Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #41
Hapa ndipo unapokalilishwa matango poli
Tuambie na Tanzania inatengeneza meli ngapi kwa mwakaShip building ni moja ya sekta muhimu sana kwa uchumi wa nchi na usalama wa taifa.
Wakati Marekani kwa wastani inazalisha meli 5 kwa mwaka China inazalisha meli 5 kwa siku!
Kwa sasa China inazalisha meli mara 340 hivi zaidi ya Marekani
Shipyards za China kwa ujumla zinazalisha zaidi ya 23 millions tons, wakati za Marekani zinalizalisha chini ya 100,000 tons
95% ya shipping container unazoziona baharini ni China made
Katika soko la dunia China inashikilia nafasi ya kwanza kwa zaidi ya 50% katika global ship building huku Marekani ikiwa nafasi ya 19 kwa 0.1%
Mwaka 2024, China ilikuwa na oda za meli 1,794 kubwa za kibiashara, Korea Kusini ilikuwa na 734, Japan ilikuwa na 587 uliza Marekani ilikuwa na ngapi? Ilikuwa na 5 tu!
Mwaka 2024 China ilikuwa na zaidi ya meli 5,000 za kibiashara baharini, wakati U.S flagged merchant fleet zilikuwa 177 pekee.
Mwaka 2024 shipyard moja tu ya China iliunda meli nyingi za kibiashara kwa tani kuliko shipyards zote zilizo Marekani zikiunganishwa.
View attachment 3268498
Kwa sasa China ina uwezo mkubwa zaidi wa kutengeneza meli kuliko taifa lolote duniani, hata kuliko nchi 5 zilizo chini yake zikiunganishwa.
Makampuni ya kutengeneza meli, ikiwa ni pamoja na makampuni yaliyo katika nchi nyingi washirika wa Marekani kama Denmark, Ufaransa, Greece, Japan, Singapore na South Korea hununua 75% ya critical components za kutengeneza meli kutoka China.
Katika shipyards zilizo China serikali ya China imefanya kitu kinachoitwa Military-Civil Fusion (MCF) strategy.
Yaani imeunganisha uzalishaji wa kibiashara na kijeshi katika shipyards na kuipa PLA Navy (China Navy) miundombinu ya kutengeneza meli vita. Hii imefanya PLA Navy kuwa ya kisasa na kupunguza gharama.
Baada ya mambo kuwa magumu kwa Marekani imeanza kujaribu kuingia ubia na South Korea na Japan ili wapate tech transfer kunyanyua US ship building industry.
Kwa mfano Hanwa Ocean kampuni ya South Korea imenunua shipyard katika jimbo la Philadelphia kwa USD 100 mln. Na imeingia mkataba na U.S Navy kutumia hiyo shipyard kwa ajili ya maintenance and repair ya meli vita zilizozeeka za Marekani.
Hata iwe kwa msaada kutoka kwa makampuni ya Asia kama S.K na Japan inaweza kuchukua miaka mingi sana Marekani ili kuziba pengo na China katika ship building industry.
Inashangaza kuwa Trump anapendekeza kupanua ship building industry ya Marekani eti ishindane na China huku ameongeza tariffs kwa chuma na aluminium inayotumika kutengeneza meli hizo.
Ili kutimiza ndoto yake, labda aifanye South Korea na Japan kuwa majimbo ya 52 na 53 ya Marekani.
China has become global powerhouse in ship building industry.
Rising dragon fading Eagle.
KITU PEKEE KINACHO IFANYA MAREKANI KUWA JUU KIUCHUMI NI DOLLA YAKE KUFANYWA PESA YA DUNIA ...NDIYO MAANA BRICS WANACHEZA NA HIYO KARATASI NI PIGO TAKATIFU KWA MAREKANI..KAMA SIYO HIYO KARATASI BASI MAREKANI INGEKUWA KAMA BRAZIL TUShip building ni moja ya sekta muhimu sana kwa uchumi wa nchi na usalama wa taifa.
Wakati Marekani kwa wastani inazalisha meli 5 kwa mwaka China inazalisha meli 5 kwa siku!
Kwa sasa China inazalisha meli mara 340 hivi zaidi ya Marekani
Shipyards za China kwa ujumla zinazalisha zaidi ya 23 millions tons, wakati za Marekani zinalizalisha chini ya 100,000 tons
95% ya shipping container unazoziona baharini ni China made
Katika soko la dunia China inashikilia nafasi ya kwanza kwa zaidi ya 50% katika global ship building huku Marekani ikiwa nafasi ya 19 kwa 0.1%
Mwaka 2024, China ilikuwa na oda za meli 1,794 kubwa za kibiashara, Korea Kusini ilikuwa na 734, Japan ilikuwa na 587 uliza Marekani ilikuwa na ngapi? Ilikuwa na 5 tu!
Mwaka 2024 China ilikuwa na zaidi ya meli 5,000 za kibiashara baharini, wakati U.S flagged merchant fleet zilikuwa 177 pekee.
Mwaka 2024 shipyard moja tu ya China iliunda meli nyingi za kibiashara kwa tani kuliko shipyards zote zilizo Marekani zikiunganishwa.
View attachment 3268498
Kwa sasa China ina uwezo mkubwa zaidi wa kutengeneza meli kuliko taifa lolote duniani, hata kuliko nchi 5 zilizo chini yake zikiunganishwa.
Makampuni ya kutengeneza meli, ikiwa ni pamoja na makampuni yaliyo katika nchi nyingi washirika wa Marekani kama Denmark, Ufaransa, Greece, Japan, Singapore na South Korea hununua 75% ya critical components za kutengeneza meli kutoka China.
Katika shipyards zilizo China serikali ya China imefanya kitu kinachoitwa Military-Civil Fusion (MCF) strategy.
