China vs U.S, utengenezaji wa meli za kibiashara: Kwa mwaka, China inaunda meli zaidi ya 1,700 huku Marekani ikiunda meli 5 tu.

China vs U.S, utengenezaji wa meli za kibiashara: Kwa mwaka, China inaunda meli zaidi ya 1,700 huku Marekani ikiunda meli 5 tu.

Ship building ni moja ya sekta muhimu sana kwa uchumi wa nchi na usalama wa taifa.
  • Wakati Marekani kwa wastani inazalisha meli 5 kwa mwaka China inazalisha meli 5 kwa siku!​
  • Kwa sasa China inazalisha meli mara 340 hivi zaidi ya Marekani​
  • Shipyards za China kwa ujumla zinazalisha zaidi ya 23 millions tons, wakati za Marekani zinalizalisha chini ya 100,000 tons​
  • 95% ya shipping container unazoziona baharini ni China made​
  • Katika soko la dunia China inashikilia nafasi ya kwanza kwa zaidi ya 50% katika global ship building huku Marekani ikiwa nafasi ya 19 kwa 0.1%​

  • Mwaka 2024, China ilikuwa na oda za meli 1,794 kubwa za kibiashara, Korea Kusini ilikuwa na 734, Japan ilikuwa na 587 uliza Marekani ilikuwa na ngapi? Ilikuwa na 5 tu!​
  • Mwaka 2024 China ilikuwa na zaidi ya meli 5,000 za kibiashara baharini, wakati U.S flagged merchant fleet zilikuwa 177 pekee.​
  • Mwaka 2024 shipyard moja tu ya China iliunda meli nyingi za kibiashara kwa tani kuliko shipyards zote zilizo Marekani zikiunganishwa.​


View attachment 3268498
Kwa sasa China ina uwezo mkubwa zaidi wa kutengeneza meli kuliko taifa lolote duniani, hata kuliko nchi 5 zilizo chini yake zikiunganishwa.
  • Makampuni ya kutengeneza meli, ikiwa ni pamoja na makampuni yaliyo katika nchi nyingi washirika wa Marekani kama Denmark, Ufaransa, Greece, Japan, Singapore na South Korea hununua 75% ya critical components za kutengeneza meli kutoka China.​

Katika shipyards zilizo China serikali ya China imefanya kitu kinachoitwa Military-Civil Fusion (MCF) strategy.
  • Yaani imeunganisha uzalishaji wa kibiashara na kijeshi katika shipyards na kuipa PLA Navy (China Navy) miundombinu ya kutengeneza meli vita. Hii imefanya PLA Navy kuwa ya kisasa na kupunguza gharama.​


Baada ya mambo kuwa magumu kwa Marekani imeanza kujaribu kuingia ubia na South Korea na Japan ili wapate tech transfer kunyanyua US ship building industry.
  • Kwa mfano Hanwa Ocean kampuni ya South Korea imenunua shipyard katika jimbo la Philadelphia kwa USD 100 mln. Na imeingia mkataba na U.S Navy kutumia hiyo shipyard kwa ajili ya maintenance and repair ya meli vita zilizozeeka za Marekani.

    Hata iwe kwa msaada kutoka kwa makampuni ya Asia kama S.K na Japan inaweza kuchukua miaka mingi sana Marekani ili kuziba pengo na China katika ship building industry.​

Inashangaza kuwa Trump anapendekeza kupanua ship building industry ya Marekani eti ishindane na China huku ameongeza tariffs kwa chuma na aluminium inayotumika kutengeneza meli hizo.

Ili kutimiza ndoto yake, labda aifanye South Korea na Japan kuwa majimbo ya 52 na 53 ya Marekani.

China has become global powerhouse in ship building industry.

Rising dragon fading Eagle.
Tuambie na Tanzania inatengeneza meli ngapi kwa mwaka
 
Ship building ni moja ya sekta muhimu sana kwa uchumi wa nchi na usalama wa taifa.
  • Wakati Marekani kwa wastani inazalisha meli 5 kwa mwaka China inazalisha meli 5 kwa siku!​
  • Kwa sasa China inazalisha meli mara 340 hivi zaidi ya Marekani​
  • Shipyards za China kwa ujumla zinazalisha zaidi ya 23 millions tons, wakati za Marekani zinalizalisha chini ya 100,000 tons​
  • 95% ya shipping container unazoziona baharini ni China made​
  • Katika soko la dunia China inashikilia nafasi ya kwanza kwa zaidi ya 50% katika global ship building huku Marekani ikiwa nafasi ya 19 kwa 0.1%​

