumika kutengeneza meli hizo.

Ili kutimiza ndoto yake, labda aifanye South Korea na Japan kuwa majimbo ya 52 na 53 ya Marekani.

China has become global powerhouse in ship building industry.

Rising dragon fading Eagle.
China anakuja juu Sana, bado hajamfikia US, lakini anakuja faster, china Hana uwezo wa kuwa na shirika kama USAID lenye kumwaga mapesa kibao duniani, Ila kwenye sekta ya AI, EV, nk ni tishio kwa sasa
 
Inasemekana China nao wanasema ikiwa Marekani itafanya hivyo basi serikali ya China nayo itatoza fees kufikia USD 1 million kwa ndege za Boeing au kampuni yoyote yenye ndege za Boeing kwenye fleet yake itakayotua kwenye viwanja vya ndege vya China Mainland au Hong Kong.
“If war is what the US wants, be it a tariff war, a trade war or any other type of war, we're ready to fight till the end.”
– China’s Embassy in the United States

The game is brutal but still fair
Hii inaitwa weka tuweke😂
 
Back
Top Bottom