Yaani imeunganisha uzalishaji wa kibiashara na kijeshi katika shipyards na kuipa PLA Navy (China Navy) miundombinu ya kutengeneza meli vita. Hii imefanya PLA Navy kuwa ya kisasa na kupunguza gharama.
Baada ya mambo kuwa magumu kwa Marekani imeanza kujaribu kuingia ubia na South Korea na Japan ili wapate tech transfer kunyanyua US ship building industry.
Kwa mfano Hanwa Ocean kampuni ya South Korea imenunua shipyard katika jimbo la Philadelphia kwa USD 100 mln. Na imeingia mkataba na U.S Navy kutumia hiyo shipyard kwa ajili ya maintenance and repair ya meli vita zilizozeeka za Marekani.
Hata iwe kwa msaada kutoka kwa makampuni ya Asia kama S.K na Japan inaweza kuchukua miaka mingi sana Marekani ili kuziba pengo na China katika ship building industry.
Inashangaza kuwa Trump anapendekeza kupanua ship building industry ya Marekani eti ishindane na China huku ameongeza tariffs kwa chuma na aluminium inayotumika kutengeneza meli hizo.
Ili kutimiza ndoto yake, labda aifanye South Korea na Japan kuwa majimbo ya 52 na 53 ya Marekani.
China has become global powerhouse in ship building industry.
Rising dragon fading Eagle.
China anakuja juu Sana, bado hajamfikia US, lakini anakuja faster, china Hana uwezo wa kuwa na shirika kama USAID lenye kumwaga mapesa kibao duniani, Ila kwenye sekta ya AI, EV, nk ni tishio kwa sasa
Tuambie na Tanzania inatengeneza meli ngapi kwa mwaka
Umesema vyemaMarekani kabakia jina tu na ndevu nyingi
Kweli kabisa, halafu mchina ni mwizi wa technology mfano wamesubiri imetoka AI faster wakagonga copy wakaja na ya kwaoIla llinapokuja suala la durability na reliability mchina yuko chini sana
Sasa mkuu sisi tunakwama wapi kuiba tech kama wachina?Kweli kabisa, halafu mchina ni mwizi wa technology mfano wamesubiri imetoka AI faster wakagonga copy wakaja na ya kwao
Mchina kwenye dalian shipyard shandong huko anajitengenezea type 004 kama 3 zitakuwa ndio aircraft carrier kubwa zaidi duniani zitabeba ndege 100 na zinakuwa nuclear powered. Akimaliza kutengeneza hizo gap ya carrier kati yake na usa itakuwa ni 7 kwa 11 na kwa spidi hii soon mchina global navy fleet yake itakuwa kubwa kwa haraka zaidi kuliko usa, sasa naamini kweli China is powerful.Tambua hiyo liaoning ndio kubwa kushinda zote........china hana tenkolojia ya kujenga meli kubwa kama Gerald ford carry..........ile ya uss ni hatari.......jet 75 zinakaa pale juu usichukulie poa poa .........narudia tena china ni copy copy tu na sio established wa kolokolo lolote hata kibatari inawezekana hakikuanzia china
Uko sahihi ila tambua tu mchina naye ni mjanja most of hizo BRI infrastructure zinapita kwenye route za raw.materials kuelekea china mwishowe zinamnufaisha na yeye kiuchumi japo angalau ni win win sio kama za hao wengine.China haimwagi hela kindezi kama Marekani inavyotumia mashirika yake kama USAID na NED kufadhili magaidi, vikundi vya waasi, kueneza propaganda na kuchochea color revolution
China inamwaga pesa kupitia BRI ambayo inafadhili ujenzi wa miundombinu kwa maendeleo ya kiuchumi ya nchi husika na wala haitambi kama Marekani au kususia kutoa misaada
View attachment 3268797
View attachment 3268798
Kweli kabisa, halafu mchina ni mwizi wa technology mfano wamesubiri imetoka AI faster wakagonga copy wakaja na ya kwao
Uko sahihi ila tambua tu mchina naye ni mjanja most of hizo BRI infrastructure zinapita kwenye route za raw.materials kuelekea china mwishowe zinamnufaisha na yeye kiuchumi japo angalau ni win win sio kama za hao wengine.
Akikujibu nitagSasa mkuu sisi tunakwama wapi kuiba tech kama wachina?
Especially wale walio brainwashed na propaganda za MarekaniWatu wanaipenda america bwana🤣hata uje na data za msingi watatafuta sababu TU🤣
Sure, tunawajua humu...upofu mbaya sana wa kiakili.Especially wale walio brainwashed na propaganda za Marekani
Tatizo la Marekani sio malighafi tu ni suala zima la supply chain na skilled personnel kwenye ship building na ndio maana inakimbilia kufanya joint venture na S.K na Japan kupata technical knowhow ya hiyo industry
Marekani itahitaji miongo kadhaa mbele ili kufufua ship building yake. Sio suala la overnight process na hapo itategemea sera za maraisi watakaokuja baaada ya Trump
Kuwekeza kwenye utengenezaji wa meli kunataka miundombinu ya hali ya juu na technology
Nani alikwambia China inahitaji madini ya Congo kwa ajili ya ship building industry?
Wamarekani pia wanaongoza kutengeneza ndege...swali la kujiuliza ni nini kilipelekea sekta ya ujenzi wa meli kuporomoka nchini Marekani.
..kwanini zamani walikuwa wako juu, lakini sasa hivi wako chini?
..kwanini Wamarekani wanaweza kutengeneza masilaha makubwa-makubwa lakini wanashindwa na nchi kama South Korea kutengeneza magari?
US haiwezi shindana na China kwenye manufacturing ya chochote kile.
Inaishinda China kwa standard of living, better life, democracy