  • Mwaka 2024, China ilikuwa na oda za meli 1,794 kubwa za kibiashara, Korea Kusini ilikuwa na 734, Japan ilikuwa na 587 uliza Marekani ilikuwa na ngapi? Ilikuwa na 5 tu!​
  • Mwaka 2024 China ilikuwa na zaidi ya meli 5,000 za kibiashara baharini, wakati U.S flagged merchant fleet zilikuwa 177 pekee.​
  • Mwaka 2024 shipyard moja tu ya China iliunda meli nyingi za kibiashara kwa tani kuliko shipyards zote zilizo Marekani zikiunganishwa.​


View attachment 3268498
Kwa sasa China ina uwezo mkubwa zaidi wa kutengeneza meli kuliko taifa lolote duniani, hata kuliko nchi 5 zilizo chini yake zikiunganishwa.
  • Makampuni ya kutengeneza meli, ikiwa ni pamoja na makampuni yaliyo katika nchi nyingi washirika wa Marekani kama Denmark, Ufaransa, Greece, Japan, Singapore na South Korea hununua 75% ya critical components za kutengeneza meli kutoka China.​

Katika shipyards zilizo China serikali ya China imefanya kitu kinachoitwa Military-Civil Fusion (MCF) strategy.
  • Yaani imeunganisha uzalishaji wa kibiashara na kijeshi katika shipyards na kuipa PLA Navy (China Navy) miundombinu ya kutengeneza meli vita. Hii imefanya PLA Navy kuwa ya kisasa na kupunguza gharama.​


Baada ya mambo kuwa magumu kwa Marekani imeanza kujaribu kuingia ubia na South Korea na Japan ili wapate tech transfer kunyanyua US ship building industry.
  • Kwa mfano Hanwa Ocean kampuni ya South Korea imenunua shipyard katika jimbo la Philadelphia kwa USD 100 mln. Na imeingia mkataba na U.S Navy kutumia hiyo shipyard kwa ajili ya maintenance and repair ya meli vita zilizozeeka za Marekani.

    Hata iwe kwa msaada kutoka kwa makampuni ya Asia kama S.K na Japan inaweza kuchukua miaka mingi sana Marekani ili kuziba pengo na China katika ship building industry.​

Inashangaza kuwa Trump anapendekeza kupanua ship building industry ya Marekani eti ishindane na China huku ameongeza tariffs kwa chuma na aluminium inayotumika kutengeneza meli hizo.

Ili kutimiza ndoto yake, labda aifanye South Korea na Japan kuwa majimbo ya 52 na 53 ya Marekani.

China has become global powerhouse in ship building industry.

Rising dragon fading Eagle.
KITU PEKEE KINACHO IFANYA MAREKANI KUWA JUU KIUCHUMI NI DOLLA YAKE KUFANYWA PESA YA DUNIA ...NDIYO MAANA BRICS WANACHEZA NA HIYO KARATASI NI PIGO TAKATIFU KWA MAREKANI..KAMA SIYO HIYO KARATASI BASI MAREKANI INGEKUWA KAMA BRAZIL TU
 
China anakuja juu Sana, bado hajamfikia US, lakini anakuja faster, china Hana uwezo wa kuwa na shirika kama USAID lenye kumwaga mapesa kibao duniani, Ila kwenye sekta ya AI, EV, nk ni tishio kwa sasa
China haimwagi hela kindezi kama Marekani inavyotumia mashirika yake kama USAID na NED kufadhili magaidi, vikundi vya waasi, kueneza propaganda na kuchochea color revolution

China inamwaga pesa kupitia BRI ambayo inafadhili ujenzi wa miundombinu kwa maendeleo ya kiuchumi ya nchi husika na wala haitambi kama Marekani au kususia kutoa misaada

downloadfile-4.jpg


downloadfile-3.jpg
 
Tambua hiyo liaoning ndio kubwa kushinda zote........china hana tenkolojia ya kujenga meli kubwa kama Gerald ford carry..........ile ya uss ni hatari.......jet 75 zinakaa pale juu usichukulie poa poa .........narudia tena china ni copy copy tu na sio established wa kolokolo lolote hata kibatari inawezekana hakikuanzia china
Mchina kwenye dalian shipyard shandong huko anajitengenezea type 004 kama 3 zitakuwa ndio aircraft carrier kubwa zaidi duniani zitabeba ndege 100 na zinakuwa nuclear powered. Akimaliza kutengeneza hizo gap ya carrier kati yake na usa itakuwa ni 7 kwa 11 na kwa spidi hii soon mchina global navy fleet yake itakuwa kubwa kwa haraka zaidi kuliko usa, sasa naamini kweli China is powerful.
 
China haimwagi hela kindezi kama Marekani inavyotumia mashirika yake kama USAID na NED kufadhili magaidi, vikundi vya waasi, kueneza propaganda na kuchochea color revolution

China inamwaga pesa kupitia BRI ambayo inafadhili ujenzi wa miundombinu kwa maendeleo ya kiuchumi ya nchi husika na wala haitambi kama Marekani au kususia kutoa misaada

View attachment 3268797

View attachment 3268798
Uko sahihi ila tambua tu mchina naye ni mjanja most of hizo BRI infrastructure zinapita kwenye route za raw.materials kuelekea china mwishowe zinamnufaisha na yeye kiuchumi japo angalau ni win win sio kama za hao wengine.
 
Kweli kabisa, halafu mchina ni mwizi wa technology mfano wamesubiri imetoka AI faster wakagonga copy wakaja na ya kwao
Wengi msiojua kuwa China iliwekeza kwenye AI tangu miaka kadhaa nyuma mmeanza kuijua China kupitia DeepSeek

Ukweli ni kwamba China wako kwenye game la AI kitambo sana kampuni kama vile Alibaba, Tencent na nyinginezo zimekuwa zikifanya vizuri.

Ni vile tu DeepSeek imekuwa game changer kwa kuzikalisha kwa mbali AI za West ndio maana imekuwa well known internationally

Kwenye patents na researches za AI China hana mpinzani. Ujio wa DeepSeek ni matunda ya R&D na innovation kwenye Chinese AI industry

20250313_143558.jpg


20250313_144800.jpg
 
Uko sahihi ila tambua tu mchina naye ni mjanja most of hizo BRI infrastructure zinapita kwenye route za raw.materials kuelekea china mwishowe zinamnufaisha na yeye kiuchumi japo angalau ni win win sio kama za hao wengine.
Umesema vyema na hiyo ndiyo sera ya China win-win cooperation na sio Marekani win-lose cooperation
 
Tatizo la Marekani sio malighafi tu ni suala zima la supply chain na skilled personnel kwenye ship building na ndio maana inakimbilia kufanya joint venture na S.K na Japan kupata technical knowhow ya hiyo industry

Marekani itahitaji miongo kadhaa mbele ili kufufua ship building yake. Sio suala la overnight process na hapo itategemea sera za maraisi watakaokuja baaada ya Trump

Kuwekeza kwenye utengenezaji wa meli kunataka miundombinu ya hali ya juu na technology

Nani alikwambia China inahitaji madini ya Congo kwa ajili ya ship building industry?

..swali la kujiuliza ni nini kilipelekea sekta ya ujenzi wa meli kuporomoka nchini Marekani.

..kwanini zamani walikuwa wako juu, lakini sasa hivi wako chini?

..kwanini Wamarekani wanaweza kutengeneza masilaha makubwa-makubwa lakini wanashindwa na nchi kama South Korea kutengeneza magari?
 
..swali la kujiuliza ni nini kilipelekea sekta ya ujenzi wa meli kuporomoka nchini Marekani.

..kwanini zamani walikuwa wako juu, lakini sasa hivi wako chini?

..kwanini Wamarekani wanaweza kutengeneza masilaha makubwa-makubwa lakini wanashindwa na nchi kama South Korea kutengeneza magari?
Wamarekani pia wanaongoza kutengeneza ndege.
 
US haiwezi shindana na China kwenye manufacturing ya chochote kile.
Inaishinda China kwa standard of living, better life, democracy

GDP per capita US 82K USD vs China 12k USD. China wakijipata hizo kazi zitaenda India na Vietnam huko na tayari washaanza wao watabaki kufanya kazi za kitozi kwa maslahi makubwa kama USA.

Kazi ngumu mpe mjinga. Believe me you boss wako anafanya kazi ndogo kwa maslahi makubwa kuliko wewe.
 
Back
Top Bottom