China wafanya majaribio ya treni ya speed 1,000km/h

China wafanya majaribio ya treni ya speed 1,000km/h

Sawa ila walikuwa hawana vyoo na hata leo watu wengi hawana vyoo lakini wanawekeza kwenye teknolojia kubwa kubwa hadi space exploration electric car, Chip fubrication nk
Kuna tech ukizipata una lipfrog hatua.
Halaf kukosa vyoo ni jambo la kibinafsi zaid kuliko uma.
Usafiri ni jambo la uma.
Ningependa Waafrika tuwe na ndoto chanya kuliko hasi, hivi ni lini tutajitosheleza ili tuuunde vitu vya kisasa kana tutskuwa na mawazo ya kushindwa tu.
Wasomi wanatuonya kuwa upo ilivyo kutokana na unavyowaza unavyosoma unavyokula ubavyo interact nk.
Hamjakatazwa kuwaza, ila muwe mnawaza vitu kwa kutumia uhalisia sio kwa sababu una uwezo wa kuwaza basi unajiwazia hata kuunda mbingu yako mwenyewe.

Magrev technology is expensive, daraja la Kigamboni limejengwa na Wakorea kwa bilioni 300 wakati hata kilomita moja halina. Afrika hii nani ana turner ya hata 50km, hiyo ni cheap ikiwa electric na sio magrev. Wajerumani wana hiyo tech tangu kabla ya 1970s hawana hizo treni, China ndio anaziwaza sasa hivi wakati ana population kubwa na msongamano na fedha za kutosha, India ina watu over 1.3 haijawaza hilo.

Sasa Waafrika tuwaze tunnel ya magrev kwa ajili gani hasa. Nani achangie hiyo wakati hata jengo moja la makao makuu ya AU tulijengewa na Wachina. Afrika kuna miradi mamia inawezafanyika ila sio huo.
 
Misri to SA kama masaa 7. Waaafrika wajiunge nchi zote ijengwe kutoka kaskazini hadi kusini halafu kuwe na dirvesion ya East Africa na West Africa. Nchi zitaendelea haraka sana.
Akili iyo tunayo sasa,sisi tunachokijua ni kupongeza tu
 
Hamjakatazwa kuwaza, ila muwe mnawaza vitu kwa kutumia uhalisia sio kwa sababu una uwezo wa kuwaza basi unajiwazia hata kuunda mbingu yako mwenyewe.

Magrev technology is expensive, daraja la Kigamboni limejengwa na Wakorea kwa bilioni 300 wakati hata kilomita moja halina. Afrika hii nani ana turner ya hata 50km, hiyo ni cheap ikiwa electric na sio magrev. Wajerumani wana hiyo tech tangu kabla ya 1970s hawana hizo treni, China ndio anaziwaza sasa hivi wakati ana population kubwa na msongamano na fedha za kutosha, India ina watu over 1.3 haijawaza hilo.

Sasa Waafrika tuwaze tunnel ya magrev kwa ajili gani hasa. Nani achangie hiyo wakati hata jengo moja la makao makuu ya AU tulijengewa na Wachina. Afrika kuna miradi mamia inawezafanyika ila sio huo.
Kama una amini hivyo sawa.
Mimi naaamini
Africa haiwezi kubadiishwa na fikra za wengi, hata ulaya USA,India,China hazikubadilishwai na watu wengi.
Kama wewe unadhani haiwezekani wapo wanaoweza kutoa suluhisho.
Wanasiasa wenu wanewaaminishs mambo hayawezekani kumbe wao ndiio wameshindwa na nyie mnakubaliana.
Jaribu kuwafuatilia waafrika wanaofanya mambo tofauti na jinsi wanatimiza maono yao.
 
Hamjakatazwa kuwaza, ila muwe mnawaza vitu kwa kutumia uhalisia sio kwa sababu una uwezo wa kuwaza basi unajiwazia hata kuunda mbingu yako mwenyewe.

Magrev technology is expensive, daraja la Kigamboni limejengwa na Wakorea kwa bilioni 300 wakati hata kilomita moja halina. Afrika hii nani ana turner ya hata 50km, hiyo ni cheap ikiwa electric na sio magrev. Wajerumani wana hiyo tech tangu kabla ya 1970s hawana hizo treni, China ndio anaziwaza sasa hivi wakati ana population kubwa na msongamano na fedha za kutosha, India ina watu over 1.3 haijawaza hilo.

Sasa Waafrika tuwaze tunnel ya magrev kwa ajili gani hasa. Nani achangie hiyo wakati hata jengo moja la makao makuu ya AU tulijengewa na Wachina. Afrika kuna miradi mamia inawezafanyika ila sio huo.
Kama una amini hivyo sawa.
Mimi naaamini
Africa haiwezi kubadiishwa na fikra za wengi, hata ulaya USA,India,China hazikubadilishwai na watu wengi.
Kama wewe unadhani haiwezekani wapo wanaoweza kutoa suluhisho.
Wanasiasa wenu wanewaaminishs mambo hayawezekani kumbe wao ndiio wameshindwa na nyie mnakubaliana.
Jaribu kuwafuatilia waafrika wanaofanya mambo tofauti a jinsi wanatimiza maono yao.
 
Mtoto wa mkulima alishindwa kutuvusha, akajiunga na mafisadi.
Toa hio picha.
Umaskin mbaya ndugu

Ukipata fursa unapaswa kuitumia

Mtoto wa mkulima kapata fursa kaitumia hakuna baya hapo kwani kakwanyua pesa ya kanisa au msikit

Swala la kuvushwa unalazimika kujipambania mwenyew usitarajie km atatokea mwanasiasa atakayekuvusha Kwa sabab hata wao wanataka kuvushwa
 
Umaskin mbaya ndugu

Ukipata fursa unapaswa kuitumia

Mtoto wa mkulima kapata fursa kaitumia hakuna baya hapo kwani kakwanyua pesa ya kanisa au msikit

Swala la kuvushwa unalazimika kujipambania mwenyew usitarajie km atatokea mwanasiasa atakayekuvusha Kwa sabab hata wao wanataka kuvushwa
Kwa hio hata barabara tujipanie, bei za mazao, Mikopo ya elimu ya juu, ujenzi wa vituo vya afya nk tujipambanie kazi ya serijali itakuwa nini?
Kama ni hivyo kuna maana gani ya kuwa
na nchi.
 
A Chinese research team has successfully completed the country's first full-size superconducting test run for an ultra-high-speed magnetic levitation (maglev) train, which, once completed, will be capable of running at a whopping 1,000 kilometers per hour under ideal conditions.

Developed by the China Aerospace Science and Industry Corporation Limited (CASIC), the maglev train aims to carry passengers and cargo at a speed of 1,000km/h or faster in a low-vacuum tube. It is expected to be used for commuting between mega city clusters in the future.

A superconducting maglev test line has been built in Datong City, north China's Shanxi Province.

The experiment preliminarily verified the scientific rationality of the overall design, said Li Ping, a member of the project at CASIC, at a science popularization exhibition held in Beijing on Sunday.

Li said that more experiments will be conducted to reach the maximum speed and to verify the entire system's reliability, adding that the research team has tested a 623km/h speed under non-vacuum conditions previously.

China currently operates its high-speed bullet trains at a maximum speed of 350km/hView attachment 2598335
Adili tu na haya mambo vita haiwezi
 
Back
Top Bottom