Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Sawa nakubali ni teknolojia iliyobuniwa na mjerumani ila hadi Wachina wanayo na ni za high standards kuliko ya mjerumani.Nimeandika technology ya Mjerumani ,wewe unaleta porojo. Hiyo Msglev ni technology ys Mchina!?
Na China nayeye amebuni teknolojia zake kama High speed Rail, seismogtaph, quantum satellite na China ndo wa kwanza kutumia 5